Wanauchumi nisaidieni hili sijamuelewa Rais

Acha uongo.
Mzunguko wa hela unapokuwa mkubwa ndo maendeleo huja. Biashara zitafanyika za nje na ndani.
Kama watu hawana hela biashara zitafanyika vipi?
haya anabana hela
Thamani ya hela ya Tanzania inapanda au inashuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…