NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #61
NOMA SANA [emoji16]Kwenye kipingo kama hiki busara ni kurudi nyuma na kufanya tathimini ya makosa ya kiufundi yalikuwa wapi, halafu kama shida ni mfumo hapo tunamgeukia kocha SI kufukuzana bila tathimini tutaharibu zaidi na kuelekea kuwa vibonde, dah!!! lakni inauma[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]