NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #61
NOMA SANA [emoji16]Kwenye kipingo kama hiki busara ni kurudi nyuma na kufanya tathimini ya makosa ya kiufundi yalikuwa wapi, halafu kama shida ni mfumo hapo tunamgeukia kocha SI kufukuzana bila tathimini tutaharibu zaidi na kuelekea kuwa vibonde, dah!!! lakni inauma[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hawa wahindi makanjibai lazima tuwachinjie baharoni,wakaanzishe timu yao,wasengerema kabisa haoAlichagua kamati yake Binafsi
POLE SANA MKUU.Acha unafiki mkuu.
POLE SANA MKUU UMEONGEA KWA UCHUNGU MNO.[emoji16]Tatizo sio wote ni watu wachache sana ndo wanaturudisha nyuma
Sasa mtu kama baleke kibu D yuko pembeni yake ni swala la kutoa pasi ajaribu kufunga anataka apige mwenyewe
Kibu D baada ya kufunga kila mpira anajaribu kubutua
Kapombe ni kama non exisiting jana
Saido anawaza afunge mwenyewe kila muda
Kocha anatoa maelekezo inonga apige mipira mirefu kumtafuta winga ila sidhani ile mbinu ilifanikiwa mipira yote haikufika
Pia mabeki wetu baada ya goli la pili walipanda juu mno counter attacks zikatuua timu ikipanda
Ukiangalia hawa chura wenyewe wamecheza kwa umoja muangalie clement pasi anampa max mpia bila kinyongo mambo yanaenda
Muangalia pacome na aziz ki si wachoyo watu utafikiri hakuna staa kwenye timu
All in all tuliingia kwenye mfumo[emoji16]
Kocha apewe wachezaji atakaowataka bado nina imani na robertinho
Though nayeye ajaribu kuweka watu tofauti tofauti kupata right combination
๐๐๐ acha tu simba wanazinguaPOLE SANA MKUU UMEONGEA KWA UCHUNGU MNO.[emoji16]
mlishiriki kumuajiri?Baada ya kichapo heavy nikiwa shabiki Lia Lia wa Simba sc nahitaji wanasimba wenzetu tupige kura hapa ya kumfukuza Robertinho au tufukuze wachezaji??
Njoo haraka sana.
View attachment 2805036
[emoji16][emoji2772]mlishiriki kumuajiri?