Wanasimba wenzangu naomba tuwe na shukurani,Manula aheshimiwe

Wanasimba wenzangu naomba tuwe na shukurani,Manula aheshimiwe

Kuna mwamba kutoka Burundi anaitwa Makenzi Ramadhani, alisimama vyema langoni
 
Manula wa3 + Kaseja na Diara 8= Camara Spider Man The Magician Goal Protector Tanzania One
FB_IMG_17270208915864306.jpg
 
Kaseja ametufikisha hatua ya makundi mara moja mwaka 2003, Manula hatua ya robo mara kadhaa.
Apewe heshima yake, ingawa Hassan Mlapakolo ametufikisha semi final mwaka 1974 naye akumbukwe.
Mwameja fainali 93
 
Manula hatuwezi kumbeza hata kidogo wanaombeza wana shida pahala...
 
Back
Top Bottom