Wanasheria wa Vilabu vya Soka Tanzania fanyeni wajibu wenu, msilaumu wachambuzi

Wanasheria wa Vilabu vya Soka Tanzania fanyeni wajibu wenu, msilaumu wachambuzi

Decree Holder

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
2,559
Reaction score
3,745
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji

Na Wakili Zawadi Lupelo

Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja mkataba wake na Yanga kuwa ndiyo waliosababisha kile alichokiita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao.

Binafsi nikiri kauli hii imenishangaza na kunishtua sana, Naam! Imenishtua zaidi kwa kuwa imetoka kwa wakili msomi na mkuu wa idara ya Sheria wa club kubwa ya Yanga. Pengine nisingeshangaa kama kauli hii ingetolewa na Ally Kamwe au hata Wakili kutoka timu ya kengold au Pamba united. Kauli hii kutoka kwa wakili msomi mwandamizi inafikirisha sana.

Inawezekana vipi mwanasheria mwandamizi kuwalaumu wachambuzi katika swala la mikataba ambalo ni swala kisheria? Inashangaza kwa mwanasheria kuwalaumu wachambuzi wasio hata na elimu ya Sheria katika swala la kisheria. Kama Simon Patrick anaamini wachambuzi ndiyo waliosabisha kile anachoita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi atakuwa anaamini pia kuwa wachambuzi ndiyo wenye mamlaka ya kulikomesha swala hilo?. Na kama tatizo limesababishwa na wachambuzi mbona suluhisho analipeleka kwa TFF?

Ni wazi Wakili Simon Patrick anajaribu kukwepa wajibu wake kama wakili wa club. Kama Kuna changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi tatizo halisababishwi na wachambuzi bali linasababishwa na mawakili na wanasheria wa vilabu vya Mpira wa miguu kukosa weledi katika kuandaa na kuisuka mikataba baina ya vilabu na wachezaji. Hivyo badala ya Mwanasheria wa Club kubwa kama Yanga kulitupia swala hili ambalo ni la kisheria zaidi kwa wachambuzi alipaswa kupeleka lawama kwa idara za vilabu vyetu vya Mpira wa miguu.

Kwa mfano tatizo la Feitoto na Yanga halikusababishwa na wachambuzi bali lilisababishwa na jinsi mkataba wa Yanga na Feitoto ulivyokuwa umesukwa kiasi cha kumruhusu Feitoto kuvunja mkataba wake kama atarudisha shilingi Milioni 112 za kitanzania. Swali je ni wachambuzi walioandaa huo mkataba na kuweka hicho kipengele kilichotumiwa na Feitoto kuvunja mkataba wake? Je kama mawakili wa Yanga wasingeweka hicho kipengele Feitoto angepata wapi uthubutu wa kuvunja mkataba?

Sina hakika kama Simon Patrick analinganisha sakata la Feitoto na Prince Dube. Sakata la Feitoto na Prince Dube halifanani wakati Feitoto mkataba wake ulikuwa unamruhusu kuvunja mkataba wake kwa kutoa Milioni 112 Prince Dube mkataba wake ulikuwa unamtaka ili avunje mkataba lazima alipwe Dola za kimarekani 300,000/= ambazo ni zaidi ya Milioni 750 za kitanzania. Hapa utaona utofauti wa mawakili wa Azam na mawakili wa Yanga, wakati mawakili wa Yanga wakiweka pesa ya kuvunja mkataba ndogo wenzetu Azam waliweka buyout clause kubwa zaidi hapa mawakili wa Azam Sports Club walifanya kazi yao ipasavyo wakati mawakili wa Yanga walifeli katika kuusuka mkataba wa Feitoto.

Nitashangaa nikikutana na Wakili alieandaa mkataba wa Awesu Awesu na kuweka buyout clause ya Milioni 50 akiwalaumu wachambuzi kuwa wamefanya Awesu Awesu atoroke club yake baada ya kuwalipa KMC Milioni 50.

Buyout clause ni kipengele cha anasa kinachomwezesha mchezaji kujiamria kununua mkataba wake baada ya kulipa kwa club kiasi cha pesa kilichowekwa katika mkataba. Japokuwa anayetakiwa kununua mkataba wake ni mchezaji lakini practically zoezi Hilo hufadhiliwa na timu inayomtaka mchezaji husika. Duniani kote ipo hivyo ndiyo maana nchi za wenzetu wanaweka buyout clause kubwa na mara nyingi inakuwa zaidi hata ya thamani halisi ya mchezaji.

Ukiweza kuweka buyout clause kubwa ina maana mchezaji hawezi kukurupuka tu na kutaka kununua mkataba wake akizingatia kiasi kikubwa cha pesa anachotakiwa kulipa. Hivyo buyout clause itamlazimisha mchezaji kurudi mezani na timu ku negotiate na kuomba apunguziwe ili alipe pesa kidogo mfano ni kilichotokea kwa Dube na Azam. Mara nyingine club inayomtaka mchezaji itaona ni bora ijitokeze iongee na timu inayommiliki mchezaji na kumnunua kuliko kulipa pesa iliyopo kwenye buyout clause.

Pia siyo sawa kulinganisha sakata la Feitoto na Kibu kwa sababu sakata la Kibu ndiyo kwanza linaanza bado hajaomba kuvunja mkataba Wala hajalipa buyout clause amount kama Feitoto hivyo sakata la Kibu Dennis utatuzi wake pia itategemea zaidi mkataba wake unataka Nini.

Sakata la Feitoto linafanana na Sakata la Dube na KMC isipokuwa tu tofauti ni kwamba Mawakili wa Azam walifanikiwa katika kuusuka vyema mkataba wao na Dube tofauti na mawakili wa Yanga na KMC ambao walifeli na kusababisha club zao kupata hasara.

Badala ya mawakili na viongozi wa vilabu kulaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto wajitafakari wao je wametekeleza wajibu wao ipasavyo? Je mawakili wa Timu zetu wanatimiza wajibu wao wakati wa kuisuka hii mikataba yao na wachezaji?

Maswala ya mikataba ya wachezaji ni maswala ya kisheria hivyo ni aubu sana wanasheria kuwalaumu wachambuzi watu ambao hawana elimu ya kisheria katika mambo ya kisheria kama anavyofanya wakili wa Yanga.

Wakatabahu.
Zawadi B Lupelo Esq
 
Wachambuzi ni tatizo bado wanahitaji elimu hili halipingiki kabisa. Mfano huo kwa FEITOTO alipewa airtme hadi aibu. Ikatengenezwa huruma hadi Uzanzibari, Uzazi ukaingia. Mwisho wa siku siasa ikaamua. Yanga walisimika vya kutosha ila Propaganda zikashinda. Swali ni je ingekuwaje hao wachambuzi wangemuambia Feisal kuwa amekosea. Huenda maamuzi ya kimpira yangefanyika.
 
Wakili uchwara umeandika rubbish.

Anachokilalamikia mwanasheria wa Yanga ni kuwa masuala ya mikataba ya wachezaji ijadiliwe kisheria na si Kwa kuweka hisia, ushabiki au uzawa kitu ambacho kinafanywa na wachambuzi wengi hapa Bongo.

Ukirudi kwenye hoja ya Feitoto ni kuwa kesi yake ilipokuwa inajadiliwa kihisia na ushabiki aliyekuwa anashinda ni FEITOTO, Lakini ilipokuwa inajadiliwa Kisheria na kikanuni aliyekuwa anashinda ni YANGA kupitia TFF Sasa hapo unasemaje kuwa wanasheria wa Yanga walifeli katika mkataba wao na FEI?

Wachambuzi wa bongo walifika mbali Hadi kuanza kuchangisha Fedha ya kumpa mchezaji akafungue kesi mbele baada ya kushindwa pale TFF. Wakili Gani wewe?
 
Wakili uchwara umeandika rubbish.
Anachokilalamikia mwanasheria wa Yanga ni kuwa masuala ya mikataba ya wachezaji ijadiliwe kisheria na si Kwa kuweka hisia, ushabiki au uzawa kitu ambacho kinafanywa na wachambuzi wengi hapa bongo .

Ukirudi kwenye hoja ya Feitoto ni kuwa kesi yake ilipokuwa inajadiliwa kihisia na ushabiki aliyekuwa anashinda ni FEITOTO, Lakini ilipokuwa inajadiliwa Kisheria na kikanuni aliyekuwa anashinda ni YANGA kupitia TFF Sasa hapo unasemaje kuwa wanasheria wa Yanga walifeli katika mkataba wao na FEI.?

Wachambuzi wa bongo walifika mbali Hadi kuanza kuchangisha Fedha ya kumpa mchezaji akafungue kesi mbele baada ya kushindwa pale TFF.
Wakili Gani wewe?
Sasa wewe ukiangalia mwanasheria wa Yanga aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Milioni 112 na mwanasheria wa Azam aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Dola 300,000/= nani alifanikiwa?

Halafu usijekutumia maamuzi ya TFF kuzipima Simba na Yanga, TFF always inaziogopa Simba na Yanga hivyo Kila kesi watashinda lakini hata mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza anajua kuwa uamuzi wa TFF walikosea na ndiyo maana wanasheria wa Feitoto walikuwa katika harakati za kuappeal
 
Wakili uchwara umeandika rubbish.
Anachokilalamikia mwanasheria wa Yanga ni kuwa masuala ya mikataba ya wachezaji ijadiliwe kisheria na si Kwa kuweka hisia, ushabiki au uzawa kitu ambacho kinafanywa na wachambuzi wengi hapa bongo .

Ukirudi kwenye hoja ya Feitoto ni kuwa kesi yake ilipokuwa inajadiliwa kihisia na ushabiki aliyekuwa anashinda ni FEITOTO, Lakini ilipokuwa inajadiliwa Kisheria na kikanuni aliyekuwa anashinda ni YANGA kupitia TFF Sasa hapo unasemaje kuwa wanasheria wa Yanga walifeli katika mkataba wao na FEI.?

Wachambuzi wa bongo walifika mbali Hadi kuanza kuchangisha Fedha ya kumpa mchezaji akafungue kesi mbele baada ya kushindwa pale TFF.
Wakili Gani wewe?
Na kwa kuongezea tu, Yanga walipambania sana sakata limalizwe kisheria, wakajitokeza wachambuzi uchwara wakalipeleka kihisia kisha jambo likamalizwa na mwanasiasa (Raisi) kwa kulimaliza kisiasa.
 
Sasa wewe ukiangalia mwanasheria wa Yanga aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Milioni 112 na mwanasheria wa Azam aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Dola 300,000/= nani alifanikiwa?

Halafu usijekutumia maamuzi ya TFF kuzipima Simba na Yanga, TFF always inaziogopa Simba na Yanga hivyo Kila kesi watashinda lakini hata mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza anajua kuwa uamuzi wa TFF walikosea na ndiyo maana wanasheria wa Feitoto walikuwa katika harakati za kuappeal
Si swala lilishauriwa lipelekwe CAS, ndio lingeachwa hadi mwisho ijulikane ni upande upi ulikuwa sahihi ili upande uliokuwa na makosa iwe kama funzo. Ila kilichotokea kwa Feitoto, ndicho kinacholeta madhara kwa timu mbalimbali. Sakata la Dube, Lawi, Kibu, Awesu ni matunda yake hayo
 
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji

Na Wakili Zawadi Lupelo

Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja mkataba wake na Yanga kuwa ndiyo waliosababisha kile alichokiita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao.

Binafsi nikiri kauli hii imenishangaza na kunishtua sana, Naam! Imenishtua zaidi kwa kuwa imetoka kwa wakili msomi na mkuu wa idara ya Sheria wa club kubwa ya Yanga. Pengine nisingeshangaa kama kauli hii ingetolewa na Ally Kamwe au hata Wakili kutoka timu ya kengold au Pamba united. Kauli hii kutoka kwa wakili msomi mwandamizi inafikirisha sana.

Inawezekana vipi mwanasheria mwandamizi kuwalaumu wachambuzi katika swala la mikataba ambalo ni swala kisheria? Inashangaza kwa mwanasheria kuwalaumu wachambuzi wasio hata na elimu ya Sheria katika swala la kisheria. Kama Simon Patrick anaamini wachambuzi ndiyo waliosabisha kile anachoita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi atakuwa anaamini pia kuwa wachambuzi ndiyo wenye mamlaka ya kulikomesha swala hilo?. Na kama tatizo limesababishwa na wachambuzi mbona suluhisho analipeleka kwa TFF?

Ni wazi Wakili Simon Patrick anajaribu kukwepa wajibu wake kama wakili wa club. Kama Kuna changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi tatizo halisababishwi na wachambuzi bali linasababishwa na mawakili na wanasheria wa vilabu vya Mpira wa miguu kukosa weledi katika kuandaa na kuisuka mikataba baina ya vilabu na wachezaji. Hivyo badala ya Mwanasheria wa Club kubwa kama Yanga kulitupia swala hili ambalo ni la kisheria zaidi kwa wachambuzi alipaswa kupeleka lawama kwa idara za vilabu vyetu vya Mpira wa miguu.

Kwa mfano tatizo la Feitoto na Yanga halikusababishwa na wachambuzi bali lilisababishwa na jinsi mkataba wa Yanga na Feitoto ulivyokuwa umesukwa kiasi cha kumruhusu Feitoto kuvunja mkataba wake kama atarudisha shilingi Milioni 112 za kitanzania. Swali je ni wachambuzi walioandaa huo mkataba na kuweka hicho kipengele kilichotumiwa na Feitoto kuvunja mkataba wake? Je kama mawakili wa Yanga wasingeweka hicho kipengele Feitoto angepata wapi uthubutu wa kuvunja mkataba?

Sina hakika kama Simon Patrick analinganisha sakata la Feitoto na Prince Dube. Sakata la Feitoto na Prince Dube halifanani wakati Feitoto mkataba wake ulikuwa unamruhusu kuvunja mkataba wake kwa kutoa Milioni 112 Prince Dube mkataba wake ulikuwa unamtaka ili avunje mkataba lazima alipwe Dola za kimarekani 300,000/= ambazo ni zaidi ya Milioni 750 za kitanzania. Hapa utaona utofauti wa mawakili wa Azam na mawakili wa Yanga, wakati mawakili wa Yanga wakiweka pesa ya kuvunja mkataba ndogo wenzetu Azam waliweka buyout clause kubwa zaidi hapa mawakili wa Azam Sports Club walifanya kazi yao ipasavyo wakati mawakili wa Yanga walifeli katika kuusuka mkataba wa Feitoto.

Nitashangaa nikikutana na Wakili alieandaa mkataba wa Awesu Awesu na kuweka buyout clause ya Milioni 50 akiwalaumu wachambuzi kuwa wamefanya Awesu Awesu atoroke club yake baada ya kuwalipa KMC Milioni 50.

Buyout clause ni kipengele cha anasa kinachomwezesha mchezaji kujiamria kununua mkataba wake baada ya kulipa kwa club kiasi cha pesa kilichowekwa katika mkataba. Japokuwa anayetakiwa kununua mkataba wake ni mchezaji lakini practically zoezi Hilo hufadhiliwa na timu inayomtaka mchezaji husika. Duniani kote ipo hivyo ndiyo maana nchi za wenzetu wanaweka buyout clause kubwa na mara nyingi inakuwa zaidi hata ya thamani halisi ya mchezaji.

Ukiweza kuweka buyout clause kubwa ina maana mchezaji hawezi kukurupuka tu na kutaka kununua mkataba wake akizingatia kiasi kikubwa cha pesa anachotakiwa kulipa. Hivyo buyout clause itamlazimisha mchezaji kurudi mezani na timu ku negotiate na kuomba apunguziwe ili alipe pesa kidogo mfano ni kilichotokea kwa Dube na Azam. Mara nyingine club inayomtaka mchezaji itaona ni bora ijitokeze iongee na timu inayommiliki mchezaji na kumnunua kuliko kulipa pesa iliyopo kwenye buyout clause.

Pia siyo sawa kulinganisha sakata la Feitoto na Kibu kwa sababu sakata la Kibu ndiyo kwanza linaanza bado hajaomba kuvunja mkataba Wala hajalipa buyout clause amount kama Feitoto hivyo sakata la Kibu Dennis utatuzi wake pia itategemea zaidi mkataba wake unataka Nini.

Sakata la Feitoto linafanana na Sakata la Dube na KMC isipokuwa tu tofauti ni kwamba Mawakili wa Azam walifanikiwa katika kuusuka vyema mkataba wao na Dube tofauti na mawakili wa Yanga na KMC ambao walifeli na kusababisha club zao kupata hasara.

Badala ya mawakili na viongozi wa vilabu kulaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto wajitafakari wao je wametekeleza wajibu wao ipasavyo? Je mawakili wa Timu zetu wanatimiza wajibu wao wakati wa kuisuka hii mikataba yao na wachezaji?

Maswala ya mikataba ya wachezaji ni maswala ya kisheria hivyo ni aubu sana wanasheria kuwalaumu wachambuzi watu ambao hawana elimu ya kisheria katika mambo ya kisheria kama anavyofanya wakili wa Yanga.

Wakatabahu.
Zawadi B Lupelo Esq
Bwana Wakili Msomi Lupelo naomba uwe unaandika suala badala ya swala tafadhali.
 
Sasa wewe ukiangalia mwanasheria wa Yanga aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Milioni 112 na mwanasheria wa Azam aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Dola 300,000/= nani alifanikiwa?

Halafu usijekutumia maamuzi ya TFF kuzipima Simba na Yanga, TFF always inaziogopa Simba na Yanga hivyo Kila kesi watashinda lakini hata mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza anajua kuwa uamuzi wa TFF walikosea na ndiyo maana wanasheria wa Feitoto walikuwa katika harakati za kuappeal
Wanasheria na mawakili kama nyinyi ndo Tundu Lissu anawaita Uchwara.
Kesi ya FEI na Yanga haikuhusu Zaid kiasi Cha Fedha kulipwa but ilihusu utaratibu wa mchezaji kuondoka .
Ikumbukwe mchezaji ni mali ya club huwezi jichukulia maamuzi tu bila kumhusisha muajili wako ambayo ni club Yako. Yaani timu inakulipa mshahara, inakuweka Kambi, inakupeleka gym, inaajiri makocha kukunoa na kuongeza kiwango chako harafu wewe ukurupuke katikati ya msimu et unaondoka umeona wapi UHUNI wa hivyo.

Yaani KIBU anaondoka mwisho wa msimu watu wanapoteana namna hii , Vipi angeondoka katikati huku ligi ikiendelea kama alivyofanya Feitoto Kwa Yanga si mngeshuka daraja nyinyi?🤣🤣🤣.
Tulieni dawa iwaingie , kuimba kupokezana na Shetani hanaga rafiki.
 
Wanasheria na mawakili kama nyinyi ndo Tundu Lissu anawaita Uchwara.
Kesi ya FEI na Yanga haikuhusu Zaid kiasi Cha Fedha kulipwa but ilihusu utaratibu wa mchezaji kuondoka .
Ikumbukwe mchezaji ni mali ya club huwezi jichukulia maamuzi tu bila kumhusisha muajili wako ambayo ni club Yako. Yaani timu inakulipa mshahara, inakuweka Kambi, inakupeleka gym, inaajiri makocha kukunoa na kuongeza kiwango chako harafu wewe ukurupuke katikati ya msimu et unaondoka umeona wapi UHUNI wa hivyo.

Yaani KIBU anaondoka mwisho wa msimu watu wanapoteana namna hii , Vipi angeondoka katikati huku ligi ikiendelea kama alivyofanya Feitoto Kwa Yanga si mngeshuka daraja nyinyi?🤣🤣🤣.
Tulieni dawa iwaingie , kuimba kupokezana na Shetani hanaga rafiki.
Huyo Lissu mwenyewe ukimsimulia sakata la Feitoto ataukataa huo msimamo wako, anyway hapa Mimi natoa elimu Sina muda wa kuargue na layperson, ishu ya Feitoto ina maamuzi mengi (precedent) nyingi sana CAS wakijaribu kueleza ni kwa namna gani mchezaji anaweza kuvunja mkataba.

Ni kweli mchezaji ni Mali ya club na mahusiano ya mchezaji na club yanaongozwa zaidi na Mkataba, ukishaweza kipengele cha mchezaji kuvunja mkataba kwa kulipa Milioni 112 au Milioni 50 hiyo inakuwa ni haki ya msingi ya mchezaji kwa mujibu wa mkataba. Huwezi tena ukaanza kulazimisha mchezaji akuletee timu inayomtaka kama walivyokuwa wanafanya Yanga. Buyout clause inakuwa triggered na mchezaji na timu haiwezi kuzuia na hiyo ipo dunia nzima na ndiyo maana wenzetu huko nje huwa wanaweka buyout clause kubwa zaidi ya thamani ya mchezaji.

Sasa Yanga kwenye sakata la Feitoto waliikana buyout clause wanataka timu iende wamuuze hakunaga utaratibu wa aina hiyo. Mchezaji anaweza kuondoka kwenye timu kwa namna zifuatazo:
1. Kwa kuuzwa na timu yake (hapo Kuna makubaliano baina ya clubs 2 na mchezaji)

2. Ku trigger Release clause ( Hapo pia Kuna kuwa na makubaliano baina ya club mbili na mchezaji)

3. Kwa kununua mkataba wake mwenyewe (hapo hakuna makubaliano baina ya club mbili) mchezaji mwenyewe ananunua mkataba na kuondoka hahitaji ruhusa ya club Wala kuleta timu inayomtaka. Hiyo ndiyo njia aliyoichukua Feitoto

4. Mchezaji au timu kuvunja mkataba.
Hapa sasa timu au mchezaji anatakiwa awe na sababu ya msingi ya kufanya hivyo na kama hana sababu ya msingi basi adhabu yake ni kulipishwa fidia na siyo kurudishwa kwenye club yake. Hivyo hata kama TFF wangeegemea kwenye kipengele hiki kama waluvyofanya bado uamuzi wa kumrudisha Feitoto Yanga ulikuwa ni batili maana kanuni za FIFA zinaelekeza ni faini na suspension.
 
Huyo Lissu mwenyewe ukimsimulia sakata la Feitoto ataukataa huo msimamo wako, anyway hapa Mimi natoa elimu Sina muda wa kuargue na layperson, ishu ya Feitoto ina maamuzi mengi (precedent) nyingi sana CAS wakijaribu kueleza ni kwa namna gani mchezaji anaweza kuvunja mkataba.

Ni kweli mchezaji ni Mali ya club na mahusiano ya mchezaji na club yanaongozwa zaidi na Mkataba, ukishaweza kipengele cha mchezaji kuvunja mkataba kwa kulipa Milioni 112 au Milioni 50 hiyo inakuwa ni haki ya msingi ya mchezaji kwa mujibu wa mkataba. Huwezi tena ukaanza kulazimisha mchezaji akuletee timu inayomtaka kama walivyokuwa wanafanya Yanga. Buyout clause inakuwa triggered na mchezaji na timu haiwezi kuzuia na hiyo ipo dunia nzima na ndiyo maana wenzetu huko nje huwa wanaweka buyout clause kubwa zaidi ya thamani ya mchezaji.

Sasa Yanga kwenye sakata la Feitoto waliikana buyout clause wanataka timu iende wamuuze hakunaga utaratibu wa aina hiyo. Mchezaji anaweza kuondoka kwenye timu kwa namna zifuatazo:
1. Kwa kuuzwa na timu yake (hapo Kuna makubaliano baina ya clubs 2 na mchezaji)

2. Ku trigger Release clause ( Hapo pia Kuna kuwa na makubaliano baina ya club mbili na mchezaji)

3. Kwa kununua mkataba wake mwenyewe (hapo hakuna makubaliano baina ya club mbili) mchezaji mwenyewe ananunua mkataba na kuondoka hahitaji ruhusa ya club Wala kuleta timu inayomtaka. Hiyo ndiyo njia aliyoichukua Feitoto

4. Mchezaji au timu kuvunja mkataba.
Hapa sasa timu au mchezaji anatakiwa awe na sababu ya msingi ya kufanya hivyo na kama hana sababu ya msingi basi adhabu yake ni kulipishwa fidia na siyo kurudishwa kwenye club yake. Hivyo hata kama TFF wangeegemea kwenye kipengele hiki kama waluvyofanya bado uamuzi wa kumrudisha Feitoto Yanga ulikuwa ni batili maana kanuni za FIFA zinaelekeza ni faini na suspension.
Mawakili na wanasheria wa kibongo ndo maana mnadharaulika na Kila siku mnashindwa kesi mahakamani. Cha ajabu mnajiita eti wasomi 🤣🤣.

Sasa ndugu Wakili Kama buyout clause ya Feitoto Kwa Yanga ilikuwa ni 112M tuambie ni Nini kilipelekea Azam kumnunua Kwa kiasi kikubwa kuliko kilichokuwepo kwenye buyout clause?.
 
Mawakili na wanasheria wa kibongo ndo maana mnadharaulika na Kila siku mnashindwa kesi mahakamani. Hilo sishangai linatokana na umbumbumbu wenu kichwani. Cha ajabu mnajiita eti wasomi 🤣🤣.

Sasa ndugu Wakili Kama buyout clause ya Feitoto Kwa Yanga ilikuwa ni 112M tuambie ni Nini kilipelekea Azam kumnunua Kwa kiasi kikubwa kuliko kilichokuwepo kwenye buyout clause?.
Mkuu huwezi kujadiliana kistaarabu bila lugha ya matusi na dharau. Au kwakuwa ni mtandaoni na hutumii jina lako basi hujali? Anyway hii comment nimei report kwa mods waicheck.
 
Mawakili na wanasheria wa kibongo ndo maana mnadharaulika na Kila siku mnashindwa kesi mahakamani. Hilo sishangai linatokana na umbumbumbu wenu kichwani. Cha ajabu mnajiita eti wasomi 🤣🤣.

Sasa ndugu Wakili Kama buyout clause ya Feitoto Kwa Yanga ilikuwa ni 112M tuambie ni Nini kilipelekea Azam kumnunua Kwa kiasi kikubwa kuliko kilichokuwepo kwenye buyout clause

Mawakili na wanasheria wa kibongo ndo maana mnadharaulika na Kila siku mnashindwa kesi mahakamani. Hilo sishangai linatokana na umbumbumbu wenu kichwani. Cha ajabu mnajiita eti wasomi 🤣🤣.

Sasa ndugu Wakili Kama buyout clause ya Feitoto Kwa Yanga ilikuwa ni 112M tuambie ni Nini kilipelekea Azam kumnunua Kwa kiasi kikubwa kuliko kilichokuwepo kwenye buyout clause?.
Yanga walimuuza Feitoto kwa Milioni 200 hapo ni baada ya Azam kuamua kufunika kombe ili kucomply na maagizo ya Mheshimiwa Rais kulimaliza Hilo swala.

Hata hivyo hiyo pesa bado ni kidogo sana kwa thamani ya Feitoto bado inabaki palepale kuwa wanasheria wa Yanga walifeli kwenye kuandaa mkataba wa Feisal hivyo kuikosesha Yanga mapato.

Matokeo yake katika harakati za Yanga kulipa kisasi wakamshawishi Prince Dube wakaenda kukutana na kigingi cha buyout clause ya Dola 300000 hiyo ni mara tatu ya pesa ambayo Azam alimnunua Feitoto. Sasa hapo nani ameula nani amepigwa? 😂 😂 😂
 
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji

Na Wakili Zawadi Lupelo

Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja mkataba wake na Yanga kuwa ndiyo waliosababisha kile alichokiita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao.

Binafsi nikiri kauli hii imenishangaza na kunishtua sana, Naam! Imenishtua zaidi kwa kuwa imetoka kwa wakili msomi na mkuu wa idara ya Sheria wa club kubwa ya Yanga. Pengine nisingeshangaa kama kauli hii ingetolewa na Ally Kamwe au hata Wakili kutoka timu ya kengold au Pamba united. Kauli hii kutoka kwa wakili msomi mwandamizi inafikirisha sana.

Inawezekana vipi mwanasheria mwandamizi kuwalaumu wachambuzi katika swala la mikataba ambalo ni swala kisheria? Inashangaza kwa mwanasheria kuwalaumu wachambuzi wasio hata na elimu ya Sheria katika swala la kisheria. Kama Simon Patrick anaamini wachambuzi ndiyo waliosabisha kile anachoita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi atakuwa anaamini pia kuwa wachambuzi ndiyo wenye mamlaka ya kulikomesha swala hilo?. Na kama tatizo limesababishwa na wachambuzi mbona suluhisho analipeleka kwa TFF?

Ni wazi Wakili Simon Patrick anajaribu kukwepa wajibu wake kama wakili wa club. Kama Kuna changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi tatizo halisababishwi na wachambuzi bali linasababishwa na mawakili na wanasheria wa vilabu vya Mpira wa miguu kukosa weledi katika kuandaa na kuisuka mikataba baina ya vilabu na wachezaji. Hivyo badala ya Mwanasheria wa Club kubwa kama Yanga kulitupia swala hili ambalo ni la kisheria zaidi kwa wachambuzi alipaswa kupeleka lawama kwa idara za vilabu vyetu vya Mpira wa miguu.

Kwa mfano tatizo la Feitoto na Yanga halikusababishwa na wachambuzi bali lilisababishwa na jinsi mkataba wa Yanga na Feitoto ulivyokuwa umesukwa kiasi cha kumruhusu Feitoto kuvunja mkataba wake kama atarudisha shilingi Milioni 112 za kitanzania. Swali je ni wachambuzi walioandaa huo mkataba na kuweka hicho kipengele kilichotumiwa na Feitoto kuvunja mkataba wake? Je kama mawakili wa Yanga wasingeweka hicho kipengele Feitoto angepata wapi uthubutu wa kuvunja mkataba?

Sina hakika kama Simon Patrick analinganisha sakata la Feitoto na Prince Dube. Sakata la Feitoto na Prince Dube halifanani wakati Feitoto mkataba wake ulikuwa unamruhusu kuvunja mkataba wake kwa kutoa Milioni 112 Prince Dube mkataba wake ulikuwa unamtaka ili avunje mkataba lazima alipwe Dola za kimarekani 300,000/= ambazo ni zaidi ya Milioni 750 za kitanzania. Hapa utaona utofauti wa mawakili wa Azam na mawakili wa Yanga, wakati mawakili wa Yanga wakiweka pesa ya kuvunja mkataba ndogo wenzetu Azam waliweka buyout clause kubwa zaidi hapa mawakili wa Azam Sports Club walifanya kazi yao ipasavyo wakati mawakili wa Yanga walifeli katika kuusuka mkataba wa Feitoto.

Nitashangaa nikikutana na Wakili alieandaa mkataba wa Awesu Awesu na kuweka buyout clause ya Milioni 50 akiwalaumu wachambuzi kuwa wamefanya Awesu Awesu atoroke club yake baada ya kuwalipa KMC Milioni 50.

Buyout clause ni kipengele cha anasa kinachomwezesha mchezaji kujiamria kununua mkataba wake baada ya kulipa kwa club kiasi cha pesa kilichowekwa katika mkataba. Japokuwa anayetakiwa kununua mkataba wake ni mchezaji lakini practically zoezi Hilo hufadhiliwa na timu inayomtaka mchezaji husika. Duniani kote ipo hivyo ndiyo maana nchi za wenzetu wanaweka buyout clause kubwa na mara nyingi inakuwa zaidi hata ya thamani halisi ya mchezaji.

Ukiweza kuweka buyout clause kubwa ina maana mchezaji hawezi kukurupuka tu na kutaka kununua mkataba wake akizingatia kiasi kikubwa cha pesa anachotakiwa kulipa. Hivyo buyout clause itamlazimisha mchezaji kurudi mezani na timu ku negotiate na kuomba apunguziwe ili alipe pesa kidogo mfano ni kilichotokea kwa Dube na Azam. Mara nyingine club inayomtaka mchezaji itaona ni bora ijitokeze iongee na timu inayommiliki mchezaji na kumnunua kuliko kulipa pesa iliyopo kwenye buyout clause.

Pia siyo sawa kulinganisha sakata la Feitoto na Kibu kwa sababu sakata la Kibu ndiyo kwanza linaanza bado hajaomba kuvunja mkataba Wala hajalipa buyout clause amount kama Feitoto hivyo sakata la Kibu Dennis utatuzi wake pia itategemea zaidi mkataba wake unataka Nini.

Sakata la Feitoto linafanana na Sakata la Dube na KMC isipokuwa tu tofauti ni kwamba Mawakili wa Azam walifanikiwa katika kuusuka vyema mkataba wao na Dube tofauti na mawakili wa Yanga na KMC ambao walifeli na kusababisha club zao kupata hasara.

Badala ya mawakili na viongozi wa vilabu kulaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto wajitafakari wao je wametekeleza wajibu wao ipasavyo? Je mawakili wa Timu zetu wanatimiza wajibu wao wakati wa kuisuka hii mikataba yao na wachezaji?

Maswala ya mikataba ya wachezaji ni maswala ya kisheria hivyo ni aubu sana wanasheria kuwalaumu wachambuzi watu ambao hawana elimu ya kisheria katika mambo ya kisheria kama anavyofanya wakili wa Yanga.

Wakatabahu.
Zawadi B Lupelo Esq
Mo
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji

Na Wakili Zawadi Lupelo

Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja mkataba wake na Yanga kuwa ndiyo waliosababisha kile alichokiita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao.

Binafsi nikiri kauli hii imenishangaza na kunishtua sana, Naam! Imenishtua zaidi kwa kuwa imetoka kwa wakili msomi na mkuu wa idara ya Sheria wa club kubwa ya Yanga. Pengine nisingeshangaa kama kauli hii ingetolewa na Ally Kamwe au hata Wakili kutoka timu ya kengold au Pamba united. Kauli hii kutoka kwa wakili msomi mwandamizi inafikirisha sana.

Inawezekana vipi mwanasheria mwandamizi kuwalaumu wachambuzi katika swala la mikataba ambalo ni swala kisheria? Inashangaza kwa mwanasheria kuwalaumu wachambuzi wasio hata na elimu ya Sheria katika swala la kisheria. Kama Simon Patrick anaamini wachambuzi ndiyo waliosabisha kile anachoita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi atakuwa anaamini pia kuwa wachambuzi ndiyo wenye mamlaka ya kulikomesha swala hilo?. Na kama tatizo limesababishwa na wachambuzi mbona suluhisho analipeleka kwa TFF?

Ni wazi Wakili Simon Patrick anajaribu kukwepa wajibu wake kama wakili wa club. Kama Kuna changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi tatizo halisababishwi na wachambuzi bali linasababishwa na mawakili na wanasheria wa vilabu vya Mpira wa miguu kukosa weledi katika kuandaa na kuisuka mikataba baina ya vilabu na wachezaji. Hivyo badala ya Mwanasheria wa Club kubwa kama Yanga kulitupia swala hili ambalo ni la kisheria zaidi kwa wachambuzi alipaswa kupeleka lawama kwa idara za vilabu vyetu vya Mpira wa miguu.

Kwa mfano tatizo la Feitoto na Yanga halikusababishwa na wachambuzi bali lilisababishwa na jinsi mkataba wa Yanga na Feitoto ulivyokuwa umesukwa kiasi cha kumruhusu Feitoto kuvunja mkataba wake kama atarudisha shilingi Milioni 112 za kitanzania. Swali je ni wachambuzi walioandaa huo mkataba na kuweka hicho kipengele kilichotumiwa na Feitoto kuvunja mkataba wake? Je kama mawakili wa Yanga wasingeweka hicho kipengele Feitoto angepata wapi uthubutu wa kuvunja mkataba?

Sina hakika kama Simon Patrick analinganisha sakata la Feitoto na Prince Dube. Sakata la Feitoto na Prince Dube halifanani wakati Feitoto mkataba wake ulikuwa unamruhusu kuvunja mkataba wake kwa kutoa Milioni 112 Prince Dube mkataba wake ulikuwa unamtaka ili avunje mkataba lazima alipwe Dola za kimarekani 300,000/= ambazo ni zaidi ya Milioni 750 za kitanzania. Hapa utaona utofauti wa mawakili wa Azam na mawakili wa Yanga, wakati mawakili wa Yanga wakiweka pesa ya kuvunja mkataba ndogo wenzetu Azam waliweka buyout clause kubwa zaidi hapa mawakili wa Azam Sports Club walifanya kazi yao ipasavyo wakati mawakili wa Yanga walifeli katika kuusuka mkataba wa Feitoto.

Nitashangaa nikikutana na Wakili alieandaa mkataba wa Awesu Awesu na kuweka buyout clause ya Milioni 50 akiwalaumu wachambuzi kuwa wamefanya Awesu Awesu atoroke club yake baada ya kuwalipa KMC Milioni 50.

Buyout clause ni kipengele cha anasa kinachomwezesha mchezaji kujiamria kununua mkataba wake baada ya kulipa kwa club kiasi cha pesa kilichowekwa katika mkataba. Japokuwa anayetakiwa kununua mkataba wake ni mchezaji lakini practically zoezi Hilo hufadhiliwa na timu inayomtaka mchezaji husika. Duniani kote ipo hivyo ndiyo maana nchi za wenzetu wanaweka buyout clause kubwa na mara nyingi inakuwa zaidi hata ya thamani halisi ya mchezaji.

Ukiweza kuweka buyout clause kubwa ina maana mchezaji hawezi kukurupuka tu na kutaka kununua mkataba wake akizingatia kiasi kikubwa cha pesa anachotakiwa kulipa. Hivyo buyout clause itamlazimisha mchezaji kurudi mezani na timu ku negotiate na kuomba apunguziwe ili alipe pesa kidogo mfano ni kilichotokea kwa Dube na Azam. Mara nyingine club inayomtaka mchezaji itaona ni bora ijitokeze iongee na timu inayommiliki mchezaji na kumnunua kuliko kulipa pesa iliyopo kwenye buyout clause.

Pia siyo sawa kulinganisha sakata la Feitoto na Kibu kwa sababu sakata la Kibu ndiyo kwanza linaanza bado hajaomba kuvunja mkataba Wala hajalipa buyout clause amount kama Feitoto hivyo sakata la Kibu Dennis utatuzi wake pia itategemea zaidi mkataba wake unataka Nini.

Sakata la Feitoto linafanana na Sakata la Dube na KMC isipokuwa tu tofauti ni kwamba Mawakili wa Azam walifanikiwa katika kuusuka vyema mkataba wao na Dube tofauti na mawakili wa Yanga na KMC ambao walifeli na kusababisha club zao kupata hasara.

Badala ya mawakili na viongozi wa vilabu kulaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto wajitafakari wao je wametekeleza wajibu wao ipasavyo? Je mawakili wa Timu zetu wanatimiza wajibu wao wakati wa kuisuka hii mikataba yao na wachezaji?

Maswala ya mikataba ya wachezaji ni maswala ya kisheria hivyo ni aubu sana wanasheria kuwalaumu wachambuzi watu ambao hawana elimu ya kisheria katika mambo ya kisheria kama anavyofanya wakili wa Yanga.

Wakatabahu.
Zawadi B Lupelo Esq
Mob justice
 
Mkuu huwezi kujadiliana kistaarabu bila lugha ya matusi na dharau. Au kwakuwa ni mtandaoni na hutumii jina lako basi hujali? Anyway hii comment nimei report kwa mods waicheck.
Wewe tutusa umetukanwa wapi kanjanja wewe?

Haya nireport na mimi kwa mods, unatishia kujamba wakati una tumbo la kuhara.
 
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji

Na Wakili Zawadi Lupelo

Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja mkataba wake na Yanga kuwa ndiyo waliosababisha kile alichokiita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao.

Binafsi nikiri kauli hii imenishangaza na kunishtua sana, Naam! Imenishtua zaidi kwa kuwa imetoka kwa wakili msomi na mkuu wa idara ya Sheria wa club kubwa ya Yanga. Pengine nisingeshangaa kama kauli hii ingetolewa na Ally Kamwe au hata Wakili kutoka timu ya kengold au Pamba united. Kauli hii kutoka kwa wakili msomi mwandamizi inafikirisha sana.

Inawezekana vipi mwanasheria mwandamizi kuwalaumu wachambuzi katika swala la mikataba ambalo ni swala kisheria? Inashangaza kwa mwanasheria kuwalaumu wachambuzi wasio hata na elimu ya Sheria katika swala la kisheria. Kama Simon Patrick anaamini wachambuzi ndiyo waliosabisha kile anachoita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi atakuwa anaamini pia kuwa wachambuzi ndiyo wenye mamlaka ya kulikomesha swala hilo?. Na kama tatizo limesababishwa na wachambuzi mbona suluhisho analipeleka kwa TFF?

Ni wazi Wakili Simon Patrick anajaribu kukwepa wajibu wake kama wakili wa club. Kama Kuna changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi tatizo halisababishwi na wachambuzi bali linasababishwa na mawakili na wanasheria wa vilabu vya Mpira wa miguu kukosa weledi katika kuandaa na kuisuka mikataba baina ya vilabu na wachezaji. Hivyo badala ya Mwanasheria wa Club kubwa kama Yanga kulitupia swala hili ambalo ni la kisheria zaidi kwa wachambuzi alipaswa kupeleka lawama kwa idara za vilabu vyetu vya Mpira wa miguu.

Kwa mfano tatizo la Feitoto na Yanga halikusababishwa na wachambuzi bali lilisababishwa na jinsi mkataba wa Yanga na Feitoto ulivyokuwa umesukwa kiasi cha kumruhusu Feitoto kuvunja mkataba wake kama atarudisha shilingi Milioni 112 za kitanzania. Swali je ni wachambuzi walioandaa huo mkataba na kuweka hicho kipengele kilichotumiwa na Feitoto kuvunja mkataba wake? Je kama mawakili wa Yanga wasingeweka hicho kipengele Feitoto angepata wapi uthubutu wa kuvunja mkataba?

Sina hakika kama Simon Patrick analinganisha sakata la Feitoto na Prince Dube. Sakata la Feitoto na Prince Dube halifanani wakati Feitoto mkataba wake ulikuwa unamruhusu kuvunja mkataba wake kwa kutoa Milioni 112 Prince Dube mkataba wake ulikuwa unamtaka ili avunje mkataba lazima alipwe Dola za kimarekani 300,000/= ambazo ni zaidi ya Milioni 750 za kitanzania. Hapa utaona utofauti wa mawakili wa Azam na mawakili wa Yanga, wakati mawakili wa Yanga wakiweka pesa ya kuvunja mkataba ndogo wenzetu Azam waliweka buyout clause kubwa zaidi hapa mawakili wa Azam Sports Club walifanya kazi yao ipasavyo wakati mawakili wa Yanga walifeli katika kuusuka mkataba wa Feitoto.

Nitashangaa nikikutana na Wakili alieandaa mkataba wa Awesu Awesu na kuweka buyout clause ya Milioni 50 akiwalaumu wachambuzi kuwa wamefanya Awesu Awesu atoroke club yake baada ya kuwalipa KMC Milioni 50.

Buyout clause ni kipengele cha anasa kinachomwezesha mchezaji kujiamria kununua mkataba wake baada ya kulipa kwa club kiasi cha pesa kilichowekwa katika mkataba. Japokuwa anayetakiwa kununua mkataba wake ni mchezaji lakini practically zoezi Hilo hufadhiliwa na timu inayomtaka mchezaji husika. Duniani kote ipo hivyo ndiyo maana nchi za wenzetu wanaweka buyout clause kubwa na mara nyingi inakuwa zaidi hata ya thamani halisi ya mchezaji.

Ukiweza kuweka buyout clause kubwa ina maana mchezaji hawezi kukurupuka tu na kutaka kununua mkataba wake akizingatia kiasi kikubwa cha pesa anachotakiwa kulipa. Hivyo buyout clause itamlazimisha mchezaji kurudi mezani na timu ku negotiate na kuomba apunguziwe ili alipe pesa kidogo mfano ni kilichotokea kwa Dube na Azam. Mara nyingine club inayomtaka mchezaji itaona ni bora ijitokeze iongee na timu inayommiliki mchezaji na kumnunua kuliko kulipa pesa iliyopo kwenye buyout clause.

Pia siyo sawa kulinganisha sakata la Feitoto na Kibu kwa sababu sakata la Kibu ndiyo kwanza linaanza bado hajaomba kuvunja mkataba Wala hajalipa buyout clause amount kama Feitoto hivyo sakata la Kibu Dennis utatuzi wake pia itategemea zaidi mkataba wake unataka Nini.

Sakata la Feitoto linafanana na Sakata la Dube na KMC isipokuwa tu tofauti ni kwamba Mawakili wa Azam walifanikiwa katika kuusuka vyema mkataba wao na Dube tofauti na mawakili wa Yanga na KMC ambao walifeli na kusababisha club zao kupata hasara.

Badala ya mawakili na viongozi wa vilabu kulaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto wajitafakari wao je wametekeleza wajibu wao ipasavyo? Je mawakili wa Timu zetu wanatimiza wajibu wao wakati wa kuisuka hii mikataba yao na wachezaji?

Maswala ya mikataba ya wachezaji ni maswala ya kisheria hivyo ni aubu sana wanasheria kuwalaumu wachambuzi watu ambao hawana elimu ya kisheria katika mambo ya kisheria kama anavyofanya wakili wa Yanga.

Wakatabahu.
Zawadi B Lupelo Esq
Sasa kwa nini alivyoenda TFF Yanga walishinda? Maana kama angekuwa haijui kazi yake hata asingeshinda....

Wachambuzi wabongo wana influence nyuma wachezaji sababu nao ni kama madalali japo wamejipa uwakala ambao hawaja usomea.

Bongo Mchambuzi anajua kila kitu, mpaka maswala ya mikataba ambayo imekaa,kisheria. Wachambuzi wengi ungaunga hawaja kukulia kwenye mifumo ya mpira, halafu hapo hapo unaenda kubishana na mwana sheria aliyekaa darasani miaka minne,plus mmoja wa Law School.

Halafu hamna mkataba unaovunjwa na upande mmoja, upuuzi huu upo kwenye ligi yenu.Mchezaji akiamua tu kesho anasema hajisikii kucheza timu fulani,anajiamulia kiwango cha kulipa ........ yaani upuuzi upuuuzi .We mchambuzi chambua dk 90 ndio eneo linalo kuhusu,mikataba wachie wanasheria. Mlinyamaza lwa Fei,ikaja Dube na Kibu na kajiamulia yeye mwenye kufanya majaribi bila kuwataarifu viongozi wa timu yake ,wewe umeona wapi upuuzi huu kama sio kwenye ligi yenu......

Hao wachambuzi wakina Henry,Keane,Caragher nk wengine wamecheza timu kubwa ktk level kubwa ulaya, siawahi kuwasikia wakichambua mikataba na kupost vipengele vya mikataba kwenye social networks. Huku kwenu mpuuzi mnashindwa kuheshimu tasnia za watu,umepewa hela na kisa una nafasi kwenye media unaropoka husiyo yajua,kisa mchambuzi. Mikataba ni too deep jiulize why Tz kila siku inapigwa.
 
Sasa wewe ukiangalia mwanasheria wa Yanga aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Milioni 112 na mwanasheria wa Azam aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Dola 300,000/= nani alifanikiwa?

Halafu usijekutumia maamuzi ya TFF kuzipima Simba na Yanga, TFF always inaziogopa Simba na Yanga hivyo Kila kesi watashinda lakini hata mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza anajua kuwa uamuzi wa TFF walikosea na ndiyo maana wanasheria wa Feitoto walikuwa katika harakati za kuappeal
Uliuona huo mkataba ? Maana kwenye kesi ya TFF Dube alidai hajui huo mkataba ulisainiwa lini? Hebu achaneni na maswala ya kisheria ya mkataba, wewe subiri mechi dk 90 ,hiyo mikataba kazi za watu waliosomea,sio oya oya wanaopoga soga kisa wana airtime kwenye media.
 
Yanga walimuuza Feitoto kwa Milioni 200 hapo ni baada ya Azam kuamua kufunika kombe ili kucomply na maagizo ya Mheshimiwa Rais kulimaliza Hilo swala.

Hata hivyo hiyo pesa bado ni kidogo sana kwa thamani ya Feitoto bado inabaki palepale kuwa wanasheria wa Yanga walifeli kwenye kuandaa mkataba wa Feisal hivyo kuikosesha Yanga mapato.

Matokeo yake katika harakati za Yanga kulipa kisasi wakamshawishi Prince Dube wakaenda kukutana na kigingi cha buyout clause ya Dola 300000 hiyo ni mara tatu ya pesa ambayo Azam alimnunua Feitoto. Sasa hapo nani ameula nani amepigwa? 😂 😂 😂
Fei kauzwa kwa 280m plus Yanga kuongezewa eneo la uwanja Jangwani, ukivalue kwa haraka haraka ni zaidi ya 500+m.

Halafu unajifanya mtu wa mpira ,hivi unajua kilicho fanyika hiki cha Fei kwa serikali kuingilia maamuzi ya chombo cha mpira TFF ni kosa,FIFA wangesikia nchi ingekula ban.
 
Back
Top Bottom