Ukiangalia hii nchi, mambo ya kiuchumi yanaenda ovyo sana.
Shilingi inazidi kushuka thamani, leo ni 1680 TSHS kwa DOla moja ya Marekani
Kilimo Kwanza imekuwa ni kelele tu na kuwapa mabeberu/mabepari ardhi ya Tanzania kwa kisingizio cha uwekezaji
Watu wanajali maendeleo ya vitu badala maendeleo ya watu
Siasa chafu ndo inatawala hii nchi
Wachumi wa Tanzania hii siwasikii hata wakiongea katika vyombo vya habari na kupaza sauti ama kutoa ushauri... Nchi hii kuna wachumi? Vyuo vikuu Mzumbe, UDSM, SUA e.t.c, Where are you?
Shilingi inazidi kushuka thamani, leo ni 1680 TSHS kwa DOla moja ya Marekani
Kilimo Kwanza imekuwa ni kelele tu na kuwapa mabeberu/mabepari ardhi ya Tanzania kwa kisingizio cha uwekezaji
Watu wanajali maendeleo ya vitu badala maendeleo ya watu
Siasa chafu ndo inatawala hii nchi
Wachumi wa Tanzania hii siwasikii hata wakiongea katika vyombo vya habari na kupaza sauti ama kutoa ushauri... Nchi hii kuna wachumi? Vyuo vikuu Mzumbe, UDSM, SUA e.t.c, Where are you?