Wanasiasa kila mkileta shobo na hamasa fake, Taifa stars inapigwa

Wanasiasa kila mkileta shobo na hamasa fake, Taifa stars inapigwa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Taifa stars siyo team ya wanasiasa ni mali ya Watanzania wote Taifa stars sio team ya kukutafutia Kiki na uchawa wa kijinga,

Wanasiasa mnawapa pressure wachezaji wetu Kwa ahadi za mapesa hadi wanashindwa kuwa kwenye uwepo uwanjani Mkome huu upuuzi wenu Taifa stars imeshinda dhidi ya Zambia away sababu hamukuweka hamasa fake

Hizo hela pelekeni mjenge viwanja na muanzishe academy

Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
 
Taifa stars siyo team ya wanasiasa ni mali ya Watanzania wote Taifa stars sio team ya kukutafutia Kiki na uchawa wa kijinga,

Wanasiasa mnawapa pressure wachezaji wetu Kwa ahadi za mapesa hadi wanashindwa kuwa kwenye uwepo uwanjani Mkome huu upuuzi wenu Taifa stars imeshinda dhidi ya Zambia away sababu hamukuweka hamasa fake

Hizo hela pelekeni mjenge viwanja na muanzishe academy

Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
Tutafute namba 9 wetu kwanza
 
Huo ndio ukweli wenyewe
Kuna wachezaji walikua hawapatinafasibtimu zao za taifa,ila baada ya kuja bongo wanapata vitu vifuatavyo.
1.Kocha mzuri wa mbinu,Mfano Gamondi,Gomezi,Nabi na Sven

2.Game time,muda mzuri wa kufanya kwa vitendo wanaxhofundishwa mazoezini
3.Soko kwenye Vilabu vikubwa,wengi wanafanikiwa hapa bongo,Mfano,Chama,Mayele, Nk.

3.Mazoezi na kocha bora wa viungo.

Wachezaji wetu lazima wajitume ila kuwalinda lazima tuwalinde.Tuwape Game time nzurii.

Walau sheria iseme wachezaji 4 lazima wawe wazawa kwa mechi moja.
 
Kuna wachezaji walikua hawapatinafasibtimu zao za taifa,ila baada ya kuja bongo wanapata vitu vifuatavyo.
1.Kocha mzuri wa mbinu,Mfano Gamondi,Gomezi,Nabi na Sven

2.Game time,muda mzuri wa kufanya kwa vitendo wanaxhofundishwa mazoezini
3.Soko kwenye Vilabu vikubwa,wengi wanafanikiwa hapa bongo,Mfano,Chama,Mayele, Nk.

3.Mazoezi na kocha bora wa viungo.

Wachezaji wetu lazima wajitume ila kuwalinda lazima tuwalinde.Tuwape Game time nzurii.

Walau sheria iseme wachezaji 4 lazima wawe wazawa kwa mechi moja.
Mie kwanza ningeanza na no foreign goal keeper.

Pili a maximum of five foreign players per team.

Tatu lazima ligi ya u20 ichezwe sambamba na ligi kuu. Sio ile tunakutana wiki mbili mambo yameisha.

Kuwalinda ni lazima na pia kuwaandaa kuweza kucompete katika soccer la ushindani. Hatuwaandai wachezaji wetu yaani full tantalila. Moe nashindwa elewa yaani kucopy and paste nako tabu.
Ona spain walivyo shika soka katika all age categories hadi raha.
Kocha wa mens national team aloanza na u17 u18 u 23 na kote huko kachukua ndoo. Sie huku tunaruka ruka tuu kama headless chickens.
 
Mie kwanza ningeanza na no foreign goal keeper.

Pili a maximum of five foreign players per team.

Tatu lazima ligi ya u20 ichezwe sambamba na ligi kuu. Sio ile tunakutana wiki mbili mambo yameisha.

Kuwalinda ni lazima na pia kuwaandaa kuweza kucompete katika soccer la ushindani. Hatuwaandai wachezaji wetu yaani full tantalila. Moe nashindwa elewa yaani kucopy and paste nako tabu.
Ona spain walivyo shika soka katika all age categories hadi raha.
Kocha wa mens national team aloanza na u17 u18 u 23 na kote huko kachukua ndoo. Sie huku tunaruka ruka tuu kama headless chickens.
Yes,Msri walifanya hivyo hakuna kipa wa kigeni.

Team za under 20 pia kinapigwa before game ya watu wazima
 
Yes,Msri walifanya hivyo hakuna kipa wa kigeni.

Team za under 20 pia kinapigwa before game ya watu wazima
Wachezaji wapambane tuache huruma
Mbona shabalala pale Simba kacheza mbele ya Kwasi na Sasa nouma

Job kacheza mbele ya Gift Fred ndoumbia

Kapombe pale Simba
Feisal anacheza mbele ya wa Colombia.
Msindo anamweka benchi Sidibe
Mudathir mbele Abuya

Tuache huruma tuwaletee wachezaji wapambane wapate namba
 
Wachezaji wapambane tuache huruma
Mbona shabalala pale Simba kacheza mbele ya Kwasi na Sasa nouma

Job kacheza mbele ya Gift Fred ndoumbia

Kapombe pale Simba
Feisal anacheza mbele ya wa Colombia.
Msindo anamweka benchi Sidibe
Mudathir mbele Abuya

Tuache huruma tuwaletee wachezaji wapambane wapate namba
Mzew kubali ukatae Simba Yanga na Azam ndio zina uwezo mzuri uliokamilika wa benchia ufundi na trainimg facilities.
Hao wengine ni bora liende.
Hao wote uliowataja ni legular players kwa timu zao.

Lazima wachezaji wa ndani walindwe kwa kupewa nafasi pia kucheza tena kwa kanuni ,watakua tuu
 
Bila kuwekeza timu za vijana hamna kitu hizo timu za vijana nyingine ni majina tu.
Kuna mtu amezungumzia timu ya Spain kufanya vizuri kuanzia timu za watoto Hadi za wakubwa.
Mafanikio yao yametokana na vilabu kuwa na timu za vijana kwani ligi yao Ina wageni wengi
. Pia TFF iwekeze kwenye makocha na sio vikozi vya wiki mbili.
 
Mzew kubali ukatae Simba Yanga na Azam ndio zina uwezo mzuri uliokamilika wa benchia ufundi na trainimg facilities.
Hao wengine ni bora liende.
Hao wote uliowataja ni legular players kwa timu zao.

Lazima wachezaji wa ndani walindwe kwa kupewa nafasi pia kucheza tena kwa kanuni ,watakua tuu
Nimekwambia hao Watanzania wanaocheza Simba, Yanga na Azam wao wanabebwa
Ubora unapimwa Kwa ushindani
Me naamini mchezaji mzawa akimweka benchi mgeni ndo amekuwa
 
Mie kwanza ningeanza na no foreign goal keeper.

Pili a maximum of five foreign players per team.

Tatu lazima ligi ya u20 ichezwe sambamba na ligi kuu. Sio ile tunakutana wiki mbili mambo yameisha.

Kuwalinda ni lazima na pia kuwaandaa kuweza kucompete katika soccer la ushindani. Hatuwaandai wachezaji wetu yaani full tantalila. Moe nashindwa elewa yaani kucopy and paste nako tabu.
Ona spain walivyo shika soka katika all age categories hadi raha.
Kocha wa mens national team aloanza na u17 u18 u 23 na kote huko kachukua ndoo. Sie huku tunaruka ruka tuu kama headless chickens.
Mpira ni biashara no wonder kuna uwekezaji mkubwa wa makampuni na sponsors. Unapoleta uzalendo kwenye hela za Watu,remember the following.
1. Kocha wa timu ya taifa hupewa nafasi ya kuwaita wachezaji kambini,nae bila hiyana huwaita wachezaji bora wa ligi,wote Wazawa,na wachezaji hao huwa wanapewa game time kwenye vilabu vyao.
Mfano:
Job
Baka
Mzize
Fei
Shabalala
Msindo
N.k
Wote ni wachezaji wa kutegemewa kwenye vilabu vyao.
 
Back
Top Bottom