othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
[emoji1787][emoji1787]Kwenye hiyo mifano Yako umeona Kuna umaskini au maamuzi yapi ya maana walifanya hao uliowataja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Kwenye hiyo mifano Yako umeona Kuna umaskini au maamuzi yapi ya maana walifanya hao uliowataja?
😅😅Yaan ulivokuwa ww ndo mm hivohvo kaz ngumu zote mkono wa kushoto ndo namudu hata kurusha mawe n kushoto ila kuandkia ni kulia njajua nko pk ynguna mimi hapa, mpira natumia miguu yote but left at most, kuandika kulia, kazi ngumu zote mkono wa kushoto, kiufupi watu hawanielewi [emoji16]
Hahahaha yaan sijui inakuaj mm kuandk n mkono wa kushtoMkuu mimi natumia mkono wa kulia ila mpirani napiga left foot. Mguu wa kulia hauna nguvu, sijui inakuaje hii
Toa hoja zako sio kuniambia Nina hoja za kitoto naheshimika sana hata nikikutana na wewe utaona Aibu Bora ungentamaza kuliko dharau zako.mtoa mada una hoja za kitoto,kinachofanya mtu awe na weledi mkubwa ni miguu ,mikono au kuwa na akili? kama akili zina kaa mkono wa kushoto na mguu wa kushoto basi sawa dhana yako iko sahihi atakuwa na akili za kushoto pia
unazungumzia heshima? hatamimi naheshimika zaidi yako na ukiniona lazima unipigie salute.jibu swali langu kwanza weledi unakaa mkono wakushoto na mguuwakushoto au weledi unatoka kwenye kichwa cha mtu? .Toa hoja zako sio kuniambia Nina hoja za kitoto naheshimika sana hata nikikutana na wewe utaona Aibu Bora ungentamaza kuliko dharau zako.