Wanaua Brand ya Azamtv

Wanaua Brand ya Azamtv

Ucjusumbue bure mwenye pesa hata ukimchukia humpungizii chochote we nguchiro
Je wewe mwanga,unakakitambi kanjaa , sura mbaya kama kaniki ya mganga , umekomaa kama reli za tazara sura mbaya kama mr bean, una mapengo kama ngararumu , juzi tu umeitwa ofisini ukapewa likizo kisa utapiamlo, umekomaa hadi ukitembea unajisikia ukipiga hatua , unatisha kama kenge wa kigoma . Kijitumbo kama cha kipepe , huna akili kama madenge umekomaa kama betina , kafupi kama pimbi, mnafiki kama ndumila kuwili, unacheka cheka ovyo kama fisi. Unataka mengine nikupe ??
 
Je wewe mwanga,unakakitambi kanjaa , sura mbaya kama kaniki ya mganga , umekomaa kama reli za tazara sura mbaya kama mr bean, una mapengo kama ngararumu , juzi tu umeitwa ofisini ukapewa likizo kisa utapiamlo, umekomaa hadi ukitembea unajisikia ukipiga hatua , unatisha kama kenge wa kigoma . Kijitumbo kama cha kipepe , huna akili kama madenge umekomaa kama betina , kafupi kama pimbi, mnafiki kama ndumila kuwili, unacheka cheka ovyo kama fisi. Unataka mengine nikupe ??
Taarabu zako hazitonisumbua hata kidogo yaa ahmaku
 
"Baba mzazi baaaba"
"Doto mwenyekiti wa uvccm"
Hahaha kazi sana
 
Embu so
View attachment 2730378
Baraka Mpenja kawa wa hovyo sana!
Badala ya kutangaza mpira yeye kazi yake kusifia
WANDENGEREKO tu, hata kwa vitu vya hovyo
Yote hii ni baada WANDENGEREKO waliandika barua
Azam kulalamika kuwa yeye Mpenja hawapendi na hawataki atangaze mechi zao TOBA TO МАОКОТО yakaja na siunajua Mpenjatv inataka Matangazo tena!!
Baada ya hapo ndiyo sasa anasifia hata back pass kwa GK
Jukwaani Kusifia Wanasiasa now ni COMEDY SHOW.
Tukisema ni Mkakati angalia Kamwe anavyoshadadia now wanajua Wnaachofanya nyuma ya Pazia ila hi ataeanguka mtamuona Soon wala haitachukua muda
ma
View attachment 2730378
Baraka Mpenja kawa wa hovyo sana!
Badala ya kutangaza mpira yeye kazi yake kusifia
WANDENGEREKO tu, hata kwa vitu vya hovyo
Yote hii ni baada WANDENGEREKO waliandika barua
Azam kulalamika kuwa yeye Mpenja hawapendi na hawataki atangaze mechi zao TOBA TO МАОКОТО yakaja na siunajua Mpenjatv inataka Matangazo tena!!
Baada ya hapo ndiyo sasa anasifia hata back pass kwa GK
Jukwaani Kusifia Wanasiasa now ni COMEDY SHOW.
Tukisema ni Mkakati angalia Kamwe anavyoshadadia now wanajua Wnaachofanya nyuma ya Pazia ila hi ataeanguka mtamuona Soon wala haitachukua muda
Soma tena ulichokiandika
 
Sijaona timu ina watu walalamishi kama makolo. Sasa hadi commentator naye amalalamikiwa? Hebu acheni utoto
 
Back
Top Bottom