Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Chama cha mapinduzi kilikuwa na shule nyingi ma mali nyingi tu zilizokuwa chini ya jumuia ya wazazi.
Abadala Bulembo na wakora wenzake ndani ya CCM wakazitafuna na kujaza matumbo yao. Leo hii anajinasibu kupiga kelele kuziba wanaopinga ufisadi bila aibu.
Ina maana anataka kuaminisha watu kuwa CcM inalinda mafisadi bila hata aibu. Maana ana kiherehere kuwapiga madongo wanaopinga ufisad.
Jinai haina mwisho watu kama haw watiwe nyavuni.
Abadala Bulembo na wakora wenzake ndani ya CCM wakazitafuna na kujaza matumbo yao. Leo hii anajinasibu kupiga kelele kuziba wanaopinga ufisadi bila aibu.
Ina maana anataka kuaminisha watu kuwa CcM inalinda mafisadi bila hata aibu. Maana ana kiherehere kuwapiga madongo wanaopinga ufisad.
Jinai haina mwisho watu kama haw watiwe nyavuni.