Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Tupe takwimu zake tuone.Toka alivyoenda mtibwa unaona performance yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe takwimu zake tuone.Toka alivyoenda mtibwa unaona performance yake?
Goal 4.Tupe takwimu zake tuone.
Kumbe amemzidi hadi pepe sakho..basi anawafaa mrudisheni tuGoal 4.
Asist 2
ishu ni kwamba kwa wachezaji wa ndani wazuri ni kina nani kuwazidi hao kina Demla? Usajili wa kimataifa unajuliana nafasi zake haziingiliani na hawa wa ndaniacheni vichekesho.. hawa akina ndemla wanajua kucheza ligi za ndani tu ukiwapeleka ccc hawana kitu hawa.. simba inatakiwa i advance kwa kusajili wachezaji wa viwango vya juu zaidi ya akina Ndemla
Teh teh tehKumbe amemzidi hadi pepe sakho..basi anawafaa mrudisheni tu
Achana na takataka hizo tunataka wachezaji timamuHabari za muda huu
Naleta mada kibishi hapa jukwaani.
Hivi wanasimba wenzangu hatuwezi kushinikiza Said Ndemla kurudishwa kikosini?
Ukilinganisha Aliondolewa Ndemla akaletwa kanute na Abdulswamadu lakin Abdulswamadu akashindwa kushaine hivyo akatolewa kwa mkopo.
Saiv uongozi unahangaika na mkandala ambae hatujui Kama ataendana na mfumo ama la ,si Bora angerudi tu Ndemla na akipata nafasi hao akina Bwalya , mzamiru ,Nyoni na Mkude si hawataturingia?