Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
nawaonea huruma waandishi wa ipp media......itv,radio one, guardian nipashe, na mengine katiak hayo.....wako kama dolls...vikaragosi....wanaandika na kumsifia bosi wao tuuuu anachopanga yeyey ndicho hicho....hawana tena uhuru wa kusema...wanaendeshwa kama pia...tena namuonea huruma ndugu yangu...sakina datoo amesoma lakini mhhhh anajidhalilisha pale ipp media.....ukweli mnaendeshwa kama pia ...ni puppets....mnaharibu taaluma yenu....amkeni.....hiii ni taaluma yenye heshma lakini munapoendesha programme zenu kwa shindikizo la mengi...basi mujue mnajidhalilisha... Na wala hamuendelei kitaaluma na kifikra....angalieni wenzenu wa ntv, ktv,citizen, hata kbc za kenya muige mfano wao....kuweni na uhuru wa fikra na mawazo musikubali kuwa watumwa wa hayo....