Ni kweli kabisa anachokisema rais,
Kuwa na pesa nyingi kwenye mzunguko (Hyper Inflation) sio dalili nzuri ya uchumi lakin pale pesa inapokuwa chache kwenye mzunguko inaashiria hali nzuri au mbaya pia. inategemea na nini kinapelekea pesa kukosekana.
Kwa hiyo rais yupo sahihi....