Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mademu wamejazia, sio wabunge ila wanataka kuonana na msajili wana jambo naye.Haya Mambo yapo Tanzania kuna Wabunge wanataka kusajili Chama Chao ili waendelee na Ubunge walionao.
Wanasahau kuwa Ukitaka kwenda Mbinguni lazima UFE.View attachment 2277663
Labda ndio hawa. Na ikiwa ndio hawa, wanaloliomba kwa msajili haliwezekani.Kwani wale ndio hawa??
Duh,kumbe Mzee Mdee ana kishundu?Haya Mambo yapo Tanzania kuna Wabunge wanataka kusajili Chama Chao ili waendelee na Ubunge walionao.
Wanasahau kuwa Ukitaka kwenda Mbinguni lazima UFE.View attachment 2277663
Hili linawezekana sana Tanzania chini ya CCM sasa hivi. Inashangaza hawakuliwazia toka mwanzo.Kijana Amka kushakucha sio kila kitu unachowaza ndivyo kilivyo ,hilo suala sio rahisi kihivyo .
Umewaza hovyo ww na hujui mambo! Kuna kupaa!Kijana Amka kushakucha sio kila kitu unachowaza ndivyo kilivyo ,hilo suala sio rahisi kihivyo .
Mwambie huyu jamaa haelewi mambo. Kuna kupaa!Kwenda mbinguni siyo lazima ufe, Nabii Eliya alitwaliwa kwenda mbinguni bila kufa!