Wanasimba wenzangu naomba tuwe na shukurani,Manula aheshimiwe

Wanasimba wenzangu naomba tuwe na shukurani,Manula aheshimiwe

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
1,535
Reaction score
5,332
Hongera sana Simba,timu ya mfano Tanzania na Africa mashariki. Timu wa kipimo Cha timu nyingine,
Timu waanzilishi wengine wanafuata,Timu bunifu,wengine wanafuata,

Timu yenye hadhi inayolipatiaga taifa heshima. Nawaomba sana tumpe heshima Aishi Manula
Aishi Manula ameitoa Simba mbali sana.

Huyu mwamba ametuvusha na ametupa heshima Simba miaka zaidi ya mitano kimataifa.Naomba tusimsahaubmwamba huyu,naomba tuwe na kumbukumbu juu ya mtu huyu.

Tusiwe wepesi wa kusahau. Huyu mwamba inatakiwa ajengewe sanamu.. Wanasimba tunakuaga na furaha kubwa sana kwenye mafanikio lakini ni wepesi sana kuwasahau waliotupatia mafanikio hayo.

Aishi Maula ana historia Simba,tumpe heshima yake. Hapa ilipofika Simba Manula ana jasho lake.
Ila napenda kuwafahamisha kua Simba Ina bahati ya Makipa.

Tuanzie hapa TU. Makipa waliotingisha nchi kutoka Simba ni.
-Athuman Mambosasa
-Omar Mahadhi
-Iddi Pazi
-Mohamed Mwameja
-Aish Manula
-Juma kaseja
Na Sasa
Musa kamara.

Kama Kuna niliemsahau mtanikumbusha.
Ila Aishi Manula apewe heshima yake tuache tabia ya kusahau waliotuvusha.
Mwamba ilituvusha .
 
Hongera sana Simba,timu ya mfano Tanzania na Africa mashariki.
Timu wa kipimo Cha timu nyingine,
Timu waanzilishi wengine wanafuata,
Timu bunifu,wengine wanafuata,
Timu yenye hadhi inayolipatiaga taifa heshima.
Nawaomba sana tumpe heshima Aishi Manual.
Aishi Manula ameitoa Simba mbali sana.
Huyu mwamba ametuvusha na ametupa heshima Simba miaka zaidi ya mitano kimataifa.
Naomba tusimsahaubmwamba huyu,naomba tuwe na kumbukumbu juu ya mtu huyu.
Tusiwe wepesi wa kusahau.
Huyu mwamba inatakiwa ajengewe sanamu..
Wa nasikmba tunakuaga na furaha kubwa sana kwenye mafanikio lakini ni wepesi sana kuwasahau waliotupatia mafanikio hayo.
Aishi Maura ana historia Simba,tumpe heshima yake .
Hapa ilipofika Simba Manula ana jasho lake.
Ila napenda kuwafahamisha kua Simba Ina bahati ya Makipa.
Tuanzie hapa TU.
Makipa waliotingisha nchi kutoka Simba ni.
-Athuman Mambosasa
-Omar Mahadhi
-Iddi Pazi
-Mohamed Mwameja
-Aish Manula
Na Sasa
Musa kamara.
Kama Kuna niliemsahau mtanikumbusha.
Ila Aishi Manula apewe heshima yake tuache tabia ya kusahau waliotuvusha.
Mwamba ilituvusha .
Ayubu mbona umemsahau au una gonjwa la kusahau
 
Hongera sana Simba,timu ya mfano Tanzania na Africa mashariki.
Timu wa kipimo Cha timu nyingine,
Timu waanzilishi wengine wanafuata,
Timu bunifu,wengine wanafuata,
Timu yenye hadhi inayolipatiaga taifa heshima.
Nawaomba sana tumpe heshima Aishi Manual.
Aishi Manula ameitoa Simba mbali sana.
Huyu mwamba ametuvusha na ametupa heshima Simba miaka zaidi ya mitano kimataifa.
Naomba tusimsahaubmwamba huyu,naomba tuwe na kumbukumbu juu ya mtu huyu.
Tusiwe wepesi wa kusahau.
Huyu mwamba inatakiwa ajengewe sanamu..
Wa nasikmba tunakuaga na furaha kubwa sana kwenye mafanikio lakini ni wepesi sana kuwasahau waliotupatia mafanikio hayo.
Aishi Maura ana historia Simba,tumpe heshima yake .
Hapa ilipofika Simba Manula ana jasho lake.
Ila napenda kuwafahamisha kua Simba Ina bahati ya Makipa.
Tuanzie hapa TU.
Makipa waliotingisha nchi kutoka Simba ni.
-Athuman Mambosasa
-Omar Mahadhi
-Iddi Pazi
-Mohamed Mwameja
-Aish Manula
Na Sasa
Musa kamara.
Kama Kuna niliemsahau mtanikumbusha.
Ila Aishi Manula apewe heshima yake tuache tabia ya kusahau waliotuvusha.
Mwamba ilituvusha .
Kwani Manula alikuwa analipwa mshahara kwa lazi gani? Ushauri wa kipimbi huu
 
Ndio mashabiki wa Simba mlivyo
Ilifikia hatua mkataka kumstaafisha Boco na mkude tena kwa dharau na matusi ya uchawi
Heshimuni watu waliowapa good time
 
Katika dirisha dogo, Simba iachane na Manula halafu imbakishe Lakred hadi mwishoni mwa msimu kama inawezekana. Kuna dalili fulani za washkaji zake Manula pale nyuma wanaweza kuchomesha ili kumharibia Camara ili jamaa yao arudi langoni.

Simba haimhitaji tena Manula.
 
Katika dirisha dogo, Simba iachane na Manula halafu imbakishe Lakred hadi mwishoni mwa msimu kama inawezekana. Kuna dalili fulani za washkaji zake Manula pale nyuma wanaweza kuchomesha ili kumharibia Camara ili jamaa yao arudi langoni.

Simba haimhitaji tena Manula.
Sawa ila ningependa aachwe kwa heshima.
Kuna mazuri aliifanyia timu.
Mambo mengine ni njaa TU.
 
Kaseja ametufikisha hatua ya makundi mara moja mwaka 2003, Manula hatua ya robo mara kadhaa.
Apewe heshima yake, ingawa Hassan Mlapakolo ametufikisha semi final mwaka 1974 naye akumbukwe.

Kila kitu kina muda wake Manula hafiki hata nusu ya kaseja leo ajengewe sanamu, utopolo mchukueni tuu!
 
Simba haimhitaji tena Manula.
Bro Simba bado inamuhitaji Manula na hakuna cha washikaji maana hata wale mabeki Kapombe na Mohamed kila mmoja anapigania ugali wake.
Siyo rahisi wao kuharibu maisha yao kwa faida ya rafiki.
 
Kaseja ametufikisha hatua ya makundi mara moja mwaka 2003, Manula hatua ya robo mara kadhaa.
Apewe heshima yake, ingawa Hassan Mlapakolo ametufikisha semi final mwaka 1974 naye akumbukwe.
Ametufikisha kwa kuwatoa mabingwa watetezi kwa mikwaju ya penati,Manula hakutupeleka robo kwa njia hiyo...
 
Ametufikisha kwa kuwatoa mabingwa watetezi kwa mikwaju ya penati,Manula hakutupeleka robo kwa njia hiyo...
Sawa lakini usisahau leo tunaingia makundi mara ya 6 mfululizo.
Kuna mchango mkubwa wa Manula.
Anastaili heshima, aheshimiwe
 
Sawa ila ningependa aachwe kwa heshima.
Kuna mazuri aliifanyia timu.
Mambo mengine ni njaa TU.
Hapana. Kama unapewa stahiki zako hakuna sababu ya kufanya hujma dhidi ya timu yako. Usimpe visingizio. Waliachwa kina Mkude kwa heshima, ona alivyoenda kubariki video za kuidhalilisha Simba.
 
Bro Simba bado inamuhitaji Manula na hakuna cha washikaji maana hata wale mabeki Kapombe na Mohamed kila mmoja anapigania ugali wake.
Siyo rahisi wao kuharibu maisha yao kwa faida ya rafiki.
Hakuna ambacho hakiwezekani katika dunia hii. Waswahili tunajuana na tabia zetu.
 
Manara kama unampenda sana mshauri atafute team nyingine tu sisi wanasimba tunashukuru kwa mchango wake
 
Back
Top Bottom