Wanatakiwa kuweka tangazo kuwa unywaji wa soda kupita kiasi ni hatari kwa Afya yako

Wanatakiwa kuweka tangazo kuwa unywaji wa soda kupita kiasi ni hatari kwa Afya yako

wasabato mnazingua bana.

kwa hatua tuliyofikia ni ngumu sana kujizdhatiti unapambania afya kwa uelekeo upi ambao ni sahihi.

matumizi ya hizi mnazoita sumu yametamalaki mpaka upande wa tiba.

hunywi soda,ila unayaamini maji ya jero 1500ml.unaijuaje formular yake kama inapatana na ya mwili!!au ndio kukariri somo?

wagonjwa wengi wa sukari na pressure hawana historia ya kubugia hayo masukari yenu.
 
Ni kweli hivi vinywaji ni hatari kwa afya ya binadamu. Kuna hizi soda nyeusi ukinywa zinapunguza ufanisi wa kupiga shoo na huondoa usingizi.

Ni vinywaji vitamu na laini ila vina madhara mficho, ni bora tu waweke tangazo kwa wanywaji wake kuwa ukinywa sana ni hatari kwa afya yako
Hivi kwani wanaume huwa wanakunywa mirinda nyeusi mkuu?
 
Zaman mgonjwa wa moyo tulikariri ni yule mnene, hivohivo presha na kisukar tulidhani wanene ndio wenye hiyo hatari, lakin saizi ata uwe kimbao mbao hayo magonjwa hayachagui.

Kikubwa kuzingatia mlo mzr tu. Maji ni kinywaji fulani kitamu lakini hakina sukari.

Mimi naelekea kumaliza mwaka sasa sijatumia soda yoyote au juice yoyote [emoji16], najua kuna mtu atakuja kusema ni ukata nilio nao, ila ndiyo nakubali[emoji16][emoji16] ila huwa sipo interested na hivyo vinywaji.
Mimi pia sipendi soda kabisa hata vi-juice juice hivi hapana, hata mtu akiniambia kunywa soda namwambiaga nipe hiyo hela[emoji16]
 
Mkuu tupe faida ya kufa ukiwa na afya njema
Faida za kufa ukiwa na afya njema;
  • Hautasumbua watu kukuuguza,
  • Muda ambao watu watakuwa wakija kukutembelea utakapougua ni bora wangeendelea kutafuta au kula bia 🍺
  • Ndugu na wazazi hawatapoteza mali zao kwa kumuuguza mjinga mmoja hivi,
  • Masela na wana watakukumbuka daima maana haukufa kizembe,
  • Nitaendelea kesho
 
Soma kwenye soda Kuna baadhi wameandika 60g/500ml. Kijiko kimoja Cha chakula ni kama 10g. Ukinywa soda moja ya take away jua umebugia kama vijiko 6. Ikumbukwe kwamba mwili ukipokea sukari basi Figo huachia insulin kuchakata sukari. Utumiaji kupita kiasi ni hatari kwa afya yako.
Figo huachia insulini..hii ni figo ya wapi..au ni mtaala mpya ambao mimi sikusoma..kwahiyo kongosho imeacha kazi yake ya kuzalisha insulin sikuhizi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe. Mkakati wangu wa kupunguza mwili na kuwa fit, umefanikiwa sana baada ya kuachana na sukari kabisa na mavinywaji ya kijinga jinga kama hizo soda na juice.

Sukari ni mbaya sana. Wanakijiji wa Okhghimi huko Okinawa japan, huishi miaka mingi sana, siri ni kuwa wako active sana, na hawali sukari kabisa, sana sana wanaitoa kwenye miwa, sio hii industrial sugar.
Hii ya kuwa active sana napinga..mbona kobe sio active na ndio mnyama anaueishi miaka mingi kuliko wote..hili unalizungumizaje?

Kuhusu sukari na other processed food sio nzuri kabisa kiafya..tujitahidi kuviepuka.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wasabato mnazingua bana.

kwa hatua tuliyofikia ni ngumu sana kujizdhatiti unapambania afya kwa uelekeo upi ambao ni sahihi.

matumizi ya hizi mnazoita sumu yametamalaki mpaka upande wa tiba.

hunywi soda,ila unayaamini maji ya jero 1500ml.unaijuaje formular yake kama inapatana na ya mwili!!au ndio kukariri somo?

wagonjwa wengi wa sukari na pressure hawana historia ya kubugia hayo masukari yenu.
We jamaa ebu tumia akili kutafakari..usitumie matako.

Kadri matumizi ya vyakula vya viwandani hasa sukari na mafuta inavyoongezeka ndio magonjwa yasio yakuambukiza kama kisukari..kansa n.k ndivyo yanavyoongezeka.

Wewe unadhani yanaongezeka kwa sababu gani..na tena hasa mijini.

At some point wasabato wako sawa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida za kufa ukiwa na afya njema;
  • Hautasumbua watu kukuuguza,
  • Muda ambao watu watakuwa wakija kukutembelea utakapougua ni bora wangeendelea kutafuta au kula bia [emoji481]
  • Ndugu na wazazi hawatapoteza mali zao kwa kumuuguza mjinga mmoja hivi,
  • Masela na wana watakukumbuka daima maana haukufa kizembe,
  • Nitaendelea kesho
Kwahiyo wanaokufa kwenye ajali nao wanafaida gani au hasara gani..kimsingi kufa ni kufa tu..hakuna la maana..ukifa utaoza tu na lako limeoshia hapo..uwe na kansa au huna kansa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom