Wanasimba Imara tuwe kitu kimoja kipindi hiki cha lala salama

simba ya safari hii imenikatisha tamaa, yaani manara na boss wake wana nyambuana!
bora tupigwe 4 bila ili tujenge nidhamu.
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima..!!!
 
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
 
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
 
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
 
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
 
Nia ya kumchapa tunayo

Sababu ya kumchapa tunayo
Uwezo wa kumchapa tunao

Simba nguvu moja💪💪
 
Manunu fc bwana.....!!!
Eti ugomvi wote ni hako kafurushi Manara alipoomba afungiwe msosi wa kwenda nao home
 
Nia ya kumchapa tunayo


Sababu ya kumchapa tunayo
Uwezo wa kumchapa tunao

Simba nguvu moja[emoji123][emoji123]
Mamluki wa Utopolo kuisaliti Simba tushamshtukia,Kigoma Yanga watakaa iwe kwa nguvu au kwa hiari.
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
 
Mshana jr we ndo unafanya watu wazimie na wengne kufa kabsa timu inapopoteza maana kwa uchawi wako unatabiri as If Sangoma anapiga no 9 hahahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…