Wanasoka wenye uwezo wa kawaida ila walibebwa na mafanikio ya timu zao

Wanasoka wenye uwezo wa kawaida ila walibebwa na mafanikio ya timu zao

Yule kipa wa timu ya taifa ya ufaransa bure kabisa
 
Karibuni wana ukumbi,
Kuna wachezaji walikuwa/wana uwezo wa kawaida lakini wamepata mafanikio makubwa sana kutokana na mafanikio ya timu aliyochezea/anayochezea.

Mfano:
Anderson enzi akiwa Man Utd ana medali 3 za EPL wakati uwezo wake ulikuwa ni wakawaida sana kulinganisha na mtu kama Steven Gerrard ambaye hana medali yoyote ya EPL.

Kiungo Christoph Kramer wa Borrusia Monchegladbach ana medali ya Kombe la Dunia aliyoshinda na Ujerumani mwaka 2014 licha ya uwezo wake wa kawaida.

Victor Valdes ameshinda kila aina ya taji katika soka akiwa na Barcelona na Hispania lakini uwezo wake ni wa kawaida sana.

Karibu uendelee...
Anderson napinga mkuu,

sidhani kama gerrard anamfikia anderson ktk control na kudriball pale kati, yaaan nazungumzia kunyambuka na mpira,, gerrard wakawaida tu kwa Anderson,,

na wasiwasi na wewe mkuu ivi kweli hata mpira wa sodo umecheza??
 
Olivier Giroud amebeba Worldcup huku wachezaji wengi mahiri duniani wakishindwa kufanya hivyo Eg.Messi,Ronaldo,Ibrahimovic,Lewandowsk,Suarez ukiangalia mastraika hao wamemuacha mbali sana Giroud hivyo bila shaka yoyote alibebwa na ubora wa kikosi cha ufaransa kutwaa kombe la dunia
 
Barcelona wachezaji most of them waliopita na wasasa uwezo wao ni wa kawaida sana mfano tu Neimar,semedo,vidal,gomes, alcacer and Digne, hawa wote ni wakawaida sana__so Mafanikio yao wameyapata kutoka kwa LEONEL MESSI__ bila Messi wasingepata mafanikio yoyote__

MESSI ndiye engine ya Barca, bila yeye BARCA si chochote. So wamshukuru sana kiumbe huyu kuwahi kutokea
MESSI MWENYEWE PAMOJA NA UKALI WAKE ALIBEBWA NA XAVI NA INESTA.
 
MESSI MWENYEWE PAMOJA NA UKALI WAKE ALIBEBWA NA XAVI NA INESTA.
Waswahili hatukosagi maneno...Hata baada ya yeye kuondoka kwenda Qatar Messi alizidi kushine. Messi ni kipaji bwana wala sio mtu wa mazoezi kama wengine
 
Back
Top Bottom