NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Hili ndo neno la ukweli mtupuHaya matokeo ilikuwa ni suala la muda tu ili viongozi wa Simba waamke,kuanzia usajili mpaka management
Kosa kubwa ni kimfukuza huyu mzee.Baada ya kichapo heavy nikiwa shabiki Lia Lia wa Simba sc nahitaji wanasimba wenzetu tupige kura hapa ya kumfukuza Robertinho au tufukuze wachezaji??
Njoo haraka sana.View attachment 2805036
Wewe ni MTU wa mpira umeongea kimpira.Hatufukuzi mtu, tumefungwa kwa halali kwa kuzidiwa kila idara.
jukwaa la michezo wamelikimbia watukanaji na wapiga keleleTatizo wanasimba tumewekeza sana kwenye propaganda [emoji23][emoji23][emoji23]
Wiki hizi ukimsikiliza Ahmed ally.....unaweza jua Simba ni heavyweight
Pole Mkuu ndio mpira.Tatizo wanasimba tumewekeza sana kwenye propaganda [emoji23][emoji23][emoji23]
Wiki hizi ukimsikiliza Ahmed ally.....unaweza jua Simba ni heavyweight
Kweli kabisa jamaa wananidhamu kubwa.Ndio matokeo ya mpira hayo ila jamaa wa upande wa pili wanajituma sana kwani pindi wanapo poteza mpira wanautafuta kwa haraka haswaa
Baada ya kichapo heavy nikiwa shabiki Lia Lia wa Simba sc nahitaji wanasimba wenzetu tupige kura hapa ya kumfukuza Robertinho au tufukuze wachezaji??
Njoo haraka sana.View attachment 2805036
HADI CHAMA MKUU.TUFUKUZE WACHEZAJI WOTE MKUU. TUANZE UPYA
SIJUI IMEKUAJE WAKAMUWEKA MANULA.LEO tumekumbushwa kwamba kwenye dirisha la usajili tunatakiwa kufanya USAJILI siyo kupiga picha na MANZOKI.
Mtu mmoja aniambie MANULA ambaye hajacheza kwanzia msimu uanze anaanzishwaje kwenye Derby?
TUJITAFAKARI
SIJUI IMEKUAJE WAKAMUWEKA MANULA.
NILIPOMUONA TU MANULA NIKAJUA YANGA WANACHUKUA POINT TATU.Angadaka AYUBU au Yule dogo zisingefika 5 Angeanza kwanza kupata fitness huwezi kukaa nje miezi 6 unarudi game ya derby
Kocha ndo anatengeneza hii Chemistry..Ndio matokeo ya mpira hayo ila jamaa wa upande wa pili wanajituma sana kwani pindi wanapo poteza mpira wanautafuta kwa haraka haswaa