mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
100%.ni kama matatizo ya tanzania yanasababishwa na ccm.timu inaanza kwenye uongozi..alaf ndo unakuja uwanjanikwa hiyo tatizo kuu la simba ni la kimfumo wa uongozi na uwekezaji wa mo dewji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100%.ni kama matatizo ya tanzania yanasababishwa na ccm.timu inaanza kwenye uongozi..alaf ndo unakuja uwanjanikwa hiyo tatizo kuu la simba ni la kimfumo wa uongozi na uwekezaji wa mo dewji?
tuko pamoja kaka. Mfano, mshabiki wa yanga anajipa credits za kukamilisha (kulingana na madai yao) transfomation kwa kuikejeli simba, akisahau wepesi walioupata yanga ni jitihada za simba kufungua njia BMT kubadili kwanza katiba yao ili kuruhusu mchakato wa mabadiliko kwa vilabu nchini.100%.ni kama matatizo ya tanzania yanasababishwa na ccm.timu inaanza kwenye uongozi..alaf ndo unakuja uwanjani
Ninavyokumbuka Yanga ndio walioanza, utawala ule wa Bashite & co, ukaiwekea vikwanzo kupitia BMT.tuko pamoja kaka. Mfano, mshabiki wa yanga anajipa credits za kukamilisha (kulingana na madai yao) transfomation kwa kuikejeli simba, akisahau wepesi walioupata yanga ni jitihada za simba kufungua njia BMT kubadili kwanza katiba yao ili kuruhusu mchakato wa mabadiliko kwa vilabu nchini.
Ndio. Wepesi niliouaminisha ni kwamba, simba walikutana na kigingi kivipi, Katiba ya BMT ilikua nayo haina vifungu vya kutambua vilabu kuendeshwa kikampuni. Ilibidi wabadili kwanza katiba yao ili vilabu vinapokuja kuwasilisha maombi ya transformation sheria mama ya soka nchini iwe na mandatory kisheria kupokea maombi yaoNinavyokumbuka Yanga ndio walioanza, utawala ule wa Bashite & co, ukaiwekea vikwanzo kupitia BMT.
Manji aliambiwa wazi wazi kama anataka akaanzishe timu yake, wakati yeye wala hakutaka kuinunua Yanga alitaka akodishwe kwa miaka kumi tu, na Mkutano Mkuu ulikuwa umeshapitisha na kampuni zilikuwa tayari zimeshaundwa ambapo kulikuwa kuwe na Kampuni 3.
Baadae Simba nao ndio wakaanza mchakayo wao ambao mwanzoni haukupata vikwanzo, katikati huku ndio kukajitokeza figisu.
Nimekuelewa.Ndio. Wepesi niliouaminisha ni kwamba, simba walikutana na kigingi kivipi, Katiba ya BMT ilikua nayo haina vifungu vya kutambua vilabu kuendeshwa kikampuni. Ilibidi wabadili kwanza katiba yao ili vilabu vinapokuja kuwasilisha maombi ya transformation sheria mama ya soka nchini iwe na mandatory kisheria kupokea maombi yao
Hoja ya msingi. Nakupa nyota nne mkuuMpira wa kisasa unahitaji viongozi wenye weledi na pesa yakutosha.
Kuchagua viongozi wanaofuata kulipwa mishahala ndani ya vilabu ni kupitwa na wakati.
Uongozi wa vilabu binafsi ulenge kupata wadau wa kuisaidia timu na sio kuwapa watu ajira.
ni retired officers sawa, kwangu sio tatizo, bali mchango wao ndo wakuhojiwa katika maendeleo ya klabuUnategemea nini, ikiwa Mwenyekiti na baadhi ya Directors ni retired officers. Kula yao inategemea wanachoweza kupata Simba
Hebu soma ulichoandika uone makosa uliyofanya, rekebisha halafu twende sawaWewe ndo jukumuelewa. Aliposema Wanasimba hawamdai alimaanisha nini kama kuna mengine hakutumiza?
Watarajie fursa nyingine ya kupiga picha na ManzokiView attachment 2632152
Msimu mwingine bila kombe kwa wanasimba. Kebehi ya mtani ni: tayari ushindi wa SIMBA SC ni ahadi ya mwenyekiti wake kuifunga YANGA.
View attachment 2632162
Mindset ya mwenyekiti huyu ndo naihoji, kisha najiuliza, wanasimba wanatarajia nini msimu ujao chini ya uongozi wake?! Ni kuifunga tena YANGA au nini?
Kombe la Inonga kushangilia kumkaba Mayele.View attachment 2632152
Msimu mwingine bila kombe kwa wanasimba. Kebehi ya mtani ni: tayari ushindi wa SIMBA SC ni ahadi ya mwenyekiti wake kuifunga YANGA.
View attachment 2632162
Mindset ya mwenyekiti huyu ndo naihoji, kisha najiuliza, wanasimba wanatarajia nini msimu ujao chini ya uongozi wake?! Ni kuifunga tena YANGA au nini?