Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 574
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We utakuwa Mwanasheria wa bongo wewe. So complicator
Hahaaa mbona mnatuchana sanaKabisa. Life style ya Lawyer wa Tz is so boring. Yani MTU anajaribu kuwa Tundu Lissu kwenye maisha ya kawaida.
Kuna Jamaa yangu mmoja Mwanasheria niliwahi kukaa nae pale La Chaaz wakati ndio ina Anza Anza local beer walikuwa wanauza sh elfu 3 na.mia tano. Jamaa.kanywa bia tano ikaja bili sh elfu 17 na 500. Jamaa kagoma kasema " Nitatoa sh elfu kumi tu. Bia moja ni shilingi elfu mbili..ndio bei elekezi".
Ilibidi nimlipie ili kuondoa aibu.