LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Jackie Frazier- Lyde ni Nani ?
Jackie Frazier a.k.a Sister Smoke a.k.a Sister Lyde ni mtoto wa Joe Frazier.
Joe Frazier ni Nani?
Joe Frazier( R.I.P) ni bondia wa uzito wa Juu " Heavy Weight Boxer" kutoka nchini Marekani ambae anaunda kinacho itwa " Utatu Mtakatifu katika Ubondia ".( The Holy Trinity in Boxing )
Huu " Utatu Mtakatifu katika Ubondia" unaundwa na :
1. Muhammad Ali .......The Father.
2. Joe Frazier ........ The son and
3. George Foreman ....The spirit.
So Jackie Frazier ni mtoto wa Kwanza wa Joe Frazier. Interestingly enough his daddy was 17yrs older then her. The father was born in 1944 and the daughter was born in 1961.
Some few facts about Jackie Frazier--Lyde of which Tanzanian lawyers need to learn from her.
1. She is a Judge.
2. She is a retired professional boxer. Apart from being a boxer Jackie Frazier ni sportswoman. Amekuwa akishiriki michezo ya Aina tofauti tofauti kama vile basketball, softball, riadha etc.
3. Funny enough kuhusu boxing ameingia rasmi kwenye professional boxing when she was 38.
Na amecheza match 15.
Ameshinda mechi 13 Kati ya hizi 13 mechi 9 ameshinda Kwa KO
Ametoka draw mchezo mmoja na amepoteza mchezo mmoja ambao Kwa maoni yangu Mimi mpenzi WA mchezo WA masumbwi ambae ninazijua vizuri Sheria za mchezo WA masumbwi ninasema mechi hiyo hakupoteza.
Kwa maoni yangu Mimi ninasema siku hiyo alitoka draw.
Pambano hili lilichezwa mwaka 2001 wakati Huo Sister Smoke akiwa na miaka arobaini. Na alicheza dhidi ya Laila Ali ambae wakati Huo she was just 24 and she was hot ( she was in her prime )
Kilicho tokea Kwa maoni yangu, majaji waliamua kumpa Ushindi Laila Kwa sababu hawakutaka kuchafua rekodi yake hasa ikizingatiwa she was still young na still bado alikuwa na muda mrefu wa kuendelea kukaa ulingoni. Both Laila Ali and Jackie are my favourite boxers but katika pambano ambalo Laila Ali alipata wakati mgumu basi ni hili la Sister Smoke.
Unaweza kwenda You Tube and Type Laila Ali Vs Jackie Frazier--Lyde and c for urself.
Tazama gestures za Jackie Frazier kwenye pambano hilo and tell me if one can even think that she is a Judge ( or a lawyer).
Kwanini nataka Wana Sheria WA bongo wajifunze Kwa Jackie Frazier
Hakuna watu wanao ishi maisha yanayo boa " boring life style " kama wanasheria wa Tz.
Mwanasheria wa Tz nje ya Sheria atakuwa mwanasiasa au mwanaharakati.
Huwezi sikia Mwanasheria wa Tz anafanya muziki kama.akifanya muziki basi atafanya gospel kama Ado Novemba na hata ikitokea Mwanasheria wa Bongo akaingia kwenye Sanaa basi wanasheria wenzake wata mdiscredit. Ataonekana Hana integrity. Nadhani Kamati ya maadili ya wanasheria inaweza kumuita kumuhoji na anaweza kusimamishwa uwakili kama sio kufutiwa leseni kabisa.
Hawa lawyers WA bongo hasa walio soma udsm wanapenda kuji stress Sana.
Nakumbuka at the hill hawa Jamaa walikuwa wanaishi maisha ya kuji stress Sana.
Ratiba yao ilikuwa
Room
Lecture Halls
Cateria
Library
And they were reading a lot of nonsense.
Kitu Kingine wanasheria wa Tz hasa waliosoma udsm NI waoga sana . Na hii Kwa sababu tangu wakiwa mwaka wa Kwanza Hadi mwaka wa mwisho wao NI kutishwa tu na walimu wao Akina " Quic Quid Professor" et Al.
Nakumbuka some time in 2006/2007 wakati Huo mwanadada Esta Wasira anatisha na Ngoma yake " Sheila" . Qic Quid Professor akatonywa kwamba Kuna mwanafunzi anasoma kitivo halafu anaimba bongo fleva, unaambiwa siku hiyo Yombo pale the quic quid professor akapiga biti la gzani " so so I have heard that there are some students in my class who are singing bongofleva. Is this how this faculty has turned into" Unaambiwa Esta akaachana kabisa na mambo ya muziki na mwisho wa siku akaingia kwenye siasa just to fit in with the nonsensical demand of the profession. Kama.ange achwa afanye muziki pengine angekuwa mbali Sana sasa hivi. Nafasi kama za kina Jokate Mwegelo asingeweza kukosa.
Kuna lawyers walikuwa waoga mpaka akiona mwenzake kavaa kofia na jinzi anamwambia uta disco
Kwenu Lawyers WA Tz
1. It's okay 2 be a lawyer and a musician. Tena typical bongofleva au Singelii si
Kupga vinanda kama Perfect au Judge Agustino Ramadhani.
2. It's okay 2b a lawyer and a boxer.
3. It's okay to be a lawyer and a footballer tena.mchezaji WA Chips Kavu Fc , Sifa Utd, abajalo au Deportivo LanTandale.
Don't stress urself.
Jackie Frazier a.k.a Sister Smoke a.k.a Sister Lyde ni mtoto wa Joe Frazier.
Joe Frazier ni Nani?
Joe Frazier( R.I.P) ni bondia wa uzito wa Juu " Heavy Weight Boxer" kutoka nchini Marekani ambae anaunda kinacho itwa " Utatu Mtakatifu katika Ubondia ".( The Holy Trinity in Boxing )
Huu " Utatu Mtakatifu katika Ubondia" unaundwa na :
1. Muhammad Ali .......The Father.
2. Joe Frazier ........ The son and
3. George Foreman ....The spirit.
So Jackie Frazier ni mtoto wa Kwanza wa Joe Frazier. Interestingly enough his daddy was 17yrs older then her. The father was born in 1944 and the daughter was born in 1961.
Some few facts about Jackie Frazier--Lyde of which Tanzanian lawyers need to learn from her.
1. She is a Judge.
2. She is a retired professional boxer. Apart from being a boxer Jackie Frazier ni sportswoman. Amekuwa akishiriki michezo ya Aina tofauti tofauti kama vile basketball, softball, riadha etc.
3. Funny enough kuhusu boxing ameingia rasmi kwenye professional boxing when she was 38.
Na amecheza match 15.
Ameshinda mechi 13 Kati ya hizi 13 mechi 9 ameshinda Kwa KO
Ametoka draw mchezo mmoja na amepoteza mchezo mmoja ambao Kwa maoni yangu Mimi mpenzi WA mchezo WA masumbwi ambae ninazijua vizuri Sheria za mchezo WA masumbwi ninasema mechi hiyo hakupoteza.
Kwa maoni yangu Mimi ninasema siku hiyo alitoka draw.
Pambano hili lilichezwa mwaka 2001 wakati Huo Sister Smoke akiwa na miaka arobaini. Na alicheza dhidi ya Laila Ali ambae wakati Huo she was just 24 and she was hot ( she was in her prime )
Kilicho tokea Kwa maoni yangu, majaji waliamua kumpa Ushindi Laila Kwa sababu hawakutaka kuchafua rekodi yake hasa ikizingatiwa she was still young na still bado alikuwa na muda mrefu wa kuendelea kukaa ulingoni. Both Laila Ali and Jackie are my favourite boxers but katika pambano ambalo Laila Ali alipata wakati mgumu basi ni hili la Sister Smoke.
Unaweza kwenda You Tube and Type Laila Ali Vs Jackie Frazier--Lyde and c for urself.
Tazama gestures za Jackie Frazier kwenye pambano hilo and tell me if one can even think that she is a Judge ( or a lawyer).
Kwanini nataka Wana Sheria WA bongo wajifunze Kwa Jackie Frazier
Hakuna watu wanao ishi maisha yanayo boa " boring life style " kama wanasheria wa Tz.
Mwanasheria wa Tz nje ya Sheria atakuwa mwanasiasa au mwanaharakati.
Huwezi sikia Mwanasheria wa Tz anafanya muziki kama.akifanya muziki basi atafanya gospel kama Ado Novemba na hata ikitokea Mwanasheria wa Bongo akaingia kwenye Sanaa basi wanasheria wenzake wata mdiscredit. Ataonekana Hana integrity. Nadhani Kamati ya maadili ya wanasheria inaweza kumuita kumuhoji na anaweza kusimamishwa uwakili kama sio kufutiwa leseni kabisa.
Hawa lawyers WA bongo hasa walio soma udsm wanapenda kuji stress Sana.
Nakumbuka at the hill hawa Jamaa walikuwa wanaishi maisha ya kuji stress Sana.
Ratiba yao ilikuwa
Room
Lecture Halls
Cateria
Library
And they were reading a lot of nonsense.
Kitu Kingine wanasheria wa Tz hasa waliosoma udsm NI waoga sana . Na hii Kwa sababu tangu wakiwa mwaka wa Kwanza Hadi mwaka wa mwisho wao NI kutishwa tu na walimu wao Akina " Quic Quid Professor" et Al.
Nakumbuka some time in 2006/2007 wakati Huo mwanadada Esta Wasira anatisha na Ngoma yake " Sheila" . Qic Quid Professor akatonywa kwamba Kuna mwanafunzi anasoma kitivo halafu anaimba bongo fleva, unaambiwa siku hiyo Yombo pale the quic quid professor akapiga biti la gzani " so so I have heard that there are some students in my class who are singing bongofleva. Is this how this faculty has turned into" Unaambiwa Esta akaachana kabisa na mambo ya muziki na mwisho wa siku akaingia kwenye siasa just to fit in with the nonsensical demand of the profession. Kama.ange achwa afanye muziki pengine angekuwa mbali Sana sasa hivi. Nafasi kama za kina Jokate Mwegelo asingeweza kukosa.
Kuna lawyers walikuwa waoga mpaka akiona mwenzake kavaa kofia na jinzi anamwambia uta disco
Kwenu Lawyers WA Tz
1. It's okay 2 be a lawyer and a musician. Tena typical bongofleva au Singelii si
Kupga vinanda kama Perfect au Judge Agustino Ramadhani.
2. It's okay 2b a lawyer and a boxer.
3. It's okay to be a lawyer and a footballer tena.mchezaji WA Chips Kavu Fc , Sifa Utd, abajalo au Deportivo LanTandale.
Don't stress urself.