Wanasiasa waliowahi kubadilika kabisa kimisimamo na kunifanya niache kabisa kushabikia wanasiasa.

Wanasiasa waliowahi kubadilika kabisa kimisimamo na kunifanya niache kabisa kushabikia wanasiasa.

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Katika miaka michache niliyojaliwa na Mungu kuishi hapa duniani, nimeshuhudia mambo mengi kuwahusu ndugu zangu walioko kwenye uga wa siasa.
Kimsingi nimejifunza kwamba wanasiasa kwa sehem kubwa ni watu wanaofanana. Wanachotofautiana ni nyakati walizoishi, na majina ya vyama wanavyovipigania.
Yafuatayo ni baadhi ya majina ya wanasiasa waliopata kubadili mitazamo yao kisiasa na kuniondoa kabisa kwenye reli ya kushabikia wanasiasa.
1 Lyatonga
2 Lowasa
3 Sumaye
4 Msigwa
5 Slaa
6 Lissu
7 Odinga
8 Silinde
9 Gekul
10 Nasary.
11 Mdee na genge lake.
Haya ni miongoni mwa majina ya wanasiasa ambayo yananifanya nipungize nguvu zangu kushabikia wanasiasa.
Tusijekua tunakauka makoo hapa kumpigania Mbowe alafu siku moja tukamkuta ccm anagawia kadi wanachama toka vyama pinzani.
 
Tatizo mnapigania haki na manufaa ya wanasiasa na kujisahau kupigania manufaa yenu.
 
Shabikia ajenda za kudumu kama haki demokrasia na Uhuru.
We unashabikia wat

hata hivyo Hawa uliwataja hawajawahi athiri maisha Yako kama wale unaoogopa kuwataja
 
Katika miaka michache niliyojaliwa na Mungu kuishi hapa duniani, nimeshuhudia mambo mengi kuwahusu ndugu zangu walioko kwenye uga wa siasa.
Kimsingi nimejifunza kwamba wanasiasa kwa sehem kubwa ni watu wanaofanana. Wanachotofautiana ni nyakati walizoishi, na majina ya vyama wanavyovipigania.
Yafuatayo ni baadhi ya majina ya wanasiasa waliopata kubadili mitazamo yao kisiasa na kuniondoa kabisa kwenye reli ya kushabikia wanasiasa.
1 Lyatonga
2 Lowasa
3 Sumaye
4 Msigwa
5 Slaa
6 Lissu
7 Odinga
8 Silinde
9 Gekul
10 Nasary.
11 Mdee na genge lake.
Haya ni miongoni mwa majina ya wanasiasa ambayo yananifanya nipungize nguvu zangu kushabikia wanasiasa.
Tusijekua tunakauka makoo hapa kumpigania Mbowe alafu siku moja tukamkuta ccm anagawia kadi wanachama toka vyama pinzani.
Umwasahau:
SSH
Polepole
Bashiru
Nape
Mwigulu
Ndugai
JPM
 
Mbowe yumo?
Kama hayumo hauko serious kutoka ,chama changu kinapinga ufisadi,baada ya Lowassa kuhamia,mwenye ushahidi apeleke mahakamani.
 
Back
Top Bottom