Wanasheria wetu wana viwango?

Wanasheria wetu wana viwango?

Kwa bahati mbaya sana kwa Tanzania kwenye suala hili la Sheria Hakuna Specialization kwenye kipengele fulani pekee tu, Wanasheria karibia wote wamekuwa wakisoma Sheria zote in general.
Wewe Ni mwanasheria?
Kama Sio nakwambia Kutokana na Uzoefu wangu wa Sheria..
Katafute mwanasheria yoyote atakuwambia Kila mwanasheria Kuna Upande kabobea Kuliko Upande mwingine Hiyo ndyo tunaita Ubobevu...

Kuna Mwingine Ni mzima Sana kwenye Constitutional law lakini ukimleta kwemye Criminal Ni chaka sio mzima kabisa..

Kuna Mwimgine ni. Mzima kwenye International Law lakini ukimleta kwenye Contract hawezi ni mapaka achukue Muda kusoma..

Kuhusu Specialisation Wanasheria wote Tanzania wanasoma General Wakiwa kwenye Level ya LLB bhasi..

Ila ulifika Level ya LLM unaspecialise Kwwnye Certain part Ninajua na ninakitetea kila ambacho ninakijua na Kukiishi pengine kama ukikuwa Hujui bjasi nakujuza Kuwa Wanasheria wakienda kwenye LLM (master) Hufanya Elimu ya Ubobezi..

Asante!
 
Wewe Ni mwanasheria?
Kama Sio nakwambia Kutokana na Uzoefu wangu wa Sheria..
Katafute mwanasheria yoyote atakuwambia Kila mwanasheria Kuna Upande kabobea Kuliko Upande mwingine Hiyo ndyo tunaita Ubobevu...

Kuna Mwingine Ni mzima Sana kwenye Constitutional law lakini ukimleta kwemye Criminal Ni chaka sio mzima kabisa..

Kuna Mwimgine ni. Mzima kwenye International Law lakini ukimleta kwenye Contract hawezi ni mapaka achukue Muda kusoma..

Kuhusu Specialisation Wanasheria wote Tanzania wanasoma General Wakiwa kwenye Level ya LLB bhasi..

Ila ulifika Level ya LLM unaspecialise Kwwnye Certain part Ninajua na ninakitetea kila ambacho ninakijua na Kukiishi pengine kama ukikuwa Hujui bjasi nakujuza Kuwa Wanasheria wakienda kwenye LLM (master) Hufanya Elimu ya Ubobezi..

Asante!

Mimi sio mwanasheria nauliza tu kwa common sense assuming kwamba muhusika (serikali) imeangalia haya yote na ikampata mwanasheria mwenye hizo sifa zote ulizosema why bado wanaenda kuanguka?

Naamini serikali haiwezi kushindwa kumpata afisa mwenye sifa zozote inazotaka hata hizo specializations na hasa kwenye maslahi makubwa kama ya haya mabilioni yanayopotea. Hao wenye LLM wapo wapi kutetea injustices zilizojaa kwenye jamii yetu leo hii na specialization zao. Hii ndio hoja yangu kubwa Just curiuos
 
Mimi sio mwanasheria nauliza tu kwa common sense assuming kwamba muhusika (serikali) imeangalia haya yote na ikampata mwanasheria mwenye hizo sifa zote ulizosema why bado wanaenda kuanguka?

Naamini serikali haiwezi kushindwa kumpata afisa mwenye sifa zozote inazotaka hata hizo specializations na hasa kwenye maslahi makubwa kama ya haya mabilioni yanayopotea. Hao wenye LLM wapo wapi kutetea injustices zilizojaa kwenye jamii yetu leo hii na specialization zao. Hii ndio hoja yangu kubwa Just curiuos
Nop nilikuwa Namuuliza aliyesema Kwamba Kwenye Sheria Hakuna Specialisation..
Hao wenye LLM wamejaa na ndo hao unaowaona Kila siku..
Kwa mfano Albertal Msando Ni mwanasheria aliyesomea LLM (international Law) maana yake ni Mbobezi kwenye sheria za Kimataifa alifaa sana kwenda Kufanya Negotiation au anafaa sana kuongoza Jukumu la Kukagua Mikataba..

Lakini mwisho wa siku ndyo tena Mkuu wa wilaya ila alikuwa Wakili poa Sana enzi zake
 
Sio kwa nia mbaya lakini ni kuwa na jicho critical kidogo, nauliza tu "wanasheria wetu wa kizazi hiki wana viwango?" kwa nini kama nchi kila kesi kule nje kwa wakoloni tunashindwa na kulipa mabilioni ya walipa kodi kiroho safi tu? Tuna maprofesa wa sheria wanapoongea hadi wanatoa macho yanataka kuanguka, wanashindwaje kuwakilisha nchi ya baba na mama zao kuokoa haya mapesa? Tuna wanasheria wanajiita wazalendo kupindukia, wametusaidia nini? Wanasheria wetu wanaona kilio kikubwa cha jamii kuhusu uonevu na kuporwa kwa haki ya kuishi, ya uongozi, ya huduma mbalimbali, nk, hawaoni hiki kilio, wanataka nani abebe jukumu la kutetea haki za jamii zao? Wanalalamika tu kama raia wengine hii ni sawa? Wanaona mfumo wa haki ulivyojaa rushwa na wakati mwingine wemetumika kudhulumu haki kwa kushikiana rushwa na majaji na mahakimu ikiwa ni pamoja na kupanga hukumu ili tu wapate maslahi ya kifedha (allergedly).

Imefikia hata wao wenyewe hawaaminiani, the case ya Mh. Adv. Lissu kumlipa Amsterdam amtetee hamna watanzania mahiri wa kutetea wateja kwa kesi za kimataifa?, hamna wanasheria wenye kuweza kushindana kimataifa? Wananchi tuende wapi? Tuendelee kuwaamini? Au uwezo wao hauvuki mipaka? Tumeona madaktari, manesi, wanasayansi wakifanya kazi katika nchi zilizoendelea na kuwa na umahiri unaolingana au unazidi hata wakoloni ndani ya nchi zao, why not wanasheria?

Naomba kuelewa wanabodi kama mtanzania mwenzenu na najua wazee wetu wametusomesha kwa shida kubwa na kufanya investments zao za time na mali lakini tunawalipa nini? Rushwa au umahiri?
Weka gauge au mzani wa kupimia tupime.
 
Sio kwa nia mbaya lakini ni kuwa na jicho critical kidogo, nauliza tu "wanasheria wetu wa kizazi hiki wana viwango?" kwa nini kama nchi kila kesi kule nje kwa wakoloni tunashindwa na kulipa mabilioni ya walipa kodi kiroho safi tu? Tuna maprofesa wa sheria wanapoongea hadi wanatoa macho yanataka kuanguka, wanashindwaje kuwakilisha nchi ya baba na mama zao kuokoa haya mapesa? Tuna wanasheria wanajiita wazalendo kupindukia, wametusaidia nini? Wanasheria wetu wanaona kilio kikubwa cha jamii kuhusu uonevu na kuporwa kwa haki ya kuishi, ya uongozi, ya huduma mbalimbali, nk, hawaoni hiki kilio, wanataka nani abebe jukumu la kutetea haki za jamii zao? Wanalalamika tu kama raia wengine hii ni sawa? Wanaona mfumo wa haki ulivyojaa rushwa na wakati mwingine wemetumika kudhulumu haki kwa kushikiana rushwa na majaji na mahakimu ikiwa ni pamoja na kupanga hukumu ili tu wapate maslahi ya kifedha (allergedly).

Imefikia hata wao wenyewe hawaaminiani, the case ya Mh. Adv. Lissu kumlipa Amsterdam amtetee hamna watanzania mahiri wa kutetea wateja kwa kesi za kimataifa?, hamna wanasheria wenye kuweza kushindana kimataifa? Wananchi tuende wapi? Tuendelee kuwaamini? Au uwezo wao hauvuki mipaka? Tumeona madaktari, manesi, wanasayansi wakifanya kazi katika nchi zilizoendelea na kuwa na umahiri unaolingana au unazidi hata wakoloni ndani ya nchi zao, why not wanasheria?

Naomba kuelewa wanabodi kama mtanzania mwenzenu na najua wazee wetu wametusomesha kwa shida kubwa na kufanya investments zao za time na mali lakini tunawalipa nini? Rushwa au umahiri?
Kaka kwanza nikupongeze kwa uzalendo ulioonesha umeongea kwa uchungu sana. Ila tatizo lililopo hapa si wanasheria wa kutetea bali ni wahusika waliotuingiza kwenye hii mikataba. Kuna mikataba hata ukiwa mwanasheria nguli vipi huwezi shinda. Changamoto kubwa ni weledi na uzalendo wa watu wanaopewa nafasi kuingiza nchi katika mikataba mibovu. Leo mkataba kati ya songas na tanesco umeisha. Tanesco inatakiwa kulipa mabilioni ya pesa pia. Kingine ni kuwa hata ile mitambo ya pale ubungo sio ya tanesco ni ya songas. Swali la kujiuliza tutajifunza lini?
 
Eleweka boss, percent ya kesi walizoloose against walizowin haitoshi kwa mtu novice kama mie?
Wewe sio mwanasheria ndio maana unafikiri mwanasheria kushinda kesi pekee ndio ubora. Ubora wa mwanasheria na unapimwa kwa uwezo wa kupresent hoja kisheria. Unataka mtu ashinde kesi wakati kuna ushahidi wa wazi mshitakiwa alikiuka sheria au mkataba? Mwanasheria anawekwa ili kuhakikisha kila upande unapata haki yake stahiki. Kama upande wako ni umeshindwa kazi yake ni kuhakikisha unapata hukumu stahiki. So labda useme hizo kesi wanazoshindwa hukumu zinazotolewa sio stahiki.
 
Kaka kwanza nikupongeze kwa uzalendo ulioonesha umeongea kwa uchungu sana. Ila tatizo lililopo hapa si wanasheria wa kutetea bali ni wahusika waliotuingiza kwenye hii mikataba. Kuna mikataba hata ukiwa mwanasheria nguli vipi huwezi shinda. Changamoto kubwa ni weledi na uzalendo wa watu wanaopewa nafasi kuingiza nchi katika mikataba mibovu. Leo mkataba kati ya songas na tanesco umeisha. Tanesco inatakiwa kulipa mabilioni ya pesa pia. Kingine ni kuwa hata ile mitambo ya pale ubungo sio ya tanesco ni ya songas. Swali la kujiuliza tutajifunza lini?

Nimekuelewa kaka, ahsante sana kwa ufafanuzi wa kueleweka vizuri kabisa na kimsingi mjadala wote unaweza kuisha baada ya jibu hili!🙏
 
Wewe sio mwanasheria ndio maana unafikiri mwanasheria kushinda kesi pekee ndio ubora. Ubora wa mwanasheria na unapimwa kwa uwezo wa kupresent hoja kisheria. Unataka mtu ashinde kesi wakati kuna ushahidi wa wazi mshitakiwa alikiuka sheria au mkataba? Mwanasheria anawekwa ili kuhakikisha kila upande unapata haki yake stahiki. Kama upande wako ni umeshindwa kazi yake ni kuhakikisha unapata hukumu stahiki. So labda useme hizo kesi wanazoshindwa hukumu zinazotolewa sio stahiki.

Ni kweli na niliuliza kama any novice person huko kijijiji kabisa asiyejua sheria upo sahihi kabisa, mtu kama mimi nampa credit mwanasheria kwa kushinda kesi sio technicalities hayo ni ya wasomi wa sheria! Ni sawa na daktari kusema the operation was successful but unfortunately our dear patient died! Tunamuelewaje watu baki? Just thinking though no offense
 
Back
Top Bottom