bob nasta
Senior Member
- Apr 25, 2011
- 145
- 118
Tupige kelele hadi masikio yawaume tuko kimya sana jamani .nendeni kwenye ofisi za NSSF mkaone watu walivyokata tamaa na maisha yani afadhali mkoloni.
Mtu unaangaika miaka labda 20 anakatwa mshahara wake huo mdogo,sasa akifika kule ataahidiwa mpaka atakufa njaa.
Vijana mko wapi mbona waoga wazee wenu tunakufa mnatuona ni kundi la watu wachache tu wanacheza na akili zetu. Tusaidieni kupiga kelele ikiwezekana kila siku tulalamikie hili jambo.
Tunakufa jamani, mjue hata nyie ni wazee wa baadaye. Anzeni sasa kuweka sawa aya mambo, mtalia.
Mtu unaangaika miaka labda 20 anakatwa mshahara wake huo mdogo,sasa akifika kule ataahidiwa mpaka atakufa njaa.
Vijana mko wapi mbona waoga wazee wenu tunakufa mnatuona ni kundi la watu wachache tu wanacheza na akili zetu. Tusaidieni kupiga kelele ikiwezekana kila siku tulalamikie hili jambo.
Tunakufa jamani, mjue hata nyie ni wazee wa baadaye. Anzeni sasa kuweka sawa aya mambo, mtalia.