Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Karibuni wana ukumbi,
Kuna wachezaji walikuwa/wana uwezo wa kawaida lakini wamepata mafanikio makubwa sana kutokana na mafanikio ya timu aliyochezea/anayochezea.
Mfano:
Anderson enzi akiwa Man Utd ana medali 3 za EPL wakati uwezo wake ulikuwa ni wakawaida sana kulinganisha na mtu kama Steven Gerrard ambaye hana medali yoyote ya EPL.
Kiungo Christoph Kramer wa Borrusia Monchegladbach ana medali ya Kombe la Dunia aliyoshinda na Ujerumani mwaka 2014 licha ya uwezo wake wa kawaida.
Victor Valdes ameshinda kila aina ya taji katika soka akiwa na Barcelona na Hispania lakini uwezo wake ni wa kawaida sana.
Karibu uendelee...
Kuna wachezaji walikuwa/wana uwezo wa kawaida lakini wamepata mafanikio makubwa sana kutokana na mafanikio ya timu aliyochezea/anayochezea.
Mfano:
Anderson enzi akiwa Man Utd ana medali 3 za EPL wakati uwezo wake ulikuwa ni wakawaida sana kulinganisha na mtu kama Steven Gerrard ambaye hana medali yoyote ya EPL.
Kiungo Christoph Kramer wa Borrusia Monchegladbach ana medali ya Kombe la Dunia aliyoshinda na Ujerumani mwaka 2014 licha ya uwezo wake wa kawaida.
Victor Valdes ameshinda kila aina ya taji katika soka akiwa na Barcelona na Hispania lakini uwezo wake ni wa kawaida sana.
Karibu uendelee...