Wanatia huruma Kwa kweli!

Wanatia huruma Kwa kweli!

Tangu Mama kashika usukani kutwa kucha wamekuwa wakiwanga afeli

Walitegemea miradi ya kimkakati itafeli wapate cha kuongea badala yake miradi inaendelea na hakuna kilichosimama, kuanzia bwawa la Nyerere,SGR, madaraja ya Tanzanite na Busisi na Bandari za Mtwara, Kalema na Tanga

Walitegemea mapato yatashuka Kwa sababu ya mama kutumia akili badala ya maguvu kinyume chake mapato yako mswano na kodi inakusanywa bila kelele na mambo yanaenda

Walitegemea mgao wa umeme utaendelea ili wachonge zaidi kinyume chake Hakuna mgao na Tanesco wanapiga mzigo wa hatari kuongeza vyanzo vya umeme na hali shwari kabisa

Mwisho walitegemea atakosa hela za kuongeza mishahara baada ya Mzee wao kushindwa kuongeza mishahara kwa miaka 6, kinyume chake Mama kaongeza mishahara na hakuna mradi uliosimama

Sasa wamebaki kulalama tu, Mara haiwezekani, mara hakuna mapato , wamesahau kuwa Mungu wao alikopa huku akidanganya kufanya miradi kwa pesa za ndani alafu hata mishahara hakuongeza!
SGR inajengwa kwa mkopo, madaraja mikopo, Barabara mikopo alafu akasotesha watumishi miaka 6 bila nyongeza

Mama endelea kuupiga mwingi, hawa vizabizabina lazima wawehuke na kuvaa bukta kichwani safari hii! Unawachanganya na chuki zao si mchezo!😂
Vile tunawacheka Haaa 😆😆😆👇

2892336_AM1hnY.jpg
 
Saivi mikutano kama kawa! Chadema na ACT wanajimwaga tu na nchi inaenda
Hawa jamaa ukiwaacha free ndio wanapoteza umaarufu kabisa sababu wanakosa kiki hata wakiruhusiwa kufanya hiyo mikutano yao hakuna cha maana wanachajadili.Mama endelea kuchapa kazi watu washaishiwa hoja tayari.
 
Tangu Mama kashika usukani kutwa kucha wamekuwa wakiwanga afeli

Walitegemea miradi ya kimkakati itafeli wapate cha kuongea badala yake miradi inaendelea na hakuna kilichosimama, kuanzia bwawa la Nyerere,SGR, madaraja ya Tanzanite na Busisi na Bandari za Mtwara, Kalema na Tanga

Walitegemea mapato yatashuka Kwa sababu ya mama kutumia akili badala ya maguvu kinyume chake mapato yako mswano na kodi inakusanywa bila kelele na mambo yanaenda

Walitegemea mgao wa umeme utaendelea ili wachonge zaidi kinyume chake Hakuna mgao na Tanesco wanapiga mzigo wa hatari kuongeza vyanzo vya umeme na hali shwari kabisa

Mwisho walitegemea atakosa hela za kuongeza mishahara baada ya Mzee wao kushindwa kuongeza mishahara kwa miaka 6, kinyume chake Mama kaongeza mishahara na hakuna mradi uliosimama

Sasa wamebaki kulalama tu, Mara haiwezekani, mara hakuna mapato , wamesahau kuwa Mungu wao alikopa huku akidanganya kufanya miradi kwa pesa za ndani alafu hata mishahara hakuongeza!
SGR inajengwa kwa mkopo, madaraja mikopo, Barabara mikopo alafu akasotesha watumishi miaka 6 bila nyongeza

Mama endelea kuupiga mwingi, hawa vizabizabina lazima wawehuke na kuvaa bukta kichwani safari hii! Unawachanganya na chuki zao si mchezo![emoji23]
Lakini mbona sioni republicans wakifanya mikutano baada ya Biden kushika nchi.
 
Mfumuko wa bei vipi? Usijekuta nyongeza 23.3% na mfumuko wa bei 36%
Mwishowe tutakuwa na pesa kama za zimbabwe!
 
Mama yuko vizuri sana,,,ila tunaomba tozo/kodi wapunguze, ushuru wa magari wapunguze, bei za vyakula, mafuta na petroli/dirsel ipungue.

Cha ziada, tunakuomba mama uweke sheria kwa wapangishaji wa nyumba za kuishi wanapandisha kodi wanavyopenda. Tunaomba serikali iwatilie mkazo, na muwawekee kiwango maalum kama ni 150 au 200. Huku mikoa midogo inafika hadi milioni moja na ushee, zingine laki tano hadi 250,000/=
 
Kijana una maisha magumu lakini huachi kutetea ujinga.
 
Tangu Mama kashika usukani kutwa kucha wamekuwa wakiwanga afeli

Walitegemea miradi ya kimkakati itafeli wapate cha kuongea badala yake miradi inaendelea na hakuna kilichosimama, kuanzia bwawa la Nyerere,SGR, madaraja ya Tanzanite na Busisi na Bandari za Mtwara, Kalema na Tanga

Walitegemea mapato yatashuka Kwa sababu ya mama kutumia akili badala ya maguvu kinyume chake mapato yako mswano na kodi inakusanywa bila kelele na mambo yanaenda

Walitegemea mgao wa umeme utaendelea ili wachonge zaidi kinyume chake Hakuna mgao na Tanesco wanapiga mzigo wa hatari kuongeza vyanzo vya umeme na hali shwari kabisa

Mwisho walitegemea atakosa hela za kuongeza mishahara baada ya Mzee wao kushindwa kuongeza mishahara kwa miaka 6, kinyume chake Mama kaongeza mishahara na hakuna mradi uliosimama

Sasa wamebaki kulalama tu, Mara haiwezekani, mara hakuna mapato , wamesahau kuwa Mungu wao alikopa huku akidanganya kufanya miradi kwa pesa za ndani alafu hata mishahara hakuongeza!
SGR inajengwa kwa mkopo, madaraja mikopo, Barabara mikopo alafu akasotesha watumishi miaka 6 bila nyongeza

Mama endelea kuupiga mwingi, hawa vizabizabina lazima wawehuke na kuvaa bukta kichwani safari hii! Unawachanganya na chuki zao si mchezo!😂
Kina nani hao
 
Back
Top Bottom