secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Wapo wanaojitawaza kwa vipande vya matofali.Kwani bongo kuna mtu anajitawaza na makaratasi achana na mzungu buda
Watu weupe wengi wanatumia vyoo vya kukaa. Hata wakija huku wanashangaa vyoo hivi tulivyonavyo. Vyoo vya kuchuchumaa vimetokea India hukoLazima vitakuwepo,mtu msafi hawezi kutumia choo cha kukaa kwanza akimaliza haja anajisafishaje akatakata?
Sema kweli!Watu weupe wengi wanatumia vyoo vya kukaa. Hata wakija huku wanashangaa vyoo hivi tulivyonavyo. Vyoo vya kuchuchumaa vimetokea India huko
Tunaangalia movies zao na kwenye mitandao ulishawahi kuona choo cha kuchuchumaa hata siku moja?Sema kweli!
Sivipendi hata kidogo kwanza mzigo unashuka kwa shida.Vyoo vya kukaa nahisi vilibuniwa special kwa ajili ya walemavu,sijui mimi mshamba lakini ktk vitu sijawahi kuvielewa ni vyoo vya kukaa.
Wazungu ni wachafu na ndio maana wakabuni vyoo vya kukaa kwa Kweli wao huwa wanajifuta tu na makaratasi bila kutumia maji ndio maana wanapenda kutumia hivyo vyooTunaangalia movies zao na kwenye mitandao ulishawahi kuona choo cha kuchuchumaa hata siku moja?
Wahindi wana akili sanaWatu weupe wengi wanatumia vyoo vya kukaa. Hata wakija huku wanashangaa vyoo hivi tulivyonavyo. Vyoo vya kuchuchumaa vimetokea India huko
DuhWazungu ni wachafu na ndio maana wakabuni vyoo vya kukaa kwa Kweli wao huwa wanajifuta tu na makaratasi bila kutumia maji ndio maana wanapenda kutumia hivyo vyoo
Inawezekana. Lakini vyoo vya kuchuchumaa huko kwao ni nadra sana.Wazungu ni wachafu na ndio maana wakabuni vyoo vya kukaa kwa Kweli wao huwa wanajifuta tu na makaratasi bila kutumia maji ndio maana wanapenda kutumia hivyo vyoo
Sio na nadra tu yaweza havipo kabisaInawezekana. Lakini vyoo vya kuchuchumaa huko kwao ni nadra sana.
Sasa itakuaje nikienda huko, sivipendi vyoo vya kukaa maneno hayatoshi kueleza ni jinsi gani sivipendi.Inawezekana. Lakini vyoo vya kuchuchumaa huko kwao ni nadra sana.
Kwa hakika sijaona.Tunaangalia movies zao na kwenye mitandao ulishawahi kuona choo cha kuchuchumaa hata siku moja?
Kwahiyo wazungi wote na watu waishio huko majuu kende zao zimepasuka?Sio na nadra tu yaweza havipo kabisa
Beba choo chako cha kuchuchumaa ukifika huko tafuta fundi akuwekeeSasa itakuaje nikienda huko, sivipendi vyoo vya kukaa
Ustaarabu wa mjini waachie wenyewe mkuu.Inaonekana kwa asilimia 50% ya wanaume wanaotumia vyoo vya kukaa wako hatarini kupasuka makende hii ni kutokana na jinsi vyoo hivyo vilivyo na namna makende ya mtu yanavyokuwa wamening'inia pale anapokuwa uchi bila nguo hii inawaweka wanaume wengi hatarini kupasuka makende hasa pale anapokuwa anajaribu kujisaidia kwa kutumia vyoo vya kukaa kitendo ambacho kinamuweka hatarini kuyakalia hatimae yapasuke.
Vile vile vyoo vya kukaa ni changamoto kwa watu wanene pale wanapoenda haja kubwa kwani inaonyesha asilimia 50% ya watu wanene hushindwa kujisafisha vizuri pale wanapotumia vyoo vya kukaa wengine wanajikuta wanajipakaza kinyesi tu pale wanapjaribu kujisafisha wamekaa huku kwa upande mwingine wanajikuta wanajisafisha na kubaki na vinyesi bila wao kujijua.
Pia kwa upande wa usafi na usalama wa mtumiaji vyoo hivi husababisha bacteria ambao mara nyingi bacteria hawa huzalishwa na mabaki ya uchafu pale vyoo hivi vinapokosa matunzo mazuri hasa vikiwa vinatumiwa na watu wengi tofauti tofauti hata mke na mume n.k ndio maana mtindo huu wa vyoo haupaswi kuwekwa kwenye public toilet, ni chanzo magonjwa mengi kama U.T.I, FANGASI SEHEMU ZA SIRI, BAWASIRI, MIWASHO MAPAJANI NA SEHEMU ZA SIRI, PUMBU EROSION, na magonjwa mengine mengi.
Kwa kifupi tu ni kwamba vyoo hivi sio salama kiafya.
Ina maana hata sokoni huko kwao havipatikani hadi kukibebaBeba choo chako cha kuchuchumaa ukifika huko tafuta fundi akuwekee
Kiukweli wengi tu wanapasuka na wanapata injury ila hawasemi ni kama mtu kuvunjika uume huwezi kusikia ila wanavunjikaKwahiyo wazungi wote na watu waishio huko majuu kende zao zimepasuka?
Kwani hijui ya kwamba wazungu Wana makende ambayo hayajaning'nia kama ya waafrika. Au hujawahi kushenyentana na mzungu.Kwahiyo wazungi wote na watu waishio huko majuu kende zao zimepasuka?
Hii ni study au mawazo umeoteshwa kwanza bila ya kukupa nondo juu ya poor article yako tujibie hayo maswaliBoss
Hii ni study yako.
Ungetusaidia waliopasuka makende wako wapi na hao wanene wasioweza kujisafisha.
By the way siku hizi vinatoa maji unasafishwa moja kwa moja