Wanasimba SC njooni hapa tufanye maamuzi sahihi tumfukuze kocha au tuwafukuze wachezaji?

Wanasimba SC njooni hapa tufanye maamuzi sahihi tumfukuze kocha au tuwafukuze wachezaji?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Baada ya kichapo heavy nikiwa shabiki Lia Lia wa Simba sc nahitaji wanasimba wenzetu tupige kura hapa ya kumfukuza Robertinho au tufukuze wachezaji??

Njoo haraka sana.

IMG-20231105-WA0073.jpg
 
LEO tumekumbushwa kwamba kwenye dirisha la usajili tunatakiwa kufanya USAJILI siyo kupiga picha na MANZOKI.

Mtu mmoja aniambie MANULA ambaye hajacheza kwanzia msimu uanze anaanzishwaje kwenye Derby?

TUJITAFAKARI
Baada ya kichapo heavy nikiwa shabiki Lia Lia wa Simba sc nahitaji wanasimba wenzetu tupige kura hapa ya kumfukuza Robertinho au tufukuze wachezaji??

Njoo haraka sana.View attachment 2805036
 
LEO tumekumbushwa kwamba kwenye dirisha la usajili tunatakiwa kufanya USAJILI siyo kupiga picha na MANZOKI.

Mtu mmoja aniambie MANULA ambaye hajacheza kwanzia msimu uanze anaanzishwaje kwenye Derby?

TUJITAFAKARI
SIJUI IMEKUAJE WAKAMUWEKA MANULA.
 
Back
Top Bottom