Wanasimba tutamlinda MO kwa nguvu zote

Mimi ni Mshabiki wa simba kindaki ndaki lkn huwa sifahamu kazi ya MO kwa timu ya Simba haswa ni nini?

Kuna haja kwa vionhozi wa simba wawe wanajitokeza kwenye vyombo vya habari mara kwa mara ili nasi mashabiki tuwe tunajua kazi zao.
 
FCC wanatumika.... Mkurugenzi wake ni shabiki wa kutupwa wa Yanga..
 
Hizi Simba na Yanga zinaPublic interest mkuu, kufanya jambo lolote kwa kukurupuka lolote linaweza kutokea......ndiyo maana haziendelei zimeganda tu.....pamoja na hayo Mo anayoyafanya kuna watu wanampinga.....japo pia Mo nayeye anatumia umasikini na utegemezi wa hii timu pamoja na umbumbumbu wa mashabiki kutaka kuipata kirahisi
 
Kwa mazuri anayoyafanya MO, hata mchakato ukianza upya sisi tutampitisha tu.

Wanapoteza bure muda wao kumuwekea vikwazo na kuchelewesha mabadiliko. Sisi wanachama tushaamua kumkabidhi timu MO na matunda yake tushayaona na tumeshanogewa.
 
Aliyeamuru MO atekwe hayopo tena
 
Eti mtamlinda kwan nyie mnaulinz gan kumzd aliokua nao meko mbona kalala ulinzi anao mungu pekee mikia nyinyi na hakuna anaemvuruga kinachotakiwa afate sheria sio kutafuta huruma ya mikia wenzie na nasema hivi mnaanza upya
Punguza hasira ndugu taratibu maumivu yataisha usipayuke
 
Mbona mlishindwa kumlinda wajuba walivyopitanae?
 
Wameanza ujinga, tatizo wivu wa kijinga unaiponza FCC. Watuachie simba yetu. Au akina mwigulu wameshaanza yao? MTU akishatoka kimaisha ashatoka, hata ufanyeje ili kumkwamisha, utakuwa unapoteza muda wako bure. Simba saizi ni level nyingine, just leave us alone na simba yetu. Huyo mdudu FCC should act wisely
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…