Wanasiasa wanawake warembo duniani: Hakuna hata mweusi mmoja, huu ni uongo

Wanasiasa wanawake warembo duniani: Hakuna hata mweusi mmoja, huu ni uongo

Huyo
FB_IMG_1542432258686.jpg
 
Number one should be that Italian girl.... amenibamba[emoji7]
 
Kama kwenye hiyo list hayupo huyu mwanasiasa mrembo zaidi duniani ambae alikuwa waziri mkuu wa thailand billionea yingluck shinawatra basi hii list ni haramu.


Huyu alimdatisha hadi obama,yinluck unaambiwa "weka mbali na watoto"
IMG_20181117_083850.jpg
IMG_20181117_083823.jpg
IMG_20181117_083805.jpg
IMG_20181117_083744.jpg
 
Bila kuwepo huyu Rais wa Croatia hiyo top ten haiko sawa.
download.jpeg
 
Uzuri upo machoni kwa MTU na wewe unaweza kuweka top ten yako Hamna MTU atakukatalia
 
Back
Top Bottom