Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mikael sylvestee alikuwa na uwezo mkubwa sn....HUONI HADI babu wenger alimsajiri from manutd?
mikael silvestre : 5 premier league + 1 uefa champions league (2008)
wes brown :5 premier league + 2 uefa champions league + 1 club world cup
roy carrol : 1 premier league.
Aigoooooo pale unapokwenda kuangalia mechi ya manchester united halafu unagundua alex ferguson hawa watu watatu amewaanzisha, nilikuwa nachukia sana.
naunga mkono hoja!kaka kaladze wa AC milan.. hakua n uwez mkubw kivile ila timu ilimbeba.
Hapo ndo utajua mpira inawezekana uchawi unatumika. Golini Carol, mabeki Brown na Sylivestre!! Halafu mnashinda kiulaiini tena bao 5 na Tot?
mikael silvestre : 5 premier league + 1 uefa champions league (2008)
wes brown :5 premier league + 2 uefa champions league + 1 club world cup
roy carrol : 1 premier league.
Aigoooooo pale unapokwenda kuangalia mechi ya manchester united halafu unagundua alex ferguson hawa watu watatu amewaanzisha, nilikuwa nachukia sana.
Upo bestWatanzania bwana wakimchukia mtu.....
Sasa unawezaje kusema kuwa mchezaji fulani ni mbovu hali ya kuwa na yeye ni miongoni mwa wachezaji wa kwenye hiyo waliyoleta mafanikio kwa juhudi zao.......
Labda tu niwakumbushe kuwa kwenye Timu kuna kila mchezaji ana nafasi yake uwanjani.....
Kuna viungo ,washambuliaji na walinzi..........
Kila mmoja anapotimiza wajibu kwenye timu na wote mkiwa na lengo moja ndio huzaa mafanikio ya timu.........
Mtu anayejuwa na ambaye angalau alishawahi kucheza mpira anajua naongelea nini......
Kocha anayetambua majukumu yake mpaka anaamua kukuweka kikosi cha kwanza maana yake ni kwamba unafaa kwa nafasi hiyo...........
Tatizo la waTanzania hawauchambui mchezo bali wanawachambua watu.......
Messi ni wa kama kawaida sana kama Kakichuya tuuuu,sema timu inamneba.Barcelona wachezaji most of them waliopita na wasasa uwezo wao ni wa kawaida sana mfano tu Neimar,semedo,vidal,gomes, alcacer and Digne, hawa wote ni wakawaida sana__so Mafanikio yao wameyapata kutoka kwa LEONEL MESSI__ bila Messi wasingepata mafanikio yoyote__
MESSI ndiye engine ya Barca, bila yeye BARCA si chochote. So wamshukuru sana kiumbe huyu kuwahi kutokea