Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Mnamsingizia Coach bure tu, hata asingefanya sub yoyote... Kilicho waumiza Simba ni Morrison na Moloko kuingia... Halafu Azizi kurudi kucheza nyuma ya Mayele, hapa ndipo mlizidiwa... Mabeki walijikuta wanapelekewa moto kushoto kwa Morrison na kulia kwa Moloko, walishindwa kuendelea kumkaba Mayele... (1st half Mayele alikabwa na beki wawili) 2nd half ikabidi kila beki apambane na hali yake...Makosa madogo aliyoyafanya Kocha katika Sub, yamempa ujiko Mayele,maana hadi kipindi cha kwanza kinaisha kabla ya sub, Mayele hakufa shambulio lolote la maana.
Hiki kitu wenye akili pekee ndyo wannaweza elewa, hawa wengine kila siku Zile billions 20 hata kadi ya uanachama Hana, hata Simba app ya sh 2000/= kwa mwezi Hana, halafu wanavyolalamika utadhani wana hata 0.0000005% ya hisa za Simba SCkabla ya kuingia mo Simba ilikuwaje?
Kama mnaweza kujiendesha wenyewe mbona mlishindwa?
HAKUNAA MTU ANAYEWEKA HELA ZAKE AKITEGEMEA HASARA.
Kama kuna faida moo amepata pale Simba ANASTAHILI HYO FAIDA NA ATAENDELEA KUSTAHILI
Mara kibao tu tunafungwa na huyo chama yupo ndaniMnamsingizia Coach bure tu, hata asingefanya sub yoyote... Kilicho waumiza Simba ni Morrison na Moloko kuingia... Halafu Azizi kurudi kucheza nyuma ya Mayele, hapa ndipo mlizidiwa... Mabeki walijikuta wanapelekewa moto kushoto kwa Morrison na kulia kwa Moloko, walishindwa kuendelea kumkaba Mayele... (1st half Mayele alikabwa na beki wawili) 2nd half ikabidi kila beki apambane na hali yake...
Mkuu hujui usemachoHiki kitu wenye akili pekee ndyo wannaweza elewa, hawa wengine kila siku Zile billions 20 hata kadi ya uanachama Hana, hata Simba app ya sh 2000/= kwa mwezi Hana, halafu wanavyolalamika utadhani wana hata 0.0000005% ya hisa za Simba SC
]
Kipi kifanyike tusifungwe tena na MAYELE?Tatizo ni kufungwa na Yanga au nini?
Acheni kulalamika, kila siku Simba hivi Simba , imewapasa kufahamu Yanga nao walijipanga, kupoteza derby sio kipimo Cha ubovu wa kocha!
Nenda karudie kuangalia match, first half nzima Zoran aliiweza, tactically na technically alikua good na aliwamudu yanga ( ispokuwa credit iende kwa naby aliegundua mtego wa Zoran) ,hajakaa vizur Sana na wachezaji wake kuwasoma character zao, lazima tumpe muda.
Tunatakiwa tuache malalamiko, j5 tuna Jambo letu pale estadeo de lupaso
Ni kama tu kule kwenu! Mna Aisha, Habiba, na sasa ameongezeka Pili.Yap, kazi imeonakana ila haiondoi ukweli kuwa Yanga mna Joyce na Aziza, full stop!
Ila HONGERA SANA mtani
Hakuna kipindi mtu anasema UKWELI kama kipindi ambacho amekasirika, yaani anaweza kutaja michepuko yote mbele ya MUME/MKE wake.Wanasimba tumevurugwa kweli kweli.
Kipindi ambacho tuna hali hiyo hebu jibuni hapa haya maswali ili na mimi mwanasimba (nipate uelewa Niwe na cha kuongea mbele za watu)÷
1. Zile 20B ziliwekwa account gani?
2. Mimi sina imani na Mo nyie wenzangu mmefanywa nini kuendelea kumuamini kiasi hiki?
3. Lini mwisho wa machungu haya (uteja kwa Yanga)mbana kama hamna dalili?
4. Mnadhani hata huyo Manzoki tunayemtaka atapita mwenyewe ule ukuta wa Yanga? Huyo huyo manzoni ndo atamkaba mbaya wetu Mayele?
5.Je mnajua kama kuna adui yetu mkubwa ameongezeka pale mbele AZIZ KI?
YAANI NIMEVURUGWA HASWA
How far sure are you?20b ni ela za hisa Kwa 49% but kabla haujaliza hizo why usiulize ela za hisa za 51%?
Mo anaweza kuwa ajatoa 20B sawa, but nataka nikwambie kuwa hawa watu wanakuja kudhamini Simba now ni Kwa sababu ya uwepo wa Mo ndani ya simba
Goli la kwanza mlikuwa wote mmetimia, alichoweza Nabi ni kumshusha Fei chini na ki kucheza kwenye namba 10Makosa madogo aliyoyafanya Kocha katika Sub, yamempa ujiko Mayele,maana hadi kipindi cha kwanza kinaisha kabla ya sub, Mayele hakufa shambulio lolote la maana.
Mayele au Yanga? shida inaanzia hapaMakosa madogo aliyoyafanya Kocha katika Sub, yamempa ujiko Mayele,maana hadi kipindi cha kwanza kinaisha kabla ya sub, Mayele hakufa shambulio lolote la maana.
Na hiyo inabaki dilemma kwa Nabi nani aanze kwenye namba 10 kati ya ki na Fei, kwa alichofanya ki juzi hiyo namba ni kama amejimilikisha tayariHapo ndo tulimalizwa
Na akimtoa hapo Aziz Ki watu watamuona mbaya NABI.Kiufupi AZIZ ni no 10 pure kabsa.Akiwa na Mayele shughuli inakuwa pevu.Na hiyo inabaki dilemma kwa Nabi nani aanze kwenye namba 10 kati ya ki na Fei, kwa alichofanya ki juzi hiyo namba ni kama amejimilikisha tayari
Yeah sure, kipindi cha kwanza Yanga walilemewa kabisa ila mpango wa kipindi cha Pili plus zile subs ndo ikawa ilivokuwaNa akimtoa hapo Aziz Ki watu watamuona mbaya NABI.Kiufupi AZIZ ni no 10 pure kabsa.Akiwa na Mayele shughuli inakuwa pevu.
Hamna bado mna team nzuri maybe mnaweza mkapata muunganiko mzuri huko mbele, muwe na subiraHakika huu ni mwaka wetu wa tabu,huyu mayele huyuuuuuu
Mara ya mwisho USHINDI ulipata kigoma mbumbumbu na popoma mkubwa umenifunga lini wewe takataka USHINDI wako drooFC Kinye mna tabu nyie...ni kama Kipofu aliyeona Mwezi Au Mgumba aliyeshika Mimba Barabara nzima mnatema MIMATE..!