wanasiasa wetu

Mh, mzee wa TOT anasikilizia kabisa kiuno!! Duh, huyu mama ninani?
 
kwikwikwikwikwi kweeeee,mimi vidole hivyo vya bwana komba tu
 
😀
GT naye bwana we.! kwani kuna kosa gani hawa wanasiasa kucheza? Au niseme what is special in this picture?
 
duuu hiyo ilikua ni msondo ama wananjenje?naona mzee komba anakomaa na jimama hahahahahahah!!!!!Kweli kazi na dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…