NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Habari za uzima wananzego, ni matumaini yangu kuwa ni wazima wa afya kabisa lakini kwa mashabiki wa yanga ni furaha tele Tena tele Sana.
Okey anyway niende kwenye point moja kwa moja Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Kuelekea tarehe 25 Kuna derby kubwa itapigwa pale Kati ya yanga na Azam fc uwanja wa chamazi studium, mbungi itakayopigwa pale itakua ni yakimataifa.
Azam wanazitaka point tatu muhimu ili wajihakikishie nafasi ya pili zaidi, wakati mabingwa watetezi yanga nao wakizitaka point tatu muhimu ili wazidi kuwadidimiza mahasimu wao Simba aka makolo Kama wanavyotambulika huko mtaani.
Sasa mashabiki wa makolo mchague muishangilie yanga ishinde ili Azam adidimie mpambanie nafasi ya pili au mtaishangilia azam ishinde ili muwacheke mashabiki wa yanga
Kazi kwenu na round hii yanga lazima ibebe Tena ndoo maana haina mpinzani hapa bongo.
Okey anyway niende kwenye point moja kwa moja Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Kuelekea tarehe 25 Kuna derby kubwa itapigwa pale Kati ya yanga na Azam fc uwanja wa chamazi studium, mbungi itakayopigwa pale itakua ni yakimataifa.
Azam wanazitaka point tatu muhimu ili wajihakikishie nafasi ya pili zaidi, wakati mabingwa watetezi yanga nao wakizitaka point tatu muhimu ili wazidi kuwadidimiza mahasimu wao Simba aka makolo Kama wanavyotambulika huko mtaani.
Sasa mashabiki wa makolo mchague muishangilie yanga ishinde ili Azam adidimie mpambanie nafasi ya pili au mtaishangilia azam ishinde ili muwacheke mashabiki wa yanga
Kazi kwenu na round hii yanga lazima ibebe Tena ndoo maana haina mpinzani hapa bongo.