Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Anaweza asitokee vile vile,ukaingia hasaraKabisaa ushauri tuma tiketi tu
Wewe mbahili sana
Mie ndo bomu kabisa[emoji23]Msaidie mwenzio kunituliza basi🙂
Aiseee huyo mkaka sitamsahau kamwe hata nauli ya kurudia hakunipa ikabidi nimchane laivu yani sku nyingine akanitumia niakenda nikalala asubuhi kaenda kazin akasema niweke sehemu ufunguo wakati wa kuondoka nikasomba tshirt spray mafutaa track suti head 4ne na Flash nikabeba vyote nikajilipaa kwenye fridge nikabeba matunda wine juice nyamaa samaki sombaaa vyote hana hamu na mm nakwambiaHahahah, jf raha sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahhaaaa.Aiseee huyo mkaka sitamsahau kamwe hata nauli ya kurudia hakunipa ikabidi nimchane laivu yani sku nyingine akanitumia niakenda nikalala asubuhi kaenda kazin akasema niweke sehemu ufunguo wakati wa kuondoka nikasomba tshirt spray mafutaa track suti head 4ne na Flash nikabeba vyote nikajilipaa kwenye fridge nikabeba matunda wine juice nyamaa samaki sombaaa vyote hana hamu na mm nakwambia
Sawakatika watu wanaospend hela mimi nafkiri wakwanza.. maana kila ninachokipenda kama nina hela lazima nikinunue.. ila tu.. mie ni mtu ambaye ni mgumu kupeleka hela pasipo na faida/manufaa.. kama nina mke.. hela yangu ataitumia kisawsawa maana nisipompa mimi atapewa na mabazazi wengine.. na hela hiyo ataitumia kwa maendeleo ya familia au yeye binafsi.. ila sio natoa hela nampa mwanamke kizembezembe tu.. mtu sio mke wangu.. alaf anze kujisifia kanichuna.. hahaha haipo hiyooo
we nitakuweza yule alikua shombe nikapagawa!..Mie ndo bomu kabisa[emoji23]
huku citizen lodge kwa nyuma kidogoo.Unatokea wapi bhn nipande road faster[emoji23][emoji23][emoji23]
Tukajichimbie chalinze kabisa!..Hapo CL ni karibu wanga wengiMhg nipo kwa Msukuma njoo
Shauri yakowe nitakuweza yule alikua shombe nikapagawa!..
sasa kama nimekubali hasara kiroho safi bado unanionea huruma tu!..Shauri yako
Aisee! Basi mimi nawapa pole wote, wewe na huyo mkakaAiseee huyo mkaka sitamsahau kamwe hata nauli ya kurudia hakunipa ikabidi nimchane laivu yani sku nyingine akanitumia niakenda nikalala asubuhi kaenda kazin akasema niweke sehemu ufunguo wakati wa kuondoka nikasomba tshirt spray mafutaa track suti head 4ne na Flash nikabeba vyote nikajilipaa kwenye fridge nikabeba matunda wine juice nyamaa samaki sombaaa vyote hana hamu na mm nakwambia