Wanasimba SC njooni hapa tufanye maamuzi sahihi tumfukuze kocha au tuwafukuze wachezaji?

Baada ya kichapo heavy nikiwa shabiki Lia Lia wa Simba sc nahitaji wanasimba wenzetu tupige kura hapa ya kumfukuza Robertinho au tufukuze wachezaji??

Njoo haraka sana.View attachment 2805036
mnamlaumu kocha kwani yeye ndio alikuwa uwanjani? jilaumuni kwa kushindwa kusajili vizuri. ukimweka mchezaji mmojammoja wa simba na yanga, haviendani kabisa, ni kama yanga wanawaonea tu simba.
 
LEO tumekumbushwa kwamba kwenye dirisha la usajili tunatakiwa kufanya USAJILI siyo kupiga picha na MANZOKI.

Mtu mmoja aniambie MANULA ambaye hajacheza kwanzia msimu uanze anaanzishwaje kwenye Derby?

TUJITAFAKARI
Maajabu aisee
 
Yanga leo wametumia kwa usahihi half spaces simba walikuwa wanakaba mtu badala ya kuziba open space very disorganized when they have the ball and when they lose it they're running like chickens without head they don't make compactness when they lose ball.
 
Kiukweli yanga wametuzid kila idara
Gamondi naskia kawaka sana baada ya mechi Kule chumba cha kubadilishia nguo. Anasema hajaelewa kabisa ... Yanga inacheza chini ya kiwango. Yeye alionao hii gemu itaisha na 8 na imekuaje mpaka wamepata goli.

Wanayanga wenyewe tulikuwa tunauliza ukuta huu wa yeriko sindo uliizuia al ahly? 😆
 
mnamlaumu kocha kwani yeye ndio alikuwa uwanjani? jilaumuni kwa kushindwa kusajili vizuri. ukimweka mchezaji mmojammoja wa simba na yanga, haviendani kabisa, ni kama yanga wanawaonea tu simba.
Pia, binafsi sijaona kosa la Manula kwa magoli yote ma5. Na niliona aliokoa michomo mingine ya hatari.
Tusijibaraguze wana Simba, timu yetu mbovu. Wenzetu wametuzidi. Hebu fikiria tu, wachezaji wa Yanga, waliokuwa nje, bado wamewazidi wachezaji wetu wengi tulio nao!
 
Nyie siyo wa kwanza kupigwa Tano. Sasa kila mtu akianza kufukuza watu baada ya kula tano si itakuwa vurugu.
 
Fukuza wachezaji wote .

Chemalone badala ya kucheza Mpira anamlaumu na kumsukuma Kipa wake poor discipline .
Maanake amevunja morali ya kipa wake na wachezaji wenzake
 
Nina wenge au ni jiefu ndio inasumbua kabla ya kufungua uzi niliona mtoa mada Ni okw boban lakini nilipofungua namkuta nalia ngwena hi imekaaje🚶🚶🚶
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…