Wanasheria wetu wana viwango?

Wanasheria wetu wana viwango?

Chambusiso

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2007
Posts
2,592
Reaction score
4,640
Sio kwa nia mbaya lakini ni kuwa na jicho critical kidogo, nauliza tu "wanasheria wetu wa kizazi hiki wana viwango?" kwa nini kama nchi kila kesi kule nje kwa wakoloni tunashindwa na kulipa mabilioni ya walipa kodi kiroho safi tu? Tuna maprofesa wa sheria wanapoongea hadi wanatoa macho yanataka kuanguka, wanashindwaje kuwakilisha nchi ya baba na mama zao kuokoa haya mapesa? Tuna wanasheria wanajiita wazalendo kupindukia, wametusaidia nini? Wanasheria wetu wanaona kilio kikubwa cha jamii kuhusu uonevu na kuporwa kwa haki ya kuishi, ya uongozi, ya huduma mbalimbali, nk, hawaoni hiki kilio, wanataka nani abebe jukumu la kutetea haki za jamii zao? Wanalalamika tu kama raia wengine hii ni sawa? Wanaona mfumo wa haki ulivyojaa rushwa na wakati mwingine wemetumika kudhulumu haki kwa kushikiana rushwa na majaji na mahakimu ikiwa ni pamoja na kupanga hukumu ili tu wapate maslahi ya kifedha (allergedly).

Imefikia hata wao wenyewe hawaaminiani, the case ya Mh. Adv. Lissu kumlipa Amsterdam amtetee hamna watanzania mahiri wa kutetea wateja kwa kesi za kimataifa?, hamna wanasheria wenye kuweza kushindana kimataifa? Wananchi tuende wapi? Tuendelee kuwaamini? Au uwezo wao hauvuki mipaka? Tumeona madaktari, manesi, wanasayansi wakifanya kazi katika nchi zilizoendelea na kuwa na umahiri unaolingana au unazidi hata wakoloni ndani ya nchi zao, why not wanasheria?

Naomba kuelewa wanabodi kama mtanzania mwenzenu na najua wazee wetu wametusomesha kwa shida kubwa na kufanya investments zao za time na mali lakini tunawalipa nini? Rushwa au umahiri?
 
Sio kwa nia mbaya lakini ni kuwa na jicho critical kidogo, nauliza tu "wanasheria wetu wa kizazi hiki wana viwango?" kwa nini kama nchi kila kesi kule nje kwa wakoloni tunashindwa na kulipa mabilioni ya walipa kodi kiroho safi tu? Tuna maprofesa wa sheria wanapoongea hadi wanatoa macho yanataka kuanguka, wanashindwaje kuwakilisha nchi ya baba na mama zao kuokoa haya mapesa? Tuna wanasheria wanajiita wazalendo kupindukia, wametusaidia nini? Wanasheria wetu wanaona kilio kikubwa cha jamii kuhusu uonevu na kuporwa kwa haki ya kuishi, ya uongozi, ya huduma mbalimbali, nk, hawaoni hiki kilio, wanataka nani abebe jukumu la kutetea haki za jamii zao? Wanalalamika tu kama raia wengine hii ni sawa? Wanaona mfumo wa haki ulivyojaa rushwa na wakati mwingine wemetumika kudhulumu haki kwa kushikiana rushwa na majaji na mahakimu ikiwa ni pamoja na kupanga hukumu ili tu wapate maslahi ya kifedha (allergedly).

Imefikia hata wao wenyewe hawaaminiani, the case ya Mh. Adv. Lissu kumlipa Amsterdam amtetee hamna watanzania mahiri wa kutetea wateja kwa kesi za kimataifa?, hamna wanasheria wenye kuweza kushindana kimataifa? Wananchi tuende wapi? Tuendelee kuwaamini? Au uwezo wao hauvuki mipaka? Tumeona madaktari, manesi, wanasayansi wakifanya kazi katika nchi zilizoendelea na kuwa na umahiri unaolingana au unazidi hata wakoloni ndani ya nchi zao, why not wanasheria?

Naomba kuelewa wanabodi kama mtanzania mwenzenu na najua wazee wetu wametusomesha kwa shida kubwa na kufanya investments zao za time na mali lakini tunawalipa nini? Rushwa au umahiri?
Unataka wenzako watekwe.
 
Sio kwa nia mbaya lakini ni kuwa na jicho critical kidogo, nauliza tu "wanasheria wetu wa kizazi hiki wana viwango?" kwa nini kama nchi kila kesi kule nje kwa wakoloni tunashindwa na kulipa mabilioni ya walipa kodi kiroho safi tu? Tuna maprofesa wa sheria wanapoongea hadi wanatoa macho yanataka kuanguka, wanashindwaje kuwakilisha nchi ya baba na mama zao kuokoa haya mapesa? Tuna wanasheria wanajiita wazalendo kupindukia, wametusaidia nini? Wanasheria wetu wanaona kilio kikubwa cha jamii kuhusu uonevu na kuporwa kwa haki ya kuishi, ya uongozi, ya huduma mbalimbali, nk, hawaoni hiki kilio, wanataka nani abebe jukumu la kutetea haki za jamii zao? Wanalalamika tu kama raia wengine hii ni sawa? Wanaona mfumo wa haki ulivyojaa rushwa na wakati mwingine wemetumika kudhulumu haki kwa kushikiana rushwa na majaji na mahakimu ikiwa ni pamoja na kupanga hukumu ili tu wapate maslahi ya kifedha (allergedly).

Imefikia hata wao wenyewe hawaaminiani, the case ya Mh. Adv. Lissu kumlipa Amsterdam amtetee hamna watanzania mahiri wa kutetea wateja kwa kesi za kimataifa?, hamna wanasheria wenye kuweza kushindana kimataifa? Wananchi tuende wapi? Tuendelee kuwaamini? Au uwezo wao hauvuki mipaka? Tumeona madaktari, manesi, wanasayansi wakifanya kazi katika nchi zilizoendelea na kuwa na umahiri unaolingana au unazidi hata wakoloni ndani ya nchi zao, why not wanasheria?

Naomba kuelewa wanabodi kama mtanzania mwenzenu na najua wazee wetu wametusomesha kwa shida kubwa na kufanya investments zao za time na mali lakini tunawalipa nini? Rushwa au umahiri?
Mabingwa wa sheria na ujuzi wako wengi sana.

Mifano ni mingi kwa uchache tu ni akina Lissu, Kibatala, Matata, Fatma Karume, et al.

Kiafrika afrika ukionesha uwezo wako basi uwe umejikana maisha yako na ndugu zako pia.
 
Sio kwa nia mbaya lakini ni kuwa na jicho critical kidogo, nauliza tu "wanasheria wetu wa kizazi hiki wana viwango?" kwa nini kama nchi kila kesi kule nje kwa wakoloni tunashindwa na kulipa mabilioni ya walipa kodi kiroho safi tu? Tuna maprofesa wa sheria wanapoongea hadi wanatoa macho yanataka kuanguka, wanashindwaje kuwakilisha nchi ya baba na mama zao kuokoa haya mapesa? Tuna wanasheria wanajiita wazalendo kupindukia, wametusaidia nini? Wanasheria wetu wanaona kilio kikubwa cha jamii kuhusu uonevu na kuporwa kwa haki ya kuishi, ya uongozi, ya huduma mbalimbali, nk, hawaoni hiki kilio, wanataka nani abebe jukumu la kutetea haki za jamii zao? Wanalalamika tu kama raia wengine hii ni sawa? Wanaona mfumo wa haki ulivyojaa rushwa na wakati mwingine wemetumika kudhulumu haki kwa kushikiana rushwa na majaji na mahakimu ikiwa ni pamoja na kupanga hukumu ili tu wapate maslahi ya kifedha (allergedly).

Imefikia hata wao wenyewe hawaaminiani, the case ya Mh. Adv. Lissu kumlipa Amsterdam amtetee hamna watanzania mahiri wa kutetea wateja kwa kesi za kimataifa?, hamna wanasheria wenye kuweza kushindana kimataifa? Wananchi tuende wapi? Tuendelee kuwaamini? Au uwezo wao hauvuki mipaka? Tumeona madaktari, manesi, wanasayansi wakifanya kazi katika nchi zilizoendelea na kuwa na umahiri unaolingana au unazidi hata wakoloni ndani ya nchi zao, why not wanasheria?

Naomba kuelewa wanabodi kama mtanzania mwenzenu na najua wazee wetu wametusomesha kwa shida kubwa na kufanya investments zao za time na mali lakini tunawalipa nini? Rushwa au umahiri?
Sheria Ni kama Ulivyo udaktari tu,
Kila mtu anasehemu ya Ubingwa wake..

Kama ilivyo huwezi kutafuta Mtu kwa akutibu kwa Sababu ya Ukabila au Utaifa ila kwa sababu ya Ubobezi (Specialisation)..

Vivyo hivyo huwezi kuchukua mtu akusimamii kesi Kama hajabobea kwenye kitu unachoenda kukidai..

Huwezi kumchukua Advocate/attorney/Counsellor ambaye amebobea Kwenye maswala ya Criminal law halafu Ukampeleka Kwenda Kusimamia Kesi ambayo ni Contract Based.. na Upande wa Pili wako yaani Unaowashtaki ni Wabobezi wa Contract.. Utashindwa..

So unapochagua Chagua Kwa sababu ya Usomi na Ubobevu na sio kwa sababu ya Utawala
 
Sheria Ni kama Ulivyo udaktari tu,
Kila mtu anasehemu ya Ubingwa wake..

Kama ilivyo huwezi kutafuta Mtu kwa akutibu kwa Sababu ya Ukabila au Utaifa ila kwa sababu ya Ubobezi (Specialisation)..

Vivyo hivyo huwezi kuchukua mtu akusimamii kesi Kama hajabobea kwenye kitu unachoenda kukidai..

Huwezi kumchukua Advocate/attorney/Counsellor ambaye amebobea Kwenye maswala ya Criminal law halafu Ukampeleka Kwenda Kusimamia Kesi ambayo ni Contract Based.. na Upande wa Pili wako yaani Unaowashtaki ni Wabobezi wa Contract.. Utashindwa..

So unapochagua Chagua Kwa sababu ya Usomi na Ubobevu na sio kwa sababu ya Utawala
I second You
 
Sheria Ni kama Ulivyo udaktari tu,
Kila mtu anasehemu ya Ubingwa wake..

Kama ilivyo huwezi kutafuta Mtu kwa akutibu kwa Sababu ya Ukabila au Utaifa ila kwa sababu ya Ubobezi (Specialisation)..

Vivyo hivyo huwezi kuchukua mtu akusimamii kesi Kama hajabobea kwenye kitu unachoenda kukidai..

Huwezi kumchukua Advocate/attorney/Counsellor ambaye amebobea Kwenye maswala ya Criminal law halafu Ukampeleka Kwenda Kusimamia Kesi ambayo ni Contract Based.. na Upande wa Pili wako yaani Unaowashtaki ni Wabobezi wa Contract.. Utashindwa..

So unapochagua Chagua Kwa sababu ya Usomi na Ubobevu na sio kwa sababu ya Utawala

Exactly, why wanaochaguliwa kwa usomi huo uliosema wanaenda kuangukia pua kila kesi? Kesi ngapi tumewashinda wakoloni? Najua nyingi tumeshindwa )sina namba though. sikumbuki lini tumesherehekea kushinda kesi sisi, kila siku ni kilio tu,
 
Exactly, why wanaochaguliwa kwa usomi huo uliosema wanaenda kuangukia pua kila kesi? Kesi ngapi tumewashinda wakoloni? Najua nyingi tumeshindwa )sina namba though. sikumbuki lini tumesherehekea kushinda kesi sisi, kila siku ni kilio tu,

Oh nimekumbuka moja ya City water against dawasco or so enzi za Lowassa waziri wa maji or mkuu!
 
Exactly, why wanaochaguliwa kwa usomi huo uliosema wanaenda kuangukia pua kila kesi? Kesi ngapi tumewashinda wakoloni? Najua nyingi tumeshindwa )sina namba though. sikumbuki lini tumesherehekea kushinda kesi sisi, kila siku ni kilio tu,
Mimi Nitamsaidia Kujibu..
Kwa sababu Kesi nyingi ni Vigumu Kuzitetea,
Kwa mfano wewe Uende Hadharani Ubake watu wengi wakishuhudia Halfu Uombe Nikutetee Kesi..

Unafikiri Nitashinda??
Zaidi nitakachofanya Labda Tufanye Bargaining ya plea..
Kwamba Kama ulipaswa kwenda Jela miaka 30 bhasi nimuombe DPP uende angalau miaka 15..
Hiyo kesi Huwezi kushinda..

Tatizo kubwa Aliwahi kulisema Mh spika Mstaafu kuwa tunaowapeleka kufunga Mikaataba ni watu wasio na Elimu ya Mikataba na Tunawapeleka kwa sbabu ya Seniority hivyo ikija swala la Contract breach lazma tuangukie Pua..


View: https://youtu.be/ngIh0WOWv6A?si=Qnk6TdFnufWQi-Xe
 
Mimi Nitamsaidia Kujibu..
Kwa sababu Kesi nyingi ni Vigumu Kuzitetea,
Kwa mfano wewe Uende Hadharani Ubake watu wengi wakishuhudia Halfu Uombe Nikutetee Kesi..

Unafikiri Nitashinda??
Zaidi nitakachofanya Labda Tufanye Bargaining ya plea..
Kwamba Kama ulipaswa kwenda Jela miaka 30 bhasi nimuombe DPP uende angalau miaka 15..
Hiyo kesi Huwezi kushinda..

Tatizo kubwa Aliwahi kulisema Mh spika Mstaafu kuwa tunaowapeleka kufunga Mikaataba ni watu wasio na Elimu ya Mikataba na Tunawapeleka kwa sbabu ya Seniority hivyo ikija swala la Contract breach lazma tuangukie Pua..


View: https://youtu.be/ngIh0WOWv6A?si=Qnk6TdFnufWQi-Xe


Nakuelewa kaka, but why this happens over and over again? Hata bargaining hatufanyi? Hatuna competence? Why? Just curios, sina nia ya kusema vibaya but kuangalia critically kwa nini haya yanatokea na kujirudia miaka na miaka??
 
Tunaona nchi inaporwa nje na ndani kila siku miaka na miaka ni nani wa kumvisha paka kengele? Babu yangu kule matombo na ushoroba aibuke kusema no, enough is enough? Ni wanasheria au wanasiasa wa caliber ya kibajaji na wenzie wanaojua kusoma na kuandika? au bodaboda?
 
Nakuelewa kaka, but why this happens over and over again? Hata bargaining hatufanyi? Hatuna competence? Why? Just curios, sina nia ya kusema vibaya but kuangalia critically kwa nini haya yanatokea na kujirudia miaka na miaka??
Maybe Tunatatizo linalotakiwa Kuwa Address kutoka kwenye Ofisi ya Mwanasheria Mkuu..

Kama Yanatokea Mara kwa mara Basi kuna shida kwenye Ofisi ya Mwanasheria mkuu labda haifanyi kazi yake ipasavyo
 
Tunaona nchi inaporwa nje na ndani kila siku miaka na miaka ni nani wa kumvisha paka kengele? Babu yangu kule matombo na ushoroba aibuke kusema no, enough is enough? Ni wanasheria au wanasiasa wa caliber ya kibajaji na wenzie wanaojua kusoma na kuandika? au bodaboda?
Kuna Kesi moja Siku sio Nyingi..

Mahakama Ilitoa Hukumu Nanukuu (Kwa nukuu isisyo rasmi)..
"Mahakama Haitaingilia Maamuzi yaliyoamriwa na Bunge la Jamhuri ya Tanzania, Kwa sababu yaliamriwa na Muhimili Mwingine na wala haitaamuru Bunge Kufuta maamuzi yao...

Ila Tunarudisha Hukumu Hii kwa Mahakama Ya wananchi wao ndo waamue kuhusu Swala hili ambalo liko Chini yao"


Unajua kwa tafsiri hii ni nini?

Ni kwamba Mahakama imefanya kazi yake ila Mikono yao imefungwa na wanaowalaumu ni wananchi kw Kushindwa Kufanya kazi yao ya Kikatiba (Japo hawajasema Lawama Ila kwa muelewa na utashi wangu utaona Kuwa Waanalaumu)

Ambayo kazi ya Kikatiba ya wananchi ni Kupeleka Viongozi Bora Bungeni ambao watatunga Sheria nzuri as well as Kupitisha Miktaba Isiyo na Migongano
 
Ambayo kimsingi mahakama imerudisha kwa wanasheria wanaojua tafsiri na wanaojiita mawakili (wanawakilisha wananchi) sidhani kama imemaanisha wananchi kula uswekeni ndio waibebe, mahakama kimsingi inajua kabisa wanavijiji hata wakichagua viongozi, watakaoamua mshindi sio kura zao. Mahakama imeona na kujibu silently wabunge hawawakilishi mtu zaidi ya matumbo yao!

Na hii ni kesi ya ndani kati ya branches za watawala, najiuliza mkulima wa kawaida akiwa na kesi London si ni kwamba anahesabu ameshindwa tu na kusubiri haki yake mbinguni?? Kama Lissu mwanasheria mwenzao anaona kabisa ili apate haki yake hana sababu ya kumpeleka Kibatala au law chamber yoyote ya kibongo kule London anaamua Amsterdam na team yake wakamuwakilishe wakati uhalifu ulitokea bongo? Tupo wapi? Tuendelee kuwaamini? Au kazi yao iwe tu kusaini notary na kupiga kura kule TLS?

What are their professional obligations kama wana jamii bila kujali maslahi au uanasheria wao? Wameumbwa kutumikia pesa tu? Kila wanachofanya lazima iwe kwa malipo? Wakiona haki haitendeki wanaacha tu hadi wapewe contract yenye maslahi? Hawana discretion ya kuona hapa haki haitendeki na wao kusema HAPANA??? Sheria haiwaruhusu kuchukua hatua bila kuajiriwa? Bila maslahi???

Kwa mfano kada za afya kuna kitu kinaitwa good samaritan, yani ukiona mtu anahitaji huduma ya dharura bila kujali utalipwa au la unaruhusiwa kuchukua hatua kuokoa maisha mahali popote (ni hiyari unaweza kuacha afe) ila unalazimika kufanya kwa kiwango kilekile cha kitaaluma (ukiamua) sio ulipue tu kwa kuwa unasaidia. So kwenye ajali utaona madaktari na wauguzi wapo mstari wa mbele kuokoa watu wanaopoteza damu na kuhakikisha wanapata huduma ya kwanza bila kusubiri wajiriwe au wawe na mkataba wa kutoa huduma

Najifunza tu out of the box
 
Mwajiri unapovunja mkataba wa ajira bila kufuata utaratibu lazima uadhibiwe.
Hapa sio swala la mawakili ni suala la kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu... Nafikiri kuna mabadiliko ya Sheria kuwa Mtu anayevunja mkataba bila maelezo ya AG atakuwa held individual responsible.
 
Mwajiri unapovunja mkataba wa ajira bila kufuata utaratibu lazima uadhibiwe.
Hapa sio swala la mawakili ni suala la kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu... Nafikiri kuna mabadiliko ya Sheria kuwa Mtu anayevunja mkataba bila maelezo ya AG atakuwa held individual responsibi
 
Mwajiri unapovunja mkataba wa ajira bila kufuata utaratibu lazima uadhibiwe.
Hapa sio swala la mawakili ni suala la kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu... Nafikiri kuna mabadiliko ya Sheria kuwa Mtu anayevunja mkataba bila maelezo ya AG atakuwa held individual responsible.
Japo sijaelewa context vizuri lakini nashukuru kwa maelezo yako
 
Sio kwa nia mbaya lakini ni kuwa na jicho critical kidogo, nauliza tu "wanasheria wetu wa kizazi hiki wana viwango?" kwa nini kama nchi kila kesi kule nje kwa wakoloni tunashindwa na kulipa mabilioni ya walipa kodi kiroho safi tu? Tuna maprofesa wa sheria wanapoongea hadi wanatoa macho yanataka kuanguka, wanashindwaje kuwakilisha nchi ya baba na mama zao kuokoa haya mapesa? Tuna wanasheria wanajiita wazalendo kupindukia, wametusaidia nini? Wanasheria wetu wanaona kilio kikubwa cha jamii kuhusu uonevu na kuporwa kwa haki ya kuishi, ya uongozi, ya huduma mbalimbali, nk, hawaoni hiki kilio, wanataka nani abebe jukumu la kutetea haki za jamii zao? Wanalalamika tu kama raia wengine hii ni sawa? Wanaona mfumo wa haki ulivyojaa rushwa na wakati mwingine wemetumika kudhulumu haki kwa kushikiana rushwa na majaji na mahakimu ikiwa ni pamoja na kupanga hukumu ili tu wapate maslahi ya kifedha (allergedly).

Imefikia hata wao wenyewe hawaaminiani, the case ya Mh. Adv. Lissu kumlipa Amsterdam amtetee hamna watanzania mahiri wa kutetea wateja kwa kesi za kimataifa?, hamna wanasheria wenye kuweza kushindana kimataifa? Wananchi tuende wapi? Tuendelee kuwaamini? Au uwezo wao hauvuki mipaka? Tumeona madaktari, manesi, wanasayansi wakifanya kazi katika nchi zilizoendelea na kuwa na umahiri unaolingana au unazidi hata wakoloni ndani ya nchi zao, why not wanasheria?

Naomba kuelewa wanabodi kama mtanzania mwenzenu na najua wazee wetu wametusomesha kwa shida kubwa na kufanya investments zao za time na mali lakini tunawalipa nini? Rushwa au umahiri?
Mifumo ya Elimu iliyopo Tanzania ina mapungufu makubwa Sana kuhusiana na suala la competency kwa Wahitimu, Mhitimu ili awe mbobevu wa kutosha ni LAZIMA angalau achanganye mifumo ya elimu ya hapa Tz na ya nchi nyingine ya ughaibuni, hapo ndipo anakuwa mkamilifu katika competency ya ubobevu wake kwenye elimu.

Sheria Ni kama Ulivyo udaktari tu,
Kila mtu anasehemu ya Ubingwa wake..

Kama ilivyo huwezi kutafuta Mtu kwa akutibu kwa Sababu ya Ukabila au Utaifa ila kwa sababu ya Ubobezi (Specialisation)..

Vivyo hivyo huwezi kuchukua mtu akusimamii kesi Kama hajabobea kwenye kitu unachoenda kukidai..

Huwezi kumchukua Advocate/attorney/Counsellor ambaye amebobea Kwenye maswala ya Criminal law halafu Ukampeleka Kwenda Kusimamia Kesi ambayo ni Contract Based.. na Upande wa Pili wako yaani Unaowashtaki ni Wabobezi wa Contract.. Utashindwa..

So unapochagua Chagua Kwa sababu ya Usomi na Ubobevu na sio kwa sababu ya Utawala

Kwa bahati mbaya sana kwa Tanzania kwenye suala hili la Sheria Hakuna Specialization kwenye kipengele fulani pekee tu, Wanasheria karibia wote wamekuwa wakisoma Sheria zote in general.

Oh nimekumbuka moja ya City water against dawasco or so enzi za Lowassa waziri wa maji or mkuu!

Wanasheria wa Tanzania waliokwenda Mahakamani ili kuitetea Serikali ya Tanzania kwenye Kesi hiyo walikuwa hawatoki Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, na Wala Mawakili hao waliokwenda kuitetea Tanzania kwenye Kesi hiyo walikuwa siyo Watumishi wa Serikali, bali walikuwa ni Watanzania wa kawaida ambao pia walikuwa ni Wanaharakati waliokuwa wanaishi na kusoma katika Vyuo Vikuu huko nje ya nchi. Walikuwa ni Wanafunzi, Wanaharakati na walikuwa Wazalendo wa kweli kwa nchi yao Tanzania, that's why walijitolea kwenda Mahakamani ili kuitetea nchi kwenye Kesi hiyo, kama sijakosea, Majina ya Watu hao nakumbuka ni somebody Deus Kibamba na/au mwingine ni Kanerugaba, mtanirekebisha endapo kama nimekosea kutaja Majina yao kwa usahihi.
 
Sio kwa nia mbaya lakini ni kuwa na jicho critical kidogo, nauliza tu "wanasheria wetu wa kizazi hiki wana viwango?" kwa nini kama nchi kila kesi kule nje kwa wakoloni tunashindwa na kulipa mabilioni ya walipa kodi kiroho safi tu? Tuna maprofesa wa sheria wanapoongea hadi wanatoa macho yanataka kuanguka, wanashindwaje kuwakilisha nchi ya baba na mama zao kuokoa haya mapesa? Tuna wanasheria wanajiita wazalendo kupindukia, wametusaidia nini? Wanasheria wetu wanaona kilio kikubwa cha jamii kuhusu uonevu na kuporwa kwa haki ya kuishi, ya uongozi, ya huduma mbalimbali, nk, hawaoni hiki kilio, wanataka nani abebe jukumu la kutetea haki za jamii zao? Wanalalamika tu kama raia wengine hii ni sawa? Wanaona mfumo wa haki ulivyojaa rushwa na wakati mwingine wemetumika kudhulumu haki kwa kushikiana rushwa na majaji na mahakimu ikiwa ni pamoja na kupanga hukumu ili tu wapate maslahi ya kifedha (allergedly).

Imefikia hata wao wenyewe hawaaminiani, the case ya Mh. Adv. Lissu kumlipa Amsterdam amtetee hamna watanzania mahiri wa kutetea wateja kwa kesi za kimataifa?, hamna wanasheria wenye kuweza kushindana kimataifa? Wananchi tuende wapi? Tuendelee kuwaamini? Au uwezo wao hauvuki mipaka? Tumeona madaktari, manesi, wanasayansi wakifanya kazi katika nchi zilizoendelea na kuwa na umahiri unaolingana au unazidi hata wakoloni ndani ya nchi zao, why not wanasheria?

Naomba kuelewa wanabodi kama mtanzania mwenzenu na najua wazee wetu wametusomesha kwa shida kubwa na kufanya investments zao za time na mali lakini tunawalipa nini? Rushwa au umahiri?
Kwa kifupi serikalini huwa hawaangalii compitence na siku ukiwa smart jua unageuka adui kwa watu.

Serikalini ili upate cheo huwa wanaangalia

1. Uwe kada wa ccm au uwe mtu mtiifu kwa chama.

2. Uwe na uwezo wa kuwaona wakuu pale inapo bidi.

3. Mtu ambaye yuko tayari kuacha utaalamu na kufwata matakwa ya chama. Mfano kama utaalamu unasema barabara ipite hapa na sio pale ila chama kinataka barabara hiyo ipite sehemu utaalamu hautaki basi uwe tayari kufanya hivyo.
 
Kwa kifupi serikalini huwa hawaangalii compitence na siku ukiwa smart jua unageuka adui kwa watu.

Serikalini ili upate cheo huwa wanaangalia

1. Uwe kada wa ccm au uwe mtu mtiifu kwa chama.

2. Uwe na uwezo wa kuwaona wakuu pale inapo bidi.

3. Mtu ambaye yuko tayari kuacha utaalamu na kufwata matakwa ya chama. Mfano kama utaalamu unasema barabara ipite hapa na sio pale ila chama kinataka barabara hiyo ipite sehemu utaalamu hautaki basi uwe tayari kufanya hivyo.
Fact!
 
Back
Top Bottom