Wanasimba : Special campaign ya kumrudisha Ndemla kikosini

acheni vichekesho.. hawa akina ndemla wanajua kucheza ligi za ndani tu ukiwapeleka ccc hawana kitu hawa.. simba inatakiwa i advance kwa kusajili wachezaji wa viwango vya juu zaidi ya akina Ndemla
ishu ni kwamba kwa wachezaji wa ndani wazuri ni kina nani kuwazidi hao kina Demla? Usajili wa kimataifa unajuliana nafasi zake haziingiliani na hawa wa ndani
 
Achana na takataka hizo tunataka wachezaji timamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…