William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Mimi yule Roberto sikuwahi kumkubali na mpira wake kampani yangu yote wansimba walikuwa wanajua hilo kwanza profile yake ilikuwa ndogo sana kuliko simba hapo nilishangaa sana uongozi wa simba kuwa na yule coachKuna mashabiki wa Simba wapo Kama chawa hawatakuelewa. Na ndio mtaji wa Mo na mafisadi wenzake. Nakumbuka mechi ya kwanza ya Robertinho nilisema huyo kocha hatufai nilitukanwa Sana. Ila baada ya kupigwa tano, mashabiki uchwara wamekimbia. Kwa Sasa Simba haina Viongozi Ina wasanii.
Haijibiki ile no coment[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa whtsap channel je
Sasa mlitegemea Muhindi aweke pesa ya maana hapo?Kuna mashabiki wa Simba wapo Kama chawa hawatakuelewa. Na ndio mtaji wa Mo na mafisadi wenzake. Nakumbuka mechi ya kwanza ya Robertinho nilisema huyo kocha hatufai nilitukanwa Sana. Ila baada ya kupigwa tano, mashabiki uchwara wamekimbia. Kwa Sasa Simba haina Viongozi Ina wasanii.