Tatizo ni kufungwa na Yanga au nini?
Acheni kulalamika, kila siku Simba hivi Simba , imewapasa kufahamu Yanga nao walijipanga, kupoteza derby sio kipimo Cha ubovu wa kocha!
Nenda karudie kuangalia match, first half nzima Zoran aliiweza, tactically na technically alikua good na aliwamudu yanga ( ispokuwa credit iende kwa naby aliegundua mtego wa Zoran) ,hajakaa vizur Sana na wachezaji wake kuwasoma character zao, lazima tumpe muda.
Tunatakiwa tuache malalamiko, j5 tuna Jambo letu pale estadeo de lupaso