Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
mnamlaumu kocha kwani yeye ndio alikuwa uwanjani? jilaumuni kwa kushindwa kusajili vizuri. ukimweka mchezaji mmojammoja wa simba na yanga, haviendani kabisa, ni kama yanga wanawaonea tu simba.Baada ya kichapo heavy nikiwa shabiki Lia Lia wa Simba sc nahitaji wanasimba wenzetu tupige kura hapa ya kumfukuza Robertinho au tufukuze wachezaji??
Njoo haraka sana.View attachment 2805036