CCM haijawahi kua na shule Wala elimu sio kipaumbele chenu.Chama cha mapinduzi kilikuwa na shule nyingi ma mali nyingi tu zilizokuwa chini ya jumuia ya wazazi.
Abadala Bulembo na wakora wenzake ndani ya CCM wakazitafuna na kujaza matumbo yao. Leo hii anajinasibu kupiga kelele kuziba wanaopinga ufisadi bila aibu.
Ina maana anataka kuaminisha watu kuwa CcM inalinda mafisadi bila hata aibu. Maana ana kiherehere kuwapiga madongo wanaopinga ufisad.
Jinai haina mwisho watu kama haw watiwe nyavuni.
Jikite kwenye mada bwa mdogoShule zote wa jumuiya ya wazazi zinapaswa kutaifishwa na kurudishwa serikalini vikiwemo viwanja vya mpira.
Yule mwendakuzimu ule uzalendo fake aliyojivalisha angelifanya hili hata mimi ningekuwa mshabiki wake, badala yake alichokifanya ni kuidhinisha dhulma hii ya ccm kwa umma kupitia kamati ya Dr Bashiru.
Majizi yanapotuhumianaChama cha mapinduzi kilikuwa na shule nyingi ma mali nyingi tu zilizokuwa chini ya jumuia ya wazazi.
Abadala Bulembo na wakora wenzake ndani ya CCM wakazitafuna na kujaza matumbo yao. Leo hii anajinasibu kupiga kelele kuziba wanaopinga ufisadi bila aibu.
Ina maana anataka kuaminisha watu kuwa CcM inalinda mafisadi bila hata aibu. Maana ana kiherehere kuwapiga madongo wanaopinga ufisad.
Jinai haina mwisho watu kama haw watiwe nyavuni.
Ungekua umeelimika ungekua na maudhui ya kiungwana Ila kwasababu wewe ni darasa la Saba unaejua kusoma, kuhesabu na kuandika tu, unapata faraja Sana ukijibu matusi na majibu ya hovyo.Nenda kanyonye
Ndo uhalisia... !!! Aliyekuwa mbunge wa Kilwa, bwana Bwege alishawahi sema hamtakuwa na wa kumtuhumu... mtabanana wenyewe.... Haya mmeshaanzaAcha upuuzi
Na viwanja vyote vya mpira walivyojimilikishaShule zote wa jumuiya ya wazazi zinapaswa kutaifishwa na kurudishwa serikalini vikiwemo viwanja vya mpira.
Yule mwendakuzimu ule uzalendo fake aliyojivalisha angelifanya hili hata mimi ningekuwa mshabiki wake, badala yake alichokifanya ni kuidhinisha dhulma hii ya ccm kwa umma kupitia kamati ya Dr Bashiru.
Umeandika ushuziChama cha mapinduzi kilikuwa na shule nyingi ma mali nyingi tu zilizokuwa chini ya jumuia ya wazazi.
Abadala Bulembo na wakora wenzake ndani ya CCM wakazitafuna na kujaza matumbo yao. Leo hii anajinasibu kupiga kelele kuziba wanaopinga ufisadi bila aibu.
Ina maana anataka kuaminisha watu kuwa CcM inalinda mafisadi bila hata aibu. Maana ana kiherehere kuwapiga madongo wanaopinga ufisad.
Jinai haina mwisho watu kama haw watiwe nyavuni.