Wanasiasa tupunguze vijembe na kejeli kwa wasio kuwepo maana hakuna anayeijua kesho

Wanasiasa tupunguze vijembe na kejeli kwa wasio kuwepo maana hakuna anayeijua kesho

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Kumekuwa na maneno mengi ya kejeli na visasi kwa wanasiasa ambao hatunao tena. Masikini wa Mungu hao wanasiasa ambao hatunao tena ukiaangali kwa makini unagunduwa walichokuwa wakikitekeleza ni kwa manufaa yao wenyewe na sera zao sema tu chuki na visasi vinalitesa Taifa.

Mtu anadiriki kusema amesha ondoka huyo sasa tufanye mambo yetu kweli? Wewe nani alikwambia hata ukipewa Mali za Taifa hili zote hutokufa? Nataka kukwambia hakuna atakaye ishi milele kama walivyo tuacha Wazee wetu nasisi tutaondoka.

Hakuna mtu ataligawa hili Taifa kama Mali yake as long as God is founder of this nation. Mipango yenu kuila nakuitamalaki nchi ni mipango mfu na kamwe haiwezi timia hili Taifa ni letu sote sio Mali ya mtu na familia yake. Ipo siku mtasema Bora tungejuwa mapema. Maana Giza Nene litawafunika ninyi na familia zenu na mikakati yenu yakutaka jimilikisha haki na urithi wa watanzania. Kama Mwl Nyerere angekuwa na tamaa mlio nayo ninyi basi migodi yote na maeneo mazuri yangekuwa Mali ya familia yake. Leo ninyi mnataka ndio mtawale ndio muwe na Mali zote je na walio kuwepo wangefanya hivyo inhekuwaje?
JPM mnamchukia kwa jambo moja tu Uzalendo nakukataa kujimilikisha Mali za watanzania. Hilo linawatesa sana mengine ni ziada.
 
Kwanini watu wamseme mtu fulani na sio wengine?

Kama ni chuki naamini kila kiongozi ana kundi linalomchukia
 
Kumekuwa na maneno mengi ya kejeli na visasi kwa wanasiasa ambao hatunao tena. Masikini wa Mungu hao wanasiasa ambao hatunao tena ukiaangali kwa makini unagunduwa walichokuwa wakikitekeleza ni kwa manufaa yao wenyewe na sera zao sema tu chuki na visasi vinalitesa Taifa.
Ndio maana wasema ukiwa hai tenda mema, ili ukifa usemwe kwa matendo mema. Hata wewe ukifa tungekuwa tunakufahamu tungekusema kwamba ulimtishia kifo Ben Saanane na amepotea hajulikani alipo, na upo humu umejikausha tu.
 
kwanini watu wamseme mtu fulani na sio wengine?

Kama ni chuki naamini kila kiongozi ana kundi linalomchukia
Ukiniuliza Hilo nitakujibu jibu moja Uzalendo wao. Benjamin alipinga uongozi wakurithishana familia na Magu alipinga chama kuwa na watu fulan wanakifadhili kwa Mali za chama end.
 
".....tungejua mapema."

Kwani huko jikoni kuna mtu kaficha kopo la asali nn?
Hz nyuzi za kutoa tahadhari naona zimezidi....

Huu Ulafi wa madaraka🙌...

Ila hili goli atasawazisha aliye juu
 
Ni unafiki tu unawasumbua
Hivi kweli mimi niitwe mpumbavu kwenye simu halafu anakuja Rais tena hadharani anasema, huyu ananizidi umri ila namtukana sana mpaka saa nane za usiku
Na lenyewe ninaamka na kumuinamia kisa woga na unafiki
Walahi ningekuwa mimi ningeacha kazi
Eti angekula wapi?
Kwani sasa anakula wapi

Tuache unafiki wa kuwatukana waliotangulia
Mlikuwa hamna BALLS wakati yupo
Alifanya mazuri na mabaya lakini mlishindwa kuandamana na Bunge lilishindwa kusema hatuna Imani na wewe
Acheni unafiki penye uonevu kemeeni
Ujinga huo mimi siukubali kabisa
 
Kama tunavyovumiliana wanaposifiwa marehema kwa mema walioyafanya enzi za uhai wao hata wanaposemwa kwa mabaya waliyoyafanya katika uhai wao napo tuvumiliane .
 
Alivyokua hai hakutaka asemwe alivokufa bado hamtaki asemwe kwa uspecial upi sana aliokua nao. Vumilieni kupokea mabaya yake kama tunavovumilia mkimsifia. Yule tutamsema kila tutakapo pata nafasi iwe somo kwa wengine kua ukifa utasimangwa hata kama haupo kwa ubaya wako
 
Kumekuwa na maneno mengi ya kejeli na visasi kwa wanasiasa ambao hatunao tena. Masikini wa Mungu hao wanasiasa ambao hatunao tena ukiaangali kwa makini unagunduwa walichokuwa wakikitekeleza ni kwa manufaa yao wenyewe na sera zao sema tu chuki na visasi vinalitesa Taifa.

Mtu anadiriki kusema amesha ondoka huyo sasa tufanye mambo yetu kweli? Wewe nani alikwambia hata ukipewa Mali za Taifa hili zote hutokufa? Nataka kukwambia hakuna atakaye ishi milele kama walivyo tuacha Wazee wetu nasisi tutaondoka.

Hakuna mtu ataligawa hili Taifa kama Mali yake as long as God is founder of this nation. Mipango yenu kuila nakuitamalaki nchi ni mipango mfu na kamwe haiwezi timia hili Taifa ni letu sote sio Mali ya mtu na familia yake. Ipo siku mtasema Bora tungejuwa mapema.
Amen.
 
Kumekuwa na maneno mengi ya kejeli na visasi kwa wanasiasa ambao hatunao tena. Masikini wa Mungu hao wanasiasa ambao hatunao tena ukiaangali kwa makini unagunduwa walichokuwa wakikitekeleza ni kwa manufaa yao wenyewe na sera zao sema tu chuki na visasi vinalitesa Taifa.

Mtu anadiriki kusema amesha ondoka huyo sasa tufanye mambo yetu kweli? Wewe nani alikwambia hata ukipewa Mali za Taifa hili zote hutokufa? Nataka kukwambia hakuna atakaye ishi milele kama walivyo tuacha Wazee wetu nasisi tutaondoka.

Hakuna mtu ataligawa hili Taifa kama Mali yake as long as God is founder of this nation. Mipango yenu kuila nakuitamalaki nchi ni mipango mfu na kamwe haiwezi timia hili Taifa ni letu sote sio Mali ya mtu na familia yake. Ipo siku mtasema Bora tungejuwa mapema.
Wewe ulishirikiana naye kumuua Ben Saanane

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom