MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Uchaguzi wa marudio umetendeka jana kwenye eneo bunge la Kitutu Chache, ambao uliendeshwa na IEBC, ambapo mgombea ambaye alikua anapigiwa debe na Raila ameibuka mshindi na kutunukiwa ubunge. Ikumbukwe kwamba huyu mgombea ni wa chama kingine, kwani Raila alitelekeza mgombea wa chama chake ODM na kumpigia debe huyu wa chama tofauti na chake.
Suala la msingi, walijitokeza watu wachache sana, asilimia 37% ya wapiga kura wa eneo hilo, inaeleweka ni kwa ajili ya sababu nyingi, zikiwemo kwamba kama kawaida kura za marudio huwa hazivutii wapiga kura wengi.
Swali je, mbona Raila hakujitokeza na kubeza kama alivyofanya kwenye uchaguzi wa tarehe 26 ambapo alisema watu waligoma kujitokeza kwa kufuata maagizo yake. Na kwamba uchaguzi wenye wapiga kura wachache hauna uhalali/legitimacy. Wanasiasa ni wanafiki sana, hubadilisha na kubadilika kama kinyonga.
--------------------------------------------------------------------------------------------
Ford Kenya's Richard Onyonka has retained his seat after emerging the winner in the just concluded Kitutu Chache South Constituency elections.
Onyonka defeated six opponents to clinch the seat with 10,122 votes.
Antony Kibagendi of Jubilee was second with 5, 074 votes while ODM's Samwel Omwando came a distant third with 4,324 votes.
Onyonka's supporters broke into songs of praise, cheers and jubilations after the results were officially announced by the constituency RO Hildah Imbo at St. Marys Mosocho Girls primary boarding.
The constituency has a total of 59, 017 votes but those who turned out to vote were 22,240 representing 37.40 percent.
Onkangi Kegoro of PDP and Justus Mochoge of ANC got 100 and 60 votes respectively.
The election was postponed from August 8 following the death of Jubilee Party candidate Leonard Mwamba on July 14.
Mwamba died in a road accident at Nyakoe along the Kisii-Kisumu road.
Jubilee Party later nominated Anthony Kibagendi to replace him
Ford Kenya's Richard Onyonka beats Jubilee's Kibagendi to retain Kitutu Chache seat
Suala la msingi, walijitokeza watu wachache sana, asilimia 37% ya wapiga kura wa eneo hilo, inaeleweka ni kwa ajili ya sababu nyingi, zikiwemo kwamba kama kawaida kura za marudio huwa hazivutii wapiga kura wengi.
Swali je, mbona Raila hakujitokeza na kubeza kama alivyofanya kwenye uchaguzi wa tarehe 26 ambapo alisema watu waligoma kujitokeza kwa kufuata maagizo yake. Na kwamba uchaguzi wenye wapiga kura wachache hauna uhalali/legitimacy. Wanasiasa ni wanafiki sana, hubadilisha na kubadilika kama kinyonga.
--------------------------------------------------------------------------------------------
Ford Kenya's Richard Onyonka has retained his seat after emerging the winner in the just concluded Kitutu Chache South Constituency elections.
Onyonka defeated six opponents to clinch the seat with 10,122 votes.
Antony Kibagendi of Jubilee was second with 5, 074 votes while ODM's Samwel Omwando came a distant third with 4,324 votes.
Onyonka's supporters broke into songs of praise, cheers and jubilations after the results were officially announced by the constituency RO Hildah Imbo at St. Marys Mosocho Girls primary boarding.
The constituency has a total of 59, 017 votes but those who turned out to vote were 22,240 representing 37.40 percent.
Onkangi Kegoro of PDP and Justus Mochoge of ANC got 100 and 60 votes respectively.
The election was postponed from August 8 following the death of Jubilee Party candidate Leonard Mwamba on July 14.
Mwamba died in a road accident at Nyakoe along the Kisii-Kisumu road.
Jubilee Party later nominated Anthony Kibagendi to replace him
Ford Kenya's Richard Onyonka beats Jubilee's Kibagendi to retain Kitutu Chache seat