Wanasheria wa Vilabu vya Soka Tanzania fanyeni wajibu wenu, msilaumu wachambuzi

Wanasheria wa Vilabu vya Soka Tanzania fanyeni wajibu wenu, msilaumu wachambuzi

Fei kauzwa kwa 280m plus Yanga kuongezewa eneo la uwanja Jangwani, ukivalue kwa haraka haraka ni zaidi ya 500+m.

Halafu unajifanya mtu wa mpira ,hivi unajua kilicho fanyika hiki cha Fei kwa serikali kuingilia maamuzi ya chombo cha mpira TFF ni kosa,FIFA wangesikia nchi ingekula ban.
Serikali haikuingilia maamuzi ya TFF, Rais kwa hekima zake alishauri Yanga mmalizane na Feitoto, ilikuwa ni ushauri tu Yanga ingeweza kupuuza na kuendelea na kesi kule CAS.

Yanga kwa kutambua kuwa wakipuuza huenda ombi lao la uwanja lisingekubaliwa wakatumia nao busara na kumalizana na Feitoto.

Nikija kwenye hoja ya mauzo ya Feisal siyo kweli kwamba Feitoto mauzo yake yalifika hiyo mil 500+ na hiyo hesabu ya kupigia kuongezewa uwanja Haina uhalisia, kwani uwanja haujatoka Azam ni serikali imewapa kwani Feisal Salum anaenda kucheza timu ya Serikali ili muingize uwanja kama sehemu ya consideration au price ya Feitoto? Kwani kusingekuwa na mgogoro wa Feitoto Yanga isingeomba uwanja kwa serikali? Na je wasingepewa?
 
Serikali haikuingilia maamuzi ya TFF, Rais kwa hekima zake alishauri Yanga mmalizane na Feitoto, ilikuwa ni ushauri tu Yanga ingeweza kupuuza na kuendelea na kesi kule CAS.

Yanga kwa kutambua kuwa wakipuuza huenda ombi lao la uwanja lisingekubaliwa wakatumia nao busara na kumalizana na Feitoto.

Nikija kwenye hoja ya mauzo ya Feisal siyo kweli kwamba Feitoto mauzo yake yalifika hiyo mil 500+ na hiyo hesabu ya kupigia kuongezewa uwanja Haina uhalisia, kwani uwanja haujatoka Azam ni serikali imewapa kwani Feisal Salum anaenda kucheza timu ya Serikali ili muingize uwanja kama sehemu ya consideration au price ya Feitoto? Kwani kusingekuwa na mgogoro wa Feitoto Yanga isingeomba uwanja kwa serikali? Na je wasingepewa?
TFF si ilisema Fei ni mchezaji halali wa Yanga,mara tatu yale ni maamuzi ya chombo kinacho tambulika na FIFA chini ya Rais Karia ndio maana kiongozi yoyote wa serikali haruhusiwi kuingilia maamuzi ya chombo kinacho tambulika na FIFA.......

Haya mbona walishindwa kwenda CAS hao wakina Fei na Yanga walishinda mara tatu TFF,kitu gani kilicho wazuia wanasheria wa Fei kwenda CAS.....? Au unazani Wanasheria wa Fei walikiwa wajinga kama wewe,......... walikuwa wanajua wanachoenda kukutana nacho CAS.

Halafu tokea lini mpira ukaendeshwa na hekima na busara za rais? Huu mpira wenu na ndio maana leo kila mchezaji anajiamulia.Mpira unasimamiwa na kanuni zinazo ongoza mpira ambazo zipo chini ya FIFA ambazo zinatafsiriwa na Mwanasheria, sio mchambuzi.

Sawa uwanja haujatoka Azam,ila si umepatika kupitia swala la Fei........

Tushukuru FIFA hawa kulisikia hili kwani tungeishia humu humu kucheza NBC league,Mapinduzi na CRB Confederation na wachezaji wasingecheza mashindano yoyote yale.
 
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji

Na Wakili Zawadi Lupelo

Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja mkataba wake na Yanga kuwa ndiyo waliosababisha kile alichokiita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao.

Binafsi nikiri kauli hii imenishangaza na kunishtua sana, Naam! Imenishtua zaidi kwa kuwa imetoka kwa wakili msomi na mkuu wa idara ya Sheria wa club kubwa ya Yanga. Pengine nisingeshangaa kama kauli hii ingetolewa na Ally Kamwe au hata Wakili kutoka timu ya kengold au Pamba united. Kauli hii kutoka kwa wakili msomi mwandamizi inafikirisha sana.

Inawezekana vipi mwanasheria mwandamizi kuwalaumu wachambuzi katika swala la mikataba ambalo ni swala kisheria? Inashangaza kwa mwanasheria kuwalaumu wachambuzi wasio hata na elimu ya Sheria katika swala la kisheria. Kama Simon Patrick anaamini wachambuzi ndiyo waliosabisha kile anachoita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi atakuwa anaamini pia kuwa wachambuzi ndiyo wenye mamlaka ya kulikomesha swala hilo?. Na kama tatizo limesababishwa na wachambuzi mbona suluhisho analipeleka kwa TFF?

Ni wazi Wakili Simon Patrick anajaribu kukwepa wajibu wake kama wakili wa club. Kama Kuna changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi tatizo halisababishwi na wachambuzi bali linasababishwa na mawakili na wanasheria wa vilabu vya Mpira wa miguu kukosa weledi katika kuandaa na kuisuka mikataba baina ya vilabu na wachezaji. Hivyo badala ya Mwanasheria wa Club kubwa kama Yanga kulitupia swala hili ambalo ni la kisheria zaidi kwa wachambuzi alipaswa kupeleka lawama kwa idara za vilabu vyetu vya Mpira wa miguu.

Kwa mfano tatizo la Feitoto na Yanga halikusababishwa na wachambuzi bali lilisababishwa na jinsi mkataba wa Yanga na Feitoto ulivyokuwa umesukwa kiasi cha kumruhusu Feitoto kuvunja mkataba wake kama atarudisha shilingi Milioni 112 za kitanzania. Swali je ni wachambuzi walioandaa huo mkataba na kuweka hicho kipengele kilichotumiwa na Feitoto kuvunja mkataba wake? Je kama mawakili wa Yanga wasingeweka hicho kipengele Feitoto angepata wapi uthubutu wa kuvunja mkataba?

Sina hakika kama Simon Patrick analinganisha sakata la Feitoto na Prince Dube. Sakata la Feitoto na Prince Dube halifanani wakati Feitoto mkataba wake ulikuwa unamruhusu kuvunja mkataba wake kwa kutoa Milioni 112 Prince Dube mkataba wake ulikuwa unamtaka ili avunje mkataba lazima alipwe Dola za kimarekani 300,000/= ambazo ni zaidi ya Milioni 750 za kitanzania. Hapa utaona utofauti wa mawakili wa Azam na mawakili wa Yanga, wakati mawakili wa Yanga wakiweka pesa ya kuvunja mkataba ndogo wenzetu Azam waliweka buyout clause kubwa zaidi hapa mawakili wa Azam Sports Club walifanya kazi yao ipasavyo wakati mawakili wa Yanga walifeli katika kuusuka mkataba wa Feitoto.

Nitashangaa nikikutana na Wakili alieandaa mkataba wa Awesu Awesu na kuweka buyout clause ya Milioni 50 akiwalaumu wachambuzi kuwa wamefanya Awesu Awesu atoroke club yake baada ya kuwalipa KMC Milioni 50.

Buyout clause ni kipengele cha anasa kinachomwezesha mchezaji kujiamria kununua mkataba wake baada ya kulipa kwa club kiasi cha pesa kilichowekwa katika mkataba. Japokuwa anayetakiwa kununua mkataba wake ni mchezaji lakini practically zoezi Hilo hufadhiliwa na timu inayomtaka mchezaji husika. Duniani kote ipo hivyo ndiyo maana nchi za wenzetu wanaweka buyout clause kubwa na mara nyingi inakuwa zaidi hata ya thamani halisi ya mchezaji.

Ukiweza kuweka buyout clause kubwa ina maana mchezaji hawezi kukurupuka tu na kutaka kununua mkataba wake akizingatia kiasi kikubwa cha pesa anachotakiwa kulipa. Hivyo buyout clause itamlazimisha mchezaji kurudi mezani na timu ku negotiate na kuomba apunguziwe ili alipe pesa kidogo mfano ni kilichotokea kwa Dube na Azam. Mara nyingine club inayomtaka mchezaji itaona ni bora ijitokeze iongee na timu inayommiliki mchezaji na kumnunua kuliko kulipa pesa iliyopo kwenye buyout clause.

Pia siyo sawa kulinganisha sakata la Feitoto na Kibu kwa sababu sakata la Kibu ndiyo kwanza linaanza bado hajaomba kuvunja mkataba Wala hajalipa buyout clause amount kama Feitoto hivyo sakata la Kibu Dennis utatuzi wake pia itategemea zaidi mkataba wake unataka Nini.

Sakata la Feitoto linafanana na Sakata la Dube na KMC isipokuwa tu tofauti ni kwamba Mawakili wa Azam walifanikiwa katika kuusuka vyema mkataba wao na Dube tofauti na mawakili wa Yanga na KMC ambao walifeli na kusababisha club zao kupata hasara.

Badala ya mawakili na viongozi wa vilabu kulaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto wajitafakari wao je wametekeleza wajibu wao ipasavyo? Je mawakili wa Timu zetu wanatimiza wajibu wao wakati wa kuisuka hii mikataba yao na wachezaji?

Maswala ya mikataba ya wachezaji ni maswala ya kisheria hivyo ni aubu sana wanasheria kuwalaumu wachambuzi watu ambao hawana elimu ya kisheria katika mambo ya kisheria kama anavyofanya wakili wa Yanga.

Wakatabahu.
Zawadi B Lupelo Esq
Nitakuwa mwehu kama wewe nisipolaumu the so called wachwambuzi. Hao binadamu ni vichomi na Hakuna wanajua zaidi ya kufanya ushabiki kuwa uchambuzi.
 
Ishu ya Feitoto ni aibu hata kuiongelea kisheria maana maamuzi yametolewa kisiasa.

How comes useme kua wanasheria wa Yanga walizembea ilhali maamuzi ya mwisho hayajathibitisha hilo??
Utajuaje maamuzi ya wanasheria wa Yanga ni hovyo wakati bado walikua wanapambania kuuelewesha umma kupitia sheria kua huo mkataba unaosema ni wa hovyo wao waliona si wa hovyo.

TFF waliona wapo sahihi, wewe unasema TFF hawakua sahihi, mpaka hapa ni wanasheria wa yanga 1 Fei 0. Fei akachangiwa pesa aende mbele zaidi lakina hapo kati ndo raisi akamria hilo, hapo bado wanasheria wa Yanga walikua sahihi.
 
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji

Na Wakili Zawadi Lupelo

Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja mkataba wake na Yanga kuwa ndiyo waliosababisha kile alichokiita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao.

Binafsi nikiri kauli hii imenishangaza na kunishtua sana, Naam! Imenishtua zaidi kwa kuwa imetoka kwa wakili msomi na mkuu wa idara ya Sheria wa club kubwa ya Yanga. Pengine nisingeshangaa kama kauli hii ingetolewa na Ally Kamwe au hata Wakili kutoka timu ya kengold au Pamba united. Kauli hii kutoka kwa wakili msomi mwandamizi inafikirisha sana.

Inawezekana vipi mwanasheria mwandamizi kuwalaumu wachambuzi katika swala la mikataba ambalo ni swala kisheria? Inashangaza kwa mwanasheria kuwalaumu wachambuzi wasio hata na elimu ya Sheria katika swala la kisheria. Kama Simon Patrick anaamini wachambuzi ndiyo waliosabisha kile anachoita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi atakuwa anaamini pia kuwa wachambuzi ndiyo wenye mamlaka ya kulikomesha swala hilo?. Na kama tatizo limesababishwa na wachambuzi mbona suluhisho analipeleka kwa TFF?

Ni wazi Wakili Simon Patrick anajaribu kukwepa wajibu wake kama wakili wa club. Kama Kuna changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi tatizo halisababishwi na wachambuzi bali linasababishwa na mawakili na wanasheria wa vilabu vya Mpira wa miguu kukosa weledi katika kuandaa na kuisuka mikataba baina ya vilabu na wachezaji. Hivyo badala ya Mwanasheria wa Club kubwa kama Yanga kulitupia swala hili ambalo ni la kisheria zaidi kwa wachambuzi alipaswa kupeleka lawama kwa idara za vilabu vyetu vya Mpira wa miguu.

Kwa mfano tatizo la Feitoto na Yanga halikusababishwa na wachambuzi bali lilisababishwa na jinsi mkataba wa Yanga na Feitoto ulivyokuwa umesukwa kiasi cha kumruhusu Feitoto kuvunja mkataba wake kama atarudisha shilingi Milioni 112 za kitanzania. Swali je ni wachambuzi walioandaa huo mkataba na kuweka hicho kipengele kilichotumiwa na Feitoto kuvunja mkataba wake? Je kama mawakili wa Yanga wasingeweka hicho kipengele Feitoto angepata wapi uthubutu wa kuvunja mkataba?

Sina hakika kama Simon Patrick analinganisha sakata la Feitoto na Prince Dube. Sakata la Feitoto na Prince Dube halifanani wakati Feitoto mkataba wake ulikuwa unamruhusu kuvunja mkataba wake kwa kutoa Milioni 112 Prince Dube mkataba wake ulikuwa unamtaka ili avunje mkataba lazima alipwe Dola za kimarekani 300,000/= ambazo ni zaidi ya Milioni 750 za kitanzania. Hapa utaona utofauti wa mawakili wa Azam na mawakili wa Yanga, wakati mawakili wa Yanga wakiweka pesa ya kuvunja mkataba ndogo wenzetu Azam waliweka buyout clause kubwa zaidi hapa mawakili wa Azam Sports Club walifanya kazi yao ipasavyo wakati mawakili wa Yanga walifeli katika kuusuka mkataba wa Feitoto.

Nitashangaa nikikutana na Wakili alieandaa mkataba wa Awesu Awesu na kuweka buyout clause ya Milioni 50 akiwalaumu wachambuzi kuwa wamefanya Awesu Awesu atoroke club yake baada ya kuwalipa KMC Milioni 50.

Buyout clause ni kipengele cha anasa kinachomwezesha mchezaji kujiamria kununua mkataba wake baada ya kulipa kwa club kiasi cha pesa kilichowekwa katika mkataba. Japokuwa anayetakiwa kununua mkataba wake ni mchezaji lakini practically zoezi Hilo hufadhiliwa na timu inayomtaka mchezaji husika. Duniani kote ipo hivyo ndiyo maana nchi za wenzetu wanaweka buyout clause kubwa na mara nyingi inakuwa zaidi hata ya thamani halisi ya mchezaji.

Ukiweza kuweka buyout clause kubwa ina maana mchezaji hawezi kukurupuka tu na kutaka kununua mkataba wake akizingatia kiasi kikubwa cha pesa anachotakiwa kulipa. Hivyo buyout clause itamlazimisha mchezaji kurudi mezani na timu ku negotiate na kuomba apunguziwe ili alipe pesa kidogo mfano ni kilichotokea kwa Dube na Azam. Mara nyingine club inayomtaka mchezaji itaona ni bora ijitokeze iongee na timu inayommiliki mchezaji na kumnunua kuliko kulipa pesa iliyopo kwenye buyout clause.

Pia siyo sawa kulinganisha sakata la Feitoto na Kibu kwa sababu sakata la Kibu ndiyo kwanza linaanza bado hajaomba kuvunja mkataba Wala hajalipa buyout clause amount kama Feitoto hivyo sakata la Kibu Dennis utatuzi wake pia itategemea zaidi mkataba wake unataka Nini.

Sakata la Feitoto linafanana na Sakata la Dube na KMC isipokuwa tu tofauti ni kwamba Mawakili wa Azam walifanikiwa katika kuusuka vyema mkataba wao na Dube tofauti na mawakili wa Yanga na KMC ambao walifeli na kusababisha club zao kupata hasara.

Badala ya mawakili na viongozi wa vilabu kulaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto wajitafakari wao je wametekeleza wajibu wao ipasavyo? Je mawakili wa Timu zetu wanatimiza wajibu wao wakati wa kuisuka hii mikataba yao na wachezaji?

Maswala ya mikataba ya wachezaji ni maswala ya kisheria hivyo ni aubu sana wanasheria kuwalaumu wachambuzi watu ambao hawana elimu ya kisheria katika mambo ya kisheria kama anavyofanya wakili wa Yanga.

Wakatabahu.
Zawadi B Lupelo Esq
Tatizo ukiwa shabiki wa yanga huwezi kuwa na akili hata ukiwa na PhD.

Hilo ni kwa wote viongozi,mashabiki na wachambuzi wenye mapenzi na timu.
 
Wanasheria na mawakili kama nyinyi ndo Tundu Lissu anawaita Uchwara.
Kesi ya FEI na Yanga haikuhusu Zaid kiasi Cha Fedha kulipwa but ilihusu utaratibu wa mchezaji kuondoka .
Ikumbukwe mchezaji ni mali ya club huwezi jichukulia maamuzi tu bila kumhusisha muajili wako ambayo ni club Yako. Yaani timu inakulipa mshahara, inakuweka Kambi, inakupeleka gym, inaajiri makocha kukunoa na kuongeza kiwango chako harafu wewe ukurupuke katikati ya msimu et unaondoka umeona wapi UHUNI wa hivyo.

Yaani KIBU anaondoka mwisho wa msimu watu wanapoteana namna hii , Vipi angeondoka katikati huku ligi ikiendelea kama alivyofanya Feitoto Kwa Yanga si mngeshuka daraja nyinyi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Tulieni dawa iwaingie , kuimba kupokezana na Shetani hanaga rafiki.
Nani kapoteana?Shida zenu ninyi mashabiki wa yanga hamna akili.Hakuna shabiki wa Simba anayebabaika na Kibu.
Na akiomba kuindoka ataruhusiwa na siyo afanye ujinga halafu Simba isuse!
Kama una akili utaelewa ila ndio hivyo tena
 
Huyo Lissu mwenyewe ukimsimulia sakata la Feitoto ataukataa huo msimamo wako, anyway hapa Mimi natoa elimu Sina muda wa kuargue na layperson, ishu ya Feitoto ina maamuzi mengi (precedent) nyingi sana CAS wakijaribu kueleza ni kwa namna gani mchezaji anaweza kuvunja mkataba.

Ni kweli mchezaji ni Mali ya club na mahusiano ya mchezaji na club yanaongozwa zaidi na Mkataba, ukishaweza kipengele cha mchezaji kuvunja mkataba kwa kulipa Milioni 112 au Milioni 50 hiyo inakuwa ni haki ya msingi ya mchezaji kwa mujibu wa mkataba. Huwezi tena ukaanza kulazimisha mchezaji akuletee timu inayomtaka kama walivyokuwa wanafanya Yanga. Buyout clause inakuwa triggered na mchezaji na timu haiwezi kuzuia na hiyo ipo dunia nzima na ndiyo maana wenzetu huko nje huwa wanaweka buyout clause kubwa zaidi ya thamani ya mchezaji.

Sasa Yanga kwenye sakata la Feitoto waliikana buyout clause wanataka timu iende wamuuze hakunaga utaratibu wa aina hiyo. Mchezaji anaweza kuondoka kwenye timu kwa namna zifuatazo:
1. Kwa kuuzwa na timu yake (hapo Kuna makubaliano baina ya clubs 2 na mchezaji)

2. Ku trigger Release clause ( Hapo pia Kuna kuwa na makubaliano baina ya club mbili na mchezaji)

3. Kwa kununua mkataba wake mwenyewe (hapo hakuna makubaliano baina ya club mbili) mchezaji mwenyewe ananunua mkataba na kuondoka hahitaji ruhusa ya club Wala kuleta timu inayomtaka. Hiyo ndiyo njia aliyoichukua Feitoto

4. Mchezaji au timu kuvunja mkataba.
Hapa sasa timu au mchezaji anatakiwa awe na sababu ya msingi ya kufanya hivyo na kama hana sababu ya msingi basi adhabu yake ni kulipishwa fidia na siyo kurudishwa kwenye club yake. Hivyo hata kama TFF wangeegemea kwenye kipengele hiki kama waluvyofanya bado uamuzi wa kumrudisha Feitoto Yanga ulikuwa ni batili maana kanuni za FIFA zinaelekeza ni faini na suspension.
Tatizo unaongea na vichwa mbuzi wanajua kula nyasi tu,hawatakuelewa.Wakili wao msomi ndio kwanza anaandika ujinga,unadhani mashabiki watakuwaje?
 
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji

Na Wakili Zawadi Lupelo

Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja mkataba wake na Yanga kuwa ndiyo waliosababisha kile alichokiita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao.

Binafsi nikiri kauli hii imenishangaza na kunishtua sana, Naam! Imenishtua zaidi kwa kuwa imetoka kwa wakili msomi na mkuu wa idara ya Sheria wa club kubwa ya Yanga. Pengine nisingeshangaa kama kauli hii ingetolewa na Ally Kamwe au hata Wakili kutoka timu ya kengold au Pamba united. Kauli hii kutoka kwa wakili msomi mwandamizi inafikirisha sana.

Inawezekana vipi mwanasheria mwandamizi kuwalaumu wachambuzi katika swala la mikataba ambalo ni swala kisheria? Inashangaza kwa mwanasheria kuwalaumu wachambuzi wasio hata na elimu ya Sheria katika swala la kisheria. Kama Simon Patrick anaamini wachambuzi ndiyo waliosabisha kile anachoita changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi atakuwa anaamini pia kuwa wachambuzi ndiyo wenye mamlaka ya kulikomesha swala hilo?. Na kama tatizo limesababishwa na wachambuzi mbona suluhisho analipeleka kwa TFF?

Ni wazi Wakili Simon Patrick anajaribu kukwepa wajibu wake kama wakili wa club. Kama Kuna changamoto ya wachezaji wenye mikataba kutoroka timu zao basi tatizo halisababishwi na wachambuzi bali linasababishwa na mawakili na wanasheria wa vilabu vya Mpira wa miguu kukosa weledi katika kuandaa na kuisuka mikataba baina ya vilabu na wachezaji. Hivyo badala ya Mwanasheria wa Club kubwa kama Yanga kulitupia swala hili ambalo ni la kisheria zaidi kwa wachambuzi alipaswa kupeleka lawama kwa idara za vilabu vyetu vya Mpira wa miguu.

Kwa mfano tatizo la Feitoto na Yanga halikusababishwa na wachambuzi bali lilisababishwa na jinsi mkataba wa Yanga na Feitoto ulivyokuwa umesukwa kiasi cha kumruhusu Feitoto kuvunja mkataba wake kama atarudisha shilingi Milioni 112 za kitanzania. Swali je ni wachambuzi walioandaa huo mkataba na kuweka hicho kipengele kilichotumiwa na Feitoto kuvunja mkataba wake? Je kama mawakili wa Yanga wasingeweka hicho kipengele Feitoto angepata wapi uthubutu wa kuvunja mkataba?

Sina hakika kama Simon Patrick analinganisha sakata la Feitoto na Prince Dube. Sakata la Feitoto na Prince Dube halifanani wakati Feitoto mkataba wake ulikuwa unamruhusu kuvunja mkataba wake kwa kutoa Milioni 112 Prince Dube mkataba wake ulikuwa unamtaka ili avunje mkataba lazima alipwe Dola za kimarekani 300,000/= ambazo ni zaidi ya Milioni 750 za kitanzania. Hapa utaona utofauti wa mawakili wa Azam na mawakili wa Yanga, wakati mawakili wa Yanga wakiweka pesa ya kuvunja mkataba ndogo wenzetu Azam waliweka buyout clause kubwa zaidi hapa mawakili wa Azam Sports Club walifanya kazi yao ipasavyo wakati mawakili wa Yanga walifeli katika kuusuka mkataba wa Feitoto.

Nitashangaa nikikutana na Wakili alieandaa mkataba wa Awesu Awesu na kuweka buyout clause ya Milioni 50 akiwalaumu wachambuzi kuwa wamefanya Awesu Awesu atoroke club yake baada ya kuwalipa KMC Milioni 50.

Buyout clause ni kipengele cha anasa kinachomwezesha mchezaji kujiamria kununua mkataba wake baada ya kulipa kwa club kiasi cha pesa kilichowekwa katika mkataba. Japokuwa anayetakiwa kununua mkataba wake ni mchezaji lakini practically zoezi Hilo hufadhiliwa na timu inayomtaka mchezaji husika. Duniani kote ipo hivyo ndiyo maana nchi za wenzetu wanaweka buyout clause kubwa na mara nyingi inakuwa zaidi hata ya thamani halisi ya mchezaji.

Ukiweza kuweka buyout clause kubwa ina maana mchezaji hawezi kukurupuka tu na kutaka kununua mkataba wake akizingatia kiasi kikubwa cha pesa anachotakiwa kulipa. Hivyo buyout clause itamlazimisha mchezaji kurudi mezani na timu ku negotiate na kuomba apunguziwe ili alipe pesa kidogo mfano ni kilichotokea kwa Dube na Azam. Mara nyingine club inayomtaka mchezaji itaona ni bora ijitokeze iongee na timu inayommiliki mchezaji na kumnunua kuliko kulipa pesa iliyopo kwenye buyout clause.

Pia siyo sawa kulinganisha sakata la Feitoto na Kibu kwa sababu sakata la Kibu ndiyo kwanza linaanza bado hajaomba kuvunja mkataba Wala hajalipa buyout clause amount kama Feitoto hivyo sakata la Kibu Dennis utatuzi wake pia itategemea zaidi mkataba wake unataka Nini.

Sakata la Feitoto linafanana na Sakata la Dube na KMC isipokuwa tu tofauti ni kwamba Mawakili wa Azam walifanikiwa katika kuusuka vyema mkataba wao na Dube tofauti na mawakili wa Yanga na KMC ambao walifeli na kusababisha club zao kupata hasara.

Badala ya mawakili na viongozi wa vilabu kulaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto wajitafakari wao je wametekeleza wajibu wao ipasavyo? Je mawakili wa Timu zetu wanatimiza wajibu wao wakati wa kuisuka hii mikataba yao na wachezaji?

Maswala ya mikataba ya wachezaji ni maswala ya kisheria hivyo ni aubu sana wanasheria kuwalaumu wachambuzi watu ambao hawana elimu ya kisheria katika mambo ya kisheria kama anavyofanya wakili wa Yanga.

Wakatabahu.
Zawadi B Lupelo Esq
Kwa utafiti wako suala la Feitoto lilihitimishwa kisheria na wanasheria!?
Hoja ya Simon Patrick ni kwamba kuna nguvu iko nje inatumika visivyo kuwaoa wachezaji kiburi cha kuzigeuka timu zao. Na hiyo nguvu ina nguvu mno ndio maana Rais alipoingilia kati suala la Feitoto hata hao wachambuzi hakuna aliyesema wazi kuwa uamuzi ule ulivunja sheria na taratibu za soka.
Ngoja hali iendelee kuwa hivi baadae huko wachezaji wenyewe watajitojeza kuomba haya mambo yawekwe sawa.

Matajiri wametulia tu kwa sasa wanaangalia game inavyochezwa na hawa vijana.
 
Back
Top Bottom