Pre GE2025 Wanasiasa na mbinu ya kuweka TV kwenye mikusanyiko ili kuhadaa wapiga kura

Pre GE2025 Wanasiasa na mbinu ya kuweka TV kwenye mikusanyiko ili kuhadaa wapiga kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Miaka ya nyuma kidogo Mkoani Tabora kuna Mwanasiasa aliyekuwa akigombea Ubunge aliwahi kufunga TV kubwa Pale soko maarufu kwa jina la Soko kuu.

Aliifunga wakati wa kuelekea kampeni za uchaguzi akalipia na king'amuzi watu wakawa wanatazama mechi bure ikiwemo na kulipia kahawa na kashata watu walipata bure.

Mbinu hiyo huenda imekopiwa na wanasiasa wengine kwani hapa Dar karibu na Stendi ya Magufuli kwenye soko kuna TV imefungwa hapo

Najiuliza nani aliifunga na nani anagharamia gharama za king'amuzi au ndiyo mbinu zilezile za kuelekea uchaguzi kuwadanganya raia waone kuwa wanajaliwa?

Wanasiasa wamekuwa na mbinu nyingi sana, mara wengine wagaregare chini ilimradi tu kuhadaa wananchi waweze kuwachagua.

Hivyo, si ajabu tukaanza kuona vitu vingi vya ofa kama hizi TV na vitu vingine vikigawiwa bure ili tu kuwashawishi wananchi kwa hongo iliyojificha kwa kivuli cha msaada.

IMG_20240610_143757_621.jpg
 
KUWADANGANYA WATZ NI JAMBO RAHISI SANA
WAO KUTWA NZIMA AZIZI K TUUUUUUUUUUUUU
 
Miaka ya nyuma kidogo Mkoani Tabora kuna Mwanasiasa aliyekuwa akigombea Ubunge aliwahi kufunga TV kubwa Pale soko maarufu kwa jina la Soko kuu.

Aliifunga wakati wa kuelekea kampeni za uchaguzi akalipia na king'amuzi watu wakawa wanatazama mechi bure ikiwemo na kulipia kahawa na kashata watu walipata bure.

Mbinu hiyo huenda imekopiwa na wanasiasa wengine kwani hapa Dar karibu na Stendi ya Magufuli kwenye soko kuna TV imefungwa hapo

Najiuliza nani aliifunga na nani anagharamia gharama za king'amuzi au ndiyo mbinu zilezile za kuelekea uchaguzi kuwadanganya raia waone kuwa wanajaliwa?

Wanasiasa wamekuwa na mbinu nyingi sana, mara wengine wagaregare chini ilimradi tu kuhadaa wananchi waweze kuwachagua.

Hivyo, si ajabu tukaanza kuona vitu vingi vya ofa kama hizi TV na vitu vingine vikigawiwa bure ili tu kuwashawishi wananchi kwa hongo iliyojificha kwa kivuli cha msaada.

View attachment 3013711
Ukitaka kula na wewe ukubali kuliwa kidogo,kauli mbiu ya JK hiyo.
 
Miaka ya nyuma kidogo Mkoani Tabora kuna Mwanasiasa aliyekuwa akigombea Ubunge aliwahi kufunga TV kubwa Pale soko maarufu kwa jina la Soko kuu.

Aliifunga wakati wa kuelekea kampeni za uchaguzi akalipia na king'amuzi watu wakawa wanatazama mechi bure ikiwemo na kulipia kahawa na kashata watu walipata bure.

Mbinu hiyo huenda imekopiwa na wanasiasa wengine kwani hapa Dar karibu na Stendi ya Magufuli kwenye soko kuna TV imefungwa hapo

Najiuliza nani aliifunga na nani anagharamia gharama za king'amuzi au ndiyo mbinu zilezile za kuelekea uchaguzi kuwadanganya raia waone kuwa wanajaliwa?

Wanasiasa wamekuwa na mbinu nyingi sana, mara wengine wagaregare chini ilimradi tu kuhadaa wananchi waweze kuwachagua.

Hivyo, si ajabu tukaanza kuona vitu vingi vya ofa kama hizi TV na vitu vingine vikigawiwa bure ili tu kuwashawishi wananchi kwa hongo iliyojificha kwa kivuli cha msaada.

View attachment 3013711
Kura ni Siri yako, acha waweke lakini cku ikifika nenda kafanye kitu ambacho moyo wako unapenda.
 
Ujinga Wa Watanzania Ni Mzigo Mbaya Kabisa Yaani Tuna Taifa la Watu Wajinga Ambao wakihongwa Vitu Vya Ajabu Wanauza Kura zao na Utu wao Kwa Kanga,pombe, Tshirts. Yaaani kiukweli Taifa Sijajua Kama Elimu Inayo tolewa Inaondoa Ujinga Au Ndio Inaongeza Ujinga
 
Back
Top Bottom