johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huyu alisingiziwa niniRidhiwani Kikwete wakati wa vyama vingi
Dr Slaa huwezi kumweka kundi moja na tundu by all means. Slaa is a man of integrity huweza kumlinganisha na huyo chokolaa tundu.
Na mimi Proffessor Emeritus YEHODAYA kwa mamlaka ninayojipa mwenyewe namtunuku PhD ya uongo Uzushi na Matusi Tundu LisuKwenye kusingizia habari za uongo na uchonganishi tuzo inaenda Ubelgiji kwa bwana Tundu
Riziwani alikuwa na majengo ,mahotel ,kampuni za.mafuta ,mabasi daaah yote hayo alipewa na wanachi enzj za babake akiwa rais
Ila wakati babake anastaafu tu wakampokonya Kila kitu wanamuachia ubunge
Hizi ndizo hoja za GTMoja ya thread za kijinga sana kupata kujadiliwa JF.
Ukisingiziwa unakuwa umevunjiwa hadhi yako (defamation) na kwa sheria za nchi unayo nafasi kufungua shauri mahakamani ili aliyekusingizia awajibishwe na kukufidia.
Kwa nini walio singiziwa hawakwenda mahakamani hadi mtoto wao johnthebaptist aje awasafishe JF?
Mwizi ukimwita mwizi na kusema kaiba ng'ombe 10 wakati aliiba 4 hawezi shtaki kwani ukiambiwa udhibitishe utaishia ng'ombe wanne na hilo halimuondelei kosa la wizi wala wewe uliyetaja 10 halikuhukumu kwani bado yule ni mwizi ila ulikosea kiwango cha wizi wake!
Naona kuvuli cha mtu anayetaka kusafishwa, hii 2025 itatuchafulia majukwaaRiziwani alikuwa na majengo ,mahotel ,kampuni za.mafuta ,mabasi daaah yote hayo alipewa na wanachi enzj za babake akiwa rais
Ila wakati babake anastaafu tu wakampokonya Kila kitu wanamuachia ubunge
Lowassa alisafishwa na mwanasheria mkuu wa Chadema mh Tundu Lisu mnamo mwaka 2015 pale viwanja vya jangwani.Moja ya thread za kijinga sana kupata kujadiliwa JF.
Ukisingiziwa unakuwa umevunjiwa hadhi yako (defamation) na kwa sheria za nchi unayo nafasi kufungua shauri mahakamani ili aliyekusingizia awajibishwe na kukufidia.
Kwa nini walio singiziwa hawakwenda mahakamani hadi mtoto wao johnthebaptist aje awasafishe JF?
Mwizi ukimwita mwizi na kusema kaiba ng'ombe 10 wakati aliiba 4 hawezi shtaki kwani ukiambiwa udhibitishe utaishia ng'ombe wanne na hilo halimuondelei kosa la wizi wala wewe uliyetaja 10 halikuhukumu kwani bado yule ni mwizi ila ulikosea kiwango cha wizi wake!
Kwamba kule lilikojengwa bwawa la kuzalisha umeme liitwalo Nyerere wamepewa wachina kama fidia!Huyu alisingiziwa nini
Shuleni enzi hizo kwenye mchakamchaka tuliimba,,.....Hujamkuta Kambona na Nyerere wewe...
Yani Kambona aliimbiwa hadi nyimbo za chekechea...
Idd Amin na Nyerere.. hadi leo kuna watu hawamjui Amin lakini wanamchukia..
Siasa za uongo na propaganda ni za dunia nzima toka vizazi