Wanasimba Tuache kuwakatisha tamaa wachezaji wetu,tuwe na subira,mmemuona Kibu?

Wanasimba Tuache kuwakatisha tamaa wachezaji wetu,tuwe na subira,mmemuona Kibu?

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
1,535
Reaction score
5,332
Leo hii KIBU D kawa mchezaji Bora kabisa katika Klabu yetu.kawa muokozi,mleta faraja,mkombozi na mfunga magoli muhimu.
Lakini Kibu huyuhuyu miaka miwili iliyopita hakuna tusi aliacha kutukanwa.
Kibu alilaumiwa na analaumiwa kwa kufunga goli moja TU msimu mzima na kutofungq kabisa katika mashindano ya ndani.
Sasa najiuliza je kuna ubaya wowote mchezaji akiwa anaweza kufunga mashindano ya nje lakini asipate nafasi ya kufunga mashindano ya ndani?
Hata hivyo siyo Kibu TU aliekua akishambuliwa na kulaumiwa na mashabiki wa Simba,bali kuna wachezaji wengi sana wamekua wakilaumiwa na kutukanwa kwa sababu TU ya kukosa kufunga magoli mara TU baada ya kusajiliwa.
Kwa ninavyojua Mimi haya mambo yanahitaji muda na bahati.
Mfano hata Ateba,Mukwala na Mapanzu Kuna watu walikua wanawalaumu na kusema tumepigwa,lakn Ateba Sasa kaanza kuonesha cheche,Mukwala kaanza kutoa moshi bado kuwaka TU.
Mpanzu keshaanza kutoa assist lakini huko tuendako atafunga TU.
Kwa hiyo ninachotaka kuwaomba wanasimba wenzangu tuwatie moyo wachezaji wetu,Tuache kuwakatisha tamaa,tusiwatukane,tuwape muda na tuwaombee.
Hata Joshua Mutale Kuna siku atafunguka.
Leo hii kuna wanasimba wanamsema na kumlaumu Ahoua kwa uchezaji wake usio na urembo ingawa analeta magoli.
Ndugu zangu katika Simba Tusiwakatishe tamaa wachezaji wetu na tusiwakatie tamaa.
 
Yanga ndo wanawakandia wachezaji wetu na nyinyi mashabiki oya oya mnawafuatisha yanga baada ya kuwajaza kwenye mfumo.
 
Usajili wa simba msimu huu kwangu naupa 90% nyingine kumi kama binadamu huwezi kuwa mkamilifu,Hata simba yangu ikifungwa siwezi walaumu wachezaji ni sehemu ya mchezo tu.
 
Leo hii KIBU D kawa mchezaji Bora kabisa katika Klabu yetu.kawa muokozi,mleta faraja,mkombozi na mfunga magoli muhimu.
Lakini Kibu huyuhuyu miaka miwili iliyopita hakuna tusi aliacha kutukanwa.
Kibu alilaumiwa na analaumiwa kwa kufunga goli moja TU msimu mzima na kutofungq kabisa katika mashindano ya ndani.
Sasa najiuliza je kuna ubaya wowote mchezaji akiwa anaweza kufunga mashindano ya nje lakini asipate nafasi ya kufunga mashindano ya ndani?
Hata hivyo siyo Kibu TU aliekua akishambuliwa na kulaumiwa na mashabiki wa Simba,bali kuna wachezaji wengi sana wamekua wakilaumiwa na kutukanwa kwa sababu TU ya kukosa kufunga magoli mara TU baada ya kusajiliwa.
Kwa ninavyojua Mimi haya mambo yanahitaji muda na bahati.
Mfano hata Ateba,Mukwala na Mapanzu Kuna watu walikua wanawalaumu na kusema tumepigwa,lakn Ateba Sasa kaanza kuonesha cheche,Mukwala kaanza kutoa moshi bado kuwaka TU.
Mpanzu keshaanza kutoa assist lakini huko tuendako atafunga TU.
Kwa hiyo ninachotaka kuwaomba wanasimba wenzangu tuwatie moyo wachezaji wetu,Tuache kuwakatisha tamaa,tusiwatukane,tuwape muda na tuwaombee.
Hata Joshua Mutale Kuna siku atafunguka.
Leo hii kuna wanasimba wanamsema na kumlaumu Ahoua kwa uchezaji wake usio na urembo ingawa analeta magoli.
Ndugu zangu katika Simba Tusiwakatishe tamaa wachezaji wetu na tusiwakatie tamaa.
Wengi wanaolalamika ni mashabiki wa utopolo wanaovaa jezi za Simba.

Sijui kwa nini sisi wana Simba tunawachekea watu hawa na kujifanya marafiki zao

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Tusiposema hatajua mapungufu yake.... Acha tumsseme maana tumeshajua akisemwa anajubu kivitendo..... AU UNATAKA IWE KAMA MPUMBUMALELO NDUBE???
 
Tusiposema hatajua mapungufu yake.... Acha tumsseme maana tumeshajua akisemwa anajubu kivitendo..... AU UNATAKA IWE KAMA MPUMBUMALELO NDUBE???
Unavyowasema wewe ni tofauti na wanavyosemwa na wengine.
Kukosoa ni swa lkn sio kupendekeza mchezaji Fulani aachwe kirahisi TU.
Kuna wengine wanafikia Hadi kusema mchezaji Fulani aachwe kwa sababu TU bado hajafunga licha ya kua anacheza vizuri na kutoa mchango mzuri kwa timu.
Ukweli niliumia sana kuachwa Moses Phiri.
 
Unavyowasema wewe ni tofauti na wanavyosemwa na wengine.
Kukosoa ni swa lkn sio kupendekeza mchezaji Fulani aachwe kirahisi TU.
Kuna wengine wanafikia Hadi kusema mchezaji Fulani aachwe kwa sababu TU bado hajafunga licha ya kua anacheza vizuri na kutoa mchango mzuri kwa timu.
Ukweli niliumia sana kuachwa Moses Phiri.
Phiri alikuwa anakula hela ndefu anarudisha kidogo...... Ukisikia unakula padogo unahonga pakubwa ni Ile Sasa.... Mpira ni biashara..,.. LAZIMA KULIPWA UNÀCHOTOA.
 
Phiri alikuwa anakula hela ndefu anarudisha kidogo...... Ukisikia unakula padogo unahonga pakubwa ni Ile Sasa.... Mpira ni biashara..,.. LAZIMA KULIPWA UNÀCHOTOA.
Lakini Phiri alikua anapiga magoli kabla ya kua majeruhi,au Mimi Sina taarifa za ndani?
 
Back
Top Bottom