Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
- Thread starter
-
- #21
Kweli jitahidini kumtafuta maana bila yeye mtakuwa wa kumi na nane wala si muda mwingi
Nimekaba hapa mpakani mwa malawi nahakikisha gari halipiti lolote bila kukagua kama mo yupo ama hayupo nitawajuza
Naunga mkono hoja. Kila mtu kwa imanibyake amuombee Mo apayikane salama na wale wazee wa kuangalia matukio kwenye karai lenye maji watusaidie kumtafuta.
Makonda ana mawenge sana.Msemaji wa Simba H manara amesema tuwaachie vyombo vya dola, mkuu wa mkoa amesema anaamini atapatikana akiwa mzima, lkn kama ikitokea sehemu ulipo ukaona kama hapaeleweki unaweza kutoa taarifa
Unataka kusema timu itayumba?, mbona majangaKweli jitahidini kumtafuta maana bila yeye mtakuwa wa kumi na nane wala si muda mwingi
Sawa mkuu kilichobaki wana simba wote kila mmoja aingie kwenye pori jirani na kwake mjaribu kumtafuta huko.Mpaka mda huu hajapatikana na mimi kama mkereketwa wa Simba na Amani kwa ujumla niwasihi wanasimba popote mlipo iwe vyombo vya usalama, ofisi za uma, michezoni, nje ya mipaka, ndani ya mipaka na sisi wanasimba tulio ndani ya mamlaka bila kuogopa chochote tupigane Mo apatikane akiwa mzima Inshaalah.
Ben Saanane mwaka wa pili huu wanaimba tu na bado hamna hata daliliTusichoke kupaza sauti zetu Bring back our Mo, Bring back our Mo, Bring back our Mo
Polisi siyo malaika au waganga wa kienyeji kama unavyofikiri. Tutoe ushirikiano kwao kwa kuwapa taarifa zitakazowezesha na kupelekea kupatikana kwake.Polisi wetu masaa yote hayo wameshafail
Bongo wanajua kulogana kuzibiana riziki but kuloga kufanya maendeleo hawajuiwatu wa meditation hapa ndo wananiachaga hoi.wanashindwa kufungua mlango wa sita?kujua moo yupo wapi?
Timu haiwez kuyumba tuna wawekezaji wengi shida huyu jamaa ni tajiri wa pekee tuliowahi kufanya kazi naye tunamjuaUnataka kusema timu itayumba?, mbona majanga
Yanga mtakuwa suspect number mojaNa asipatikane mkuu, maana wanasimba mmekua kiburi sana mjini sababu yake[emoji23][emoji23]
Timu haiwez kuyumba tuna wawekezaji wengi shida huyu jamaa ni tajiri wa pekee tuliowahi kufanya kazi naye tunamjua
Acha kuchekesha walionunaKwani kafanyaje?
Hahahaaaa, kama nyie mlivyofurahia manji kuteswa sio, bila shaka na nyie mlihusikaYanga mtakuwa suspect number moja
Who r u??? Ile for real yaanii who r u??Mmmh Sawa. Ina Maana Huna Imani Na Walinzi Wetu