Kama bidhaa husika ina leta madhara kwenye mwili.atakaye tumia zaidi, ataathirika zaidi.mfano ukizidisha pilipili kwa chakula,utatamani kunya maji ili kupoza ukali.ili hali asiye weka pilipili hata Hitachi maji.Nini kipimo cha hiyo 'mapema' zaidi?
We jamaa ebu tumia akili kutafakari..usitumie matako.
Kadri matumizi ya vyakula vya viwandani hasa sukari na mafuta inavyoongezeka ndio magonjwa yasio yakuambukiza kama kisukari..kansa n.k ndivyo yanavyoongezeka.
Wewe unadhani yanaongezeka kwa sababu gani..na tena hasa mijini.
At some point wasabato wako sawa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu kufa kupo tu,wakati ule MV bukoba iliua watu mait baadhi zilikutwa na ndomu mfukoni,walikuwa wanajiadhari na ugonjwa hatari Wa ukimwi ila kifo bana.Wewe bhana kula unachotamani, kula unachoweza kupata…. dunia sio yetu hii hata ukijinyima utakufa tu.[emoji276]
Samahani wakuu nilipitiwa baiolojia ila ujumbe umefika. Ni kongosho wakuuFigo huachia insulini..hii ni figo ya wapi..au ni mtaala mpya ambao mimi sikusoma..kwahiyo kongosho imeacha kazi yake ya kuzalisha insulin sikuhizi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28]Samahani wakuu nilipitiwa baiolojia ila ujumbe umefika. Ni kongosho wakuu
Unge-edit hiyohiyo post ukarekebisha.Samahani wakuu nilipitiwa baiolojia ila ujumbe umefika. Ni kongosho wakuu
Kama nakuna likitambi likiwa mbeleMfano mtu unakulaje chips kuku au nyama choma na ndizi roast bila coke baridi ya kushushia jamani?
Sio Figo ni Pancreas (nyongo )Soma kwenye soda Kuna baadhi wameandika 60g/500ml. Kijiko kimoja Cha chakula ni kama 10g. Ukinywa soda moja ya take away jua umebugia kama vijiko 6. Ikumbukwe kwamba mwili ukipokea sukari basi Figo huachia insulin kuchakata sukari. Utumiaji kupita kiasi ni hatari kwa afya yako.
Wabongo baadhi yetu huwa hatutengi muda Wa kufanya detox.
Mbona mazungu yanabugia masukari hivyo na tena mwisho Wa dinner kuna kitu kinaitwa dessert ni fulu sukari,na bado yanaishi muda mrefu tu.
Ndo hivyo lazima wajinga wengi wazaliwe.shida ni desa.
mtu anapiga desa sehem anakwenda ubaoni kufundisha.
Coca Zero mkuu, haiongezi shavu.nina miaka 5 sijui ladha ya soda.
Watu wanataka kuharibia wenzao biashara mkuu,unaweza kukuta hapa wanataka kupromote kampuni yao ya maziwa.Shushia na maji ya kandoro..[emoji16][emoji16][emoji16]
#MaendeleoHayanaChama